ACT - Wazalendo yapata mgombea ubunge Arusha Mjini
Hatimaye Chama cha ACT-Wazalendo mkoani Arusha kimempata mgombea atakayepeperusha bendera yake katika uchaguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo la Arusha Mjini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo06 Nov
ACT-Wazalendo yapata mgombea wake Arusha
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimemteua mwanamama Navaroi Mollel kuwa mgombea ubunge wa chama hicho katika Jimbo la Arusha Mjini.
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Mgombea ubunge wa ACT Arusha Mjini amwombea kura Lowassa
10 years ago
Mwananchi02 Oct
Mgombea ubunge ACT - Wazalendo anusurika ajalini
9 years ago
GPLMGOMBEA UBUNGE KINONDONI ACT-WAZALENDO KWENDA MAHAKAMANI
10 years ago
Habarileo03 Sep
Mgombea ACT-Wazalendo Arusha atamba
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia chama cha ACT Wazalendo, Estomih Mallah amesema ndiye mgombea mwenye sifa za kuwa mbunge jimboni humo kutokana na kutekeleza nusu ya ahadi alizotoa ndani ya miezi sita.
10 years ago
Dewji Blog25 Oct
Mgombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, apiga kura Singida mjini
Mgombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Anna Mughwira,akihakiki jina lake kwenye ubao wa matangazo muda mfupi kabla hajapiga kura kwenye kituo cha shule ya msingi Kibaoni mjini Singida leo.
Mgombea urais kupitia ACT- Wazalendo, Anna Mughwira, akipiga kura kuchagua Rais, Mbunge na Diwani katika kituo cha shule ya msingi Kibaoni mjini Singida. Pamoja na mambo mengine, Mughwira ameseme endapo wapiga kura wataamua kuchagua chama ambacho kimenadi sera zake kwenye kampeni, anauhakika...
10 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, KARAMA MASUDI "KALAPINA" AZINDUA KAMPENI ZAKE
10 years ago
VijimamboMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBAGALA (ACT-WAZALENDO), AHAIDI MAKUBWA KATIKA JIMBO HILO
Na Dotto Mwaibale
MGOMBEA ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu ameahidi endapo atachaguliwa nafasi hiyo atahakikisha anapunguza gharama za huduma...
10 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBAGALA (ACT-WAZALENDO), AAHIDI MAKUBWA KATIKA JIMBO HILO
Na Dotto MwaibaleMGOMBEA ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Soud Rajabu ameahidi endapo atachaguliwa nafasi hiyo atahakikisha anapunguza gharama za huduma...