Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawakili watano kutetea ubunge wa Kubenea

said1NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

MWANASHERIA Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu anatarajiwa kuongoza jopo la mawakili watano watakaomtetea Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema) katika kesi ya kupinga ubunge wake.

Kesi hiyo ilifunguliwa na aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Didas Massaburi.

Kubenea aliyasema hayo Dar es Salaam jana alipozungumza na MTANZANIA baada ya Massaburi kufungua shauri la madai namba 8 la mwaka huu...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mawakili 6 wa Kubenea kumkabili Makonda

Pg 3Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

JOPO la mawakili sita wamejitokeza kumtetea Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), baada ya kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam na kusomewa shtaka moja la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.

Mawakili hao, wakiongozwa na Peter Kibatala, walijitokeza katika mahakama hiyo jana na kudai dhamana baada ya kusomewa mashtaka hayo kwa madai kuwa shtaka la mteja wao linadhaminika.

Akisoma...

 

10 years ago

Mwananchi

Mawakili watano wajitosa kuwatetea watuhumiwa ugaidi

 Watuhumiwa 22 wanaokabiliwa na kesi ya ugaidi, wakiwamo viongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiki) Zanzibar, wamepata mawakili watano wa kuwatetea dhidi ya mashtaka manne yanayowakabili.

 

9 years ago

Global Publishers

Dk. Didas Masaburi afuta kesi ya kupinga Ubunge wa Saed Kubenea

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo, Dk Didas Massaburi. Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo, Dk Didas Massaburi, Dk Didas Massaburi ameamua kutoendelea na kesi ya kupinga ushindi wa Saed Kubenea wa Chadema kwenye uchaguzi wa Jimbo la Ubungo aliyokuwa amefungua Mahakama Kuu. Massaburi, aliyegombea kiti hicho kwa tiketi ya CCM, alifungua kesi hiyo Namba 8 ya mwaka 2015, akidai kuwa Kubenea alitoa rushwa, katika maeneo mbalimbali, huku pia akimlalamikia msimamizi wa uchaguzi kuwa hakumtendea...

 

11 years ago

Mwananchi

Wassira atangaza kutetea ubunge Bunda

>Mbunge wa Jimbo la Bunda (CCM), Stephen Wassira ametangaza kuwa atatetea tena nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu ujao, huku akijigamba kuwa yeye ni “mwarobaini wa matatizo” yanayowakabili wakazi wa jimbo hilo.

 

10 years ago

Dewji Blog

JUST IN: Saed Kubenea achukua fomu ya kuwania ubunge kwa tiketi ya Chadema jimbo la Ubungo

kubenea-mpoki

Mwanahabari mkongwe Saed Kubenea (pichani) achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge kupitia Chadema jimbo la Ubungo.

Saed Kubenea ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Hali Halisi Publishers Ltd., inayochapisha magazeti ya MwanaHALISI; MSETO; MwanaHALISI Online na MwanaHALISI Forum na ndiye mmiliki wa kampuni hiyo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Nyalandu atangazwa kutetea nafasi yake ya ubunge jimbo la Singida kaskazini

IMG_0213

Mbunge mteule wa jimbo la Singida kaskazini, Lazaro Samwel Nyalandu (katikati) akiwa amepumzika akisubiri kutangazwa kwa matokeo ya nafasi ya ubunge leo. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Singida vijijini, Naruba Hanje na kulia ni Shyrose Matembe anayewania nafasi ya ubunge viti maalum mkoa wa Singida.

IMG_0239

Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Singida kaskazini, Hajat Farida Mwasumilwe, akimkabidhi cheti cha kuthibitishwa kuwa mbunge, Lazaro Samwel Nyalandu leo.

IMG_0249

Mbunge mteule Lazaro Samwel...

 

10 years ago

Michuzi

nyalandu arudi jimboni kutetea kiti chake cha ubunge singida kaskazini

 Waziri wa Maliasili na Utalii ambayre ni Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro nyalandu akizungumza katika kijiji cha Muvae wilayani Singida juzi alipokwenda kutangaza nia ya kutetea kiti chake katika uchaguzi mkuu ujao. Waziri wa Maliasili na Utalii ambayre ni Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro nyalandu akizungumza katika kijiji cha Muvae wilayani Singida juzi alipokwenda kutangaza nia ya kutetea kiti chake katika uchaguzi mkuu ujao. Waanchi wa kijiji cha Muvae wakimsikiliza Waziri wa...

 

10 years ago

Michuzi

RIDHIWANI KIKWETE KUTETEA KITI CHAKE CHA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, ACHUKUA FOMU LEO

????????????????????????????????????Mh. Ridhiwani Kikwete mbunge wa jimbo la Chalinze akisalimiana na Diwania wa Kata ya Bwilingu Bw, Ahmed Masser wakati alipowasili katika eneo la mkutano uliofanyika mji mdogo wa Chalinze jana ukiwa na lengo la kuelezea utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya CCM uliofanywa na Mbunge huyo kwa kipindi cha mwaka mmoja katika huduma za Afya, Elimu, Maji, Miundombinu, Uchumi, Michezo na amaendeleo mengine ya kijamii.Mh. Ridhiwania Kikwete ametanganza rasmi jana katika mkutano huo nia yake ya...

 

10 years ago

Habarileo

Watano wajitokeza ubunge Arusha Mjini

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbles Lema.KINYANG'ANYIRO cha kuwania Ubunge katika Jimbo la Arusha Mjini jana kilianza kwa mbwembwe baada ya wanachama watano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kujitokeza kuwania ubunge katika Jimbo hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani