WANA CCM KIBAO WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI
Mtia nia wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Moshi mjini, Priscus Tarimo, akikabidhiwa fomu ya nafasi hiyo na katibu wa CCM manispaa ya Moshi, Loth Ole Nesele katika ofis za chama hicho za Wilaya ya Moshi mjini.
Naibu kamanda wa Vijana wa CCM, manispaa ya Moshi, Edmund Rutaraka akipokea fomu ya kuwania nafasi ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho kutoka kwa katibu msaidizi wa CCM wilaya ya Moshi mjini,Donatha Mushi.
Kada wa Chama cha Mapinduzi manispaa ya Moshi Daudi Mrindoko akiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboVIJANA CCM WAJITOKEZA KWA WINGI KUCHUKUA FOMU ZA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cJld9uKSJ1s/VR9xDiIxn1I/AAAAAAAHPRI/NRnk9HCEwnw/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
MH. MAKALLA ACHANGIWA FEDHA ZA KUCHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MVOMERO
Tukio la kuchangiwa fedha za kuchukulia fomu lilichagizwa na Naibu Waziri wa Afya, Dk. Stephen Kebwe aliyefanya ziara ya kukagua hospitali teule ya Bwagala na kisha kuongea na wananchi kwenye mkutano mkubwa wa hadhara.
Alipopanda jukwaani, Dk. Stephen Kebwe...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h1JZXy1Nro4/VUb-ip179AI/AAAAAAAHVCw/S_avItByED4/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Makalla aendelea kuchangiwa fedha za kuchukua fomu ya kuwania Ubunge jimbo la Mvomero
Katika mkutano mkubwa wa kihistoria wanawake wa matawi walimtaka mbunge huyo wakati ukifika achukue fomu na wao wanamuahidi ushindi ndani ya chama na nje ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-LUjVYvQnweY/VaoUjDP5a-I/AAAAAAAASYM/BQnv-IIThUs/s72-c/E86A6515%2B%25281280x853%2529.jpg)
EDMUND RUTARAKA AELEZEA MATARAJIO YAKE YA UBUNGE MOSHI MJINI NI BAADA YA KUCHUKUA FOMU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-LUjVYvQnweY/VaoUjDP5a-I/AAAAAAAASYM/BQnv-IIThUs/s640/E86A6515%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-13auukSeezE/VbMHM95oxpI/AAAAAAAASq8/bALIgq8T3No/s72-c/E86A7932%2B%25281280x853%2529.jpg)
CHADEMA MOSHI MJINI WAMPITISHA JAFARY MICHAEL KUWANIA UBUNGE WA JIMBO HILO
![](http://3.bp.blogspot.com/-13auukSeezE/VbMHM95oxpI/AAAAAAAASq8/bALIgq8T3No/s640/E86A7932%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9W7HXPT7y58/VbMG9cr2-JI/AAAAAAAASp0/vVznuyLrWhs/s640/E86A7718%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ePCVCJU5HEI/VbMHW87FwYI/AAAAAAAASrw/chsXpES53iI/s640/E86A7996%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboVIJANA CCM WAJITOKEZA KULITAKA JIMBO LA MOSHI MJINI
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
SIKU chache baada ya kumalizika mchakato wa kumpata kada atakaye peperusha bendera ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kinyang’anyiro cha kumpata Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,Makada wa chama hicho sasa wamerejea majimboni na kuanza harakati za kuwania nafasi ya kuteuliwa kugombea Ubunge..
Hali hiyo inajitokeza katika jimbo la Moshi...
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
Mustafa Panju achukua na kurudisha fomu ya kuwania Ubunge jimbo la Arusha mjini, ahaidi umoja na maendeleo
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha, Mustafa Panju ambaye ni mmoja wa wagombea wa jimbo la Arusha mjini kupitia chama cha mapinduzi CCM akimkabidhi Katibu wa CCM wilaya ya Arusha, Ferooz Bano fomu ya kuwania kinyang’anyiro hicho baada ya kuchukua fomu hiyo jana na kurejesha huku akisisitiza kuwa endapo atafanikiwa kupitishwa na chama hicho au laa atashirikiana na wananchi pamoja na wanaCCM katika kuleta maendeleo katika jimbo hilo ambalo lipo mikononi...
10 years ago
Michuzi19 Jul
MUSTAFA PANJU ACHUKUA NA KURUDISHA FOMU YA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA ARUSHA MJINI AAHIDI UMOJA NA MAENDELEO
![SAM_3880](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/8w-bum7k-L2VtnpTOcU6V6WQhQUOioCD2WvG8ifL7BWBVwRQrOxAYN_Rq7cRjsT76uFKnVLUKP2-w5MuFLCJXv1vkQvtdQXYJGB319bLMjoSDVw=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_3880.jpg)