Watano wajitokeza ubunge Arusha Mjini
KINYANG'ANYIRO cha kuwania Ubunge katika Jimbo la Arusha Mjini jana kilianza kwa mbwembwe baada ya wanachama watano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kujitokeza kuwania ubunge katika Jimbo hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboVIJANA CCM WAJITOKEZA KWA WINGI KUCHUKUA FOMU ZA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI
10 years ago
MichuziWANA CCM KIBAO WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI
9 years ago
Mwananchi05 Nov
ACT - Wazalendo yapata mgombea ubunge Arusha Mjini
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Mgombea ubunge wa ACT Arusha Mjini amwombea kura Lowassa
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Mustafa Panju kuingia katika mbio za ubunge Arusha mjini
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha, Mustafa Panju akiongea na vyombo mbalimbali vya habari ofisini kwake akitangaza rasmi kuwania kiti cha ubunge jimbo la Arusha mjini kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha, Mustafa Panju akiongea na vyombo mbalimbali vya habari ofisini kwake ,akitangaza rasmi kuwania kiti cha ubunge jimbo la Arusha mjini kupitia tiketi ya Chama cha...
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
Mustafa Panju achukua na kurudisha fomu ya kuwania Ubunge jimbo la Arusha mjini, ahaidi umoja na maendeleo
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha, Mustafa Panju ambaye ni mmoja wa wagombea wa jimbo la Arusha mjini kupitia chama cha mapinduzi CCM akimkabidhi Katibu wa CCM wilaya ya Arusha, Ferooz Bano fomu ya kuwania kinyang’anyiro hicho baada ya kuchukua fomu hiyo jana na kurejesha huku akisisitiza kuwa endapo atafanikiwa kupitishwa na chama hicho au laa atashirikiana na wananchi pamoja na wanaCCM katika kuleta maendeleo katika jimbo hilo ambalo lipo mikononi...
10 years ago
Michuzi19 Jul
MUSTAFA PANJU ACHUKUA NA KURUDISHA FOMU YA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA ARUSHA MJINI AAHIDI UMOJA NA MAENDELEO
![SAM_3880](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/8w-bum7k-L2VtnpTOcU6V6WQhQUOioCD2WvG8ifL7BWBVwRQrOxAYN_Rq7cRjsT76uFKnVLUKP2-w5MuFLCJXv1vkQvtdQXYJGB319bLMjoSDVw=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_3880.jpg)
10 years ago
Mtanzania20 Apr
20 Chadema wajitokeza Segerea kuwania ubunge
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MAKADA 20 wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo( Chadema) wameonyesha nia ya kuwania ubunge katika Jimbo la Segerea.
Mbali ya makada hao, watu wengine 50 wamejitokeza kuwania nafasi ya udiwani katika jimbo hilo.
Kwa sasa mbunge wa jimbo hilo ni Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga aliyeshinda katika uchaguzi wa mwaka 2010 kwa kura 43,554 (asilimia 41.7) wakati mpinzani wake,Fred Mpendazoe (Chadema) alipata kura 39,150 (asilimia...
9 years ago
VijimamboUPDATES: MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA SHINYANGA MJINI INASEMEKANA AMETEKWA NA KUNYANG’ANYWA FOMU YA UBUNGE
Chanzo chetu kilijaribu kuzungumza na mwenezi wa jimbo hilo ili kuthibitisha tukio hilo lakini pia simu ya mgombea ilikuwa haipatikani.
Chanzo chetu kimeongea na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha tukio hilo.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
Chanzo:...