Mgombea ubunge wa ACT Arusha Mjini amwombea kura Lowassa
Wakati waswahili wanasema adui yako mwombee njaa, msemo huo umekuwa tofauti kwa upande wa mgombea ubunge wa ACT - Wazalendo Jimbo la Arusha Mjini, Estomih Malla baada ya jana kupanda jukwaani na kumwombea kura za ndiyo mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi05 Nov
ACT - Wazalendo yapata mgombea ubunge Arusha Mjini
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Mgombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, apiga kura Singida mjini
Mgombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Anna Mughwira,akihakiki jina lake kwenye ubao wa matangazo muda mfupi kabla hajapiga kura kwenye kituo cha shule ya msingi Kibaoni mjini Singida leo.
Mgombea urais kupitia ACT- Wazalendo, Anna Mughwira, akipiga kura kuchagua Rais, Mbunge na Diwani katika kituo cha shule ya msingi Kibaoni mjini Singida. Pamoja na mambo mengine, Mughwira ameseme endapo wapiga kura wataamua kuchagua chama ambacho kimenadi sera zake kwenye kampeni, anauhakika...
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Ndesamburo amuombea kura mgombea Ubunge Jimbo la Moshi mjini Jafary Michael
![](http://2.bp.blogspot.com/-HbMqHYdQKoI/ViW7s3KM9lI/AAAAAAAAVkA/J6zYcYP2gIM/s640/IMG_1438%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iwVwf3Jr8kY/ViW8P3wgLII/AAAAAAAAVko/th-rEvMamwE/s640/IMG_1451%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-c25fr4yY2bk/ViW8ub08UgI/AAAAAAAAVlg/EUGefGoomE8/s640/IMG_1464%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2dIROP2Y_tU/ViW78SlgVRI/AAAAAAAAVkY/3MbkHbeMLrQ/s640/IMG_1446%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Dosari yajitokeza kura za maoni ubunge jimbo la Iringa mjini, mgombea ataka mchakato usitishwe
Frank Kibiki ambaye pia ni Mwanahabari wa Magazeti ya Uhuru na Mzalendo wa mkoani Iringa akionyesha walivyokosea jina lake.
Frank Kibiki ambaye pia ni Mwanahabari wa Magazeti ya Uhuru na Mzalendo wa mkoani Iringa.
Na Mwandishi wetu, Iringa
WAKATI kura za maoni za kutafuta wagombea ubunge katika majimbo yote nchini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) zikipigwa leo, mmoja kati ya wagombea 13 wanaotafuta nafasi hiyo Jimbo la Iringa Mjini, Frank Kibiki anataka zoezi hilo jimboni humo...
9 years ago
VijimamboUPDATES: MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA SHINYANGA MJINI INASEMEKANA AMETEKWA NA KUNYANG’ANYWA FOMU YA UBUNGE
Chanzo chetu kilijaribu kuzungumza na mwenezi wa jimbo hilo ili kuthibitisha tukio hilo lakini pia simu ya mgombea ilikuwa haipatikani.
Chanzo chetu kimeongea na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha tukio hilo.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
Chanzo:...
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Mgombea ubunge ACT - Wazalendo anusurika ajalini
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Polisi yathibitisha mgombea ubunge wa ACT kutekwa
9 years ago
GPLMGOMBEA UBUNGE KINONDONI ACT-WAZALENDO KWENDA MAHAKAMANI
9 years ago
Habarileo03 Sep
Mgombea ACT-Wazalendo Arusha atamba
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia chama cha ACT Wazalendo, Estomih Mallah amesema ndiye mgombea mwenye sifa za kuwa mbunge jimboni humo kutokana na kutekeleza nusu ya ahadi alizotoa ndani ya miezi sita.