Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyalandu atangazwa kutetea nafasi yake ya ubunge jimbo la Singida kaskazini

IMG_0213

Mbunge mteule wa jimbo la Singida kaskazini, Lazaro Samwel Nyalandu (katikati) akiwa amepumzika akisubiri kutangazwa kwa matokeo ya nafasi ya ubunge leo. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Singida vijijini, Naruba Hanje na kulia ni Shyrose Matembe anayewania nafasi ya ubunge viti maalum mkoa wa Singida.

IMG_0239

Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Singida kaskazini, Hajat Farida Mwasumilwe, akimkabidhi cheti cha kuthibitishwa kuwa mbunge, Lazaro Samwel Nyalandu leo.

IMG_0249

Mbunge mteule Lazaro Samwel...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

nyalandu arudi jimboni kutetea kiti chake cha ubunge singida kaskazini

 Waziri wa Maliasili na Utalii ambayre ni Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro nyalandu akizungumza katika kijiji cha Muvae wilayani Singida juzi alipokwenda kutangaza nia ya kutetea kiti chake katika uchaguzi mkuu ujao. Waziri wa Maliasili na Utalii ambayre ni Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro nyalandu akizungumza katika kijiji cha Muvae wilayani Singida juzi alipokwenda kutangaza nia ya kutetea kiti chake katika uchaguzi mkuu ujao. Waanchi wa kijiji cha Muvae wakimsikiliza Waziri wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Nyalandu achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Singida Kaskazini

FOMU

Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu akichukua fomu ya kugombea Ubunge katika jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi CCM kwa  MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA SINGIDA KASKAZINI, Mkurugenzi Mtendaji HAJJAT MWASUMILWE.

hotubA

Nyalandu akihutubia wananchi Kinyagigi.

kinyagigi

Lazaro Nyalandu akiwa Kinyagigi.

MAPOKEZI

Wananchi wa kijiji cha Kinyagigi wakimpokea Nyalandu.

 

10 years ago

Michuzi

NYALANDU ASHINDA KURA ZA MAONI UBUNGE CCM SINGIDA KASKAZINI

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameibuka na ushindi wa kishindo katika kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwania ubunge Jimbo la Singida Kaskazini.
Nyalandu, ambaye alikitetea nafasi hiyo aliwashinda wagombea wenzake saba waliojitokeza kupambana naye, ambapo aliongoza kwenye kata zote za jimbo hilo na kuwaacha mbali wapinzani wake.
Mwanasiasa huyo kijana na mwenye ushawishi mkubwa, aliongoza katika Kata za Ikhanoda, Msange, Itaja, Mwasauya, Mrama, Maghojoa,...

 

9 years ago

Dewji Blog

NYALANDU AHUTUBIA WANANCHI: Ni katika kampeni Kata ya Ikhanoda jimbo la Singida Kaskazini, asema hakuna kulala mpaka kieleweke

 

 

NYALANDU

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akihutubia wananchi wa kijiji cha Ikhanoda Jimbo la Singida Kaskazini wakati wa Mkutano wa Kampeni wa kujinadi na kumnadi Mgombea Urais wa CCM, John Magufuli sanjari na Diwani wa Kata hiyo Hinga Mnyawi jana.

LAZARO

 Nyalandu kihutubia mkutano kijiji cha ikhanoda.

BI. MZIKI

Mmoja wa wabibi wa kijiji cha Ikhanoda akicheza mziki wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea Ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu.

BIBI

Bibi: bibi akicheza mziki wakati wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mwalimu Mussa Ramadhan Sima, atangazwa kuvaa viatu vya MO jimbo la Singida mjini

IMG_0164

Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Singida mjini, Joseph Mchina (kulia) akimkabidhi Mwalimu Mussa Ramadhan Sima, cheti cha ushindi wa ubunge jimbo la Singida mjini leo.

Na Nathaniel Limu, Singida

Mgombea wa nafasi ya urais kupitia CCM, Dk.John Pombe Magufuli, amezoa kura 36,035 katika jimbo la Singida mjini sawa na asilimia 64.09 za kura zote 56,558 zilizopigwa.

Wagombea wengine wa nafasi ya urais na kura zao kwenye mabano kuwa ni mgombea wa Ukawa Lowassa Edward Ngoyai (19,007), mgombea wa ACT...

 

10 years ago

BBCSwahili

Museveni kutetea nafasi yake?

Rais Yoweri Museveni anatarajiwa kuwa miongoni mwa watakaochukua fomu kuwania nafasi ya uongozi ndani ya chama tawala, Uganda

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA WA NAFASI YA UBUNGE JIMBO LA DODOMA MJINI KUPITIA CCM ANTHON MAVUNDE AMECHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA NAFASI HIYO

  Mgombea ubunge kupitia chama cha mapinduzi [CCM] Jimbo la Dodoma Mjini  Anthon Mavunde akipokea Fomu za kugombea nafasi hiyo Toka kwa Afsa Uchaguzi Manispaa ya Dodoma Elizabert Gumbo jana mjini Humo.Picha na John Banda
  Mavunde akionyesha Fomu hizo baada ya kuzichukua katika ofisi za manispaa jana. Mgombea Ubunge jimbo la Dodoma mjini kupitia CCM Anthon Mavunde akiwapungia watu Mikono juu ya Gari wakati alipokuwa akienda kuchukua Fomu za kugombea nafasi hiyo. Baadhi ya wafuasi wa Chadema...

 

10 years ago

Michuzi

RIDHIWANI KIKWETE KUTETEA KITI CHAKE CHA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, ACHUKUA FOMU LEO

????????????????????????????????????Mh. Ridhiwani Kikwete mbunge wa jimbo la Chalinze akisalimiana na Diwania wa Kata ya Bwilingu Bw, Ahmed Masser wakati alipowasili katika eneo la mkutano uliofanyika mji mdogo wa Chalinze jana ukiwa na lengo la kuelezea utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya CCM uliofanywa na Mbunge huyo kwa kipindi cha mwaka mmoja katika huduma za Afya, Elimu, Maji, Miundombinu, Uchumi, Michezo na amaendeleo mengine ya kijamii.Mh. Ridhiwania Kikwete ametanganza rasmi jana katika mkutano huo nia yake ya...

 

10 years ago

GPL

RIDHIWANI KIKWETE KUTETEA KITI CHAKE CHA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, ACHUKUA FOMU LEO‏

Mh. Ridhiwani Kikwete mbunge wa jimbo la Chalinze akisalimiana na wananchi mbalimbali wakati alipowasili katika eneo la mkutano mjini Chalinze. Mh. Ridhiwani Kikwete mbunge wa jimbo la Chalinze akizungumza jambo na Katibu wake Bw. Idd Swala huku Diwani wa Kata ya Bwilingu Ahmed Nasser akisikiliza kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo Bw.ndugu Majid Mwanga. Mh. Ridhiwani Kikwete mbunge wa jimbo la Chalinze akizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani