VIJANA CCM WAJITOKEZA KWA WINGI KUCHUKUA FOMU ZA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI
Mtia nia wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Moshi mjini,Priscus Tarimo,akikabidhiwa fomu ya nafasi hiyo na katibu wa CCM manispaa ya Moshi,Loth Ole Nesele katika ofis za chama hicho za Wilaya ya Moshi mjini.
Mtia nia ya kugombea Ubunge jimbo la Moshi mjini,Priscus Tarimo,akitoa maelezo yake kwa Katibu Msaidizi wa CCM wilaya ya Moshi mjini Donatha Mushi alipofika kwa ajili ya zoezi la uchukuaji wa fomu.
Priscus Tarimo akizungumza na na wanahabari( hawako pichani) muda mfupi baada ya kumaliza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWANA CCM KIBAO WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI
10 years ago
VijimamboVIJANA CCM WAJITOKEZA KULITAKA JIMBO LA MOSHI MJINI
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
SIKU chache baada ya kumalizika mchakato wa kumpata kada atakaye peperusha bendera ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kinyang’anyiro cha kumpata Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,Makada wa chama hicho sasa wamerejea majimboni na kuanza harakati za kuwania nafasi ya kuteuliwa kugombea Ubunge..
Hali hiyo inajitokeza katika jimbo la Moshi...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-LUjVYvQnweY/VaoUjDP5a-I/AAAAAAAASYM/BQnv-IIThUs/s72-c/E86A6515%2B%25281280x853%2529.jpg)
EDMUND RUTARAKA AELEZEA MATARAJIO YAKE YA UBUNGE MOSHI MJINI NI BAADA YA KUCHUKUA FOMU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-LUjVYvQnweY/VaoUjDP5a-I/AAAAAAAASYM/BQnv-IIThUs/s640/E86A6515%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9gFurnisjCA/VaAPZ9SbWyI/AAAAAAAAR_4/k7C2SL4xpOc/s72-c/E86A3219%2B%25281280x853%2529.jpg)
MJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM, EDMUND RUTARAKA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-9gFurnisjCA/VaAPZ9SbWyI/AAAAAAAAR_4/k7C2SL4xpOc/s640/E86A3219%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hdz-n9BJrPk/VaAPZqL2-ZI/AAAAAAAAR_0/rIDfLnNY-OE/s640/E86A3224%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tVoXeKwILOM/VbMSdDSuShI/AAAAAAAAStQ/V5sPuYAonAU/s72-c/DSCF5951%2B%25281280x960%2529.jpg)
WATIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI KUPITIA CCM WAJINADI MBELE YA WAJUMBE KATA YA MAWENZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-tVoXeKwILOM/VbMSdDSuShI/AAAAAAAAStQ/V5sPuYAonAU/s640/DSCF5951%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dip-LVPmoAc/VbMSTS4FA8I/AAAAAAAASss/tpf0RH2j0gY/s640/DSCF5945%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0ojaUBuq1Co/VbMSpeY56CI/AAAAAAAASt0/G0f8wmSB8PY/s640/DSCF5969%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7CIoSmTlhGA/VbMST0VISvI/AAAAAAAASs8/jJ_fkfr2kjM/s640/DSCF5944%2B%25281280x960%2529.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cJld9uKSJ1s/VR9xDiIxn1I/AAAAAAAHPRI/NRnk9HCEwnw/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
MH. MAKALLA ACHANGIWA FEDHA ZA KUCHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MVOMERO
Tukio la kuchangiwa fedha za kuchukulia fomu lilichagizwa na Naibu Waziri wa Afya, Dk. Stephen Kebwe aliyefanya ziara ya kukagua hospitali teule ya Bwagala na kisha kuongea na wananchi kwenye mkutano mkubwa wa hadhara.
Alipopanda jukwaani, Dk. Stephen Kebwe...
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mgana Msindai achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo ya Singida mjini kwa tiketi ya CHADEMA
Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida na Mwenyekiti wa wenyeviti CCM mikoa ya Tanzania, Mgana Izumbe Msindai, akikabidhiwa fomu na msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya manispaa ya Singida, Joseph Mchina ya kugombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia tiketi ya CHADEMA.(Picha na Nathaniel Limu).
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h1JZXy1Nro4/VUb-ip179AI/AAAAAAAHVCw/S_avItByED4/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Makalla aendelea kuchangiwa fedha za kuchukua fomu ya kuwania Ubunge jimbo la Mvomero
Katika mkutano mkubwa wa kihistoria wanawake wa matawi walimtaka mbunge huyo wakati ukifika achukue fomu na wao wanamuahidi ushindi ndani ya chama na nje ya...
9 years ago
VijimamboUPDATES: MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA SHINYANGA MJINI INASEMEKANA AMETEKWA NA KUNYANG’ANYWA FOMU YA UBUNGE
Chanzo chetu kilijaribu kuzungumza na mwenezi wa jimbo hilo ili kuthibitisha tukio hilo lakini pia simu ya mgombea ilikuwa haipatikani.
Chanzo chetu kimeongea na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha tukio hilo.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
Chanzo:...