RIDHIWANI KIKWETE KUTETEA KITI CHAKE CHA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, ACHUKUA FOMU LEO
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/254.jpg)
Mh. Ridhiwani Kikwete mbunge wa jimbo la Chalinze akisalimiana na wananchi mbalimbali wakati alipowasili katika eneo la mkutano mjini Chalinze. Mh. Ridhiwani Kikwete mbunge wa jimbo la Chalinze akizungumza jambo na Katibu wake Bw. Idd Swala huku Diwani wa Kata ya Bwilingu Ahmed Nasser akisikiliza kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo Bw.ndugu Majid Mwanga. Mh. Ridhiwani Kikwete mbunge wa jimbo la Chalinze akizungumza...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi17 Jul
RIDHIWANI KIKWETE KUTETEA KITI CHAKE CHA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, ACHUKUA FOMU LEO
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/158.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-j71gYvxL_YU/VaX_UOqG7rI/AAAAAAAHp04/3w0lk1xbEjY/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
nyalandu arudi jimboni kutetea kiti chake cha ubunge singida kaskazini
![](http://3.bp.blogspot.com/-j71gYvxL_YU/VaX_UOqG7rI/AAAAAAAHp04/3w0lk1xbEjY/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uM1pXT79C9k/VaX_T-WKXbI/AAAAAAAHp00/i9MqSTZ15sA/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7KbU1pnA5GM/VaX_T7bl5CI/AAAAAAAHp08/y9dDP36ub6A/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi07 Apr
RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA KWA KISHINDO UBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE
![](https://2.bp.blogspot.com/-K7hEfHq8qac/U0GqM21QUPI/AAAAAAABeag/fu28H1wc3cE/s1600/IMG_7134.jpg)
Na John Bukuku Ridhiwani Kikwete aliyekuwa mgombea ubunge uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kupitia CCM ameibuka kidedea kwa asilimia 86.61 katika uchaguzi huo kwa kuwamwaga wagombea wengine kutoka vyama vinne vya upinzani.
Matokeo hayo rasmi yametangazwa usiku wa kuamkia leo April 7, 2014 majira ya saa nane usiku katika shule ya sekondari Chalinze na Msimamizi...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/36.jpg)
MH. RIDHIWANI KIKWETE AFANYA MAMBO MAKUBWA JIMBO LA CHALINZE
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X3SliI1tTo0/Ux6mOJ9LOJI/AAAAAAAFS1M/43tPVoZ_EQc/s72-c/Ready.jpg)
CCM YAMTEUA NDG. RIDHIWANI KIKWETE KUWA MGOMBEA WA UBUNGE KWENYE UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA CHALINZE
![](https://4.bp.blogspot.com/-SopthPE7gj0/Ux6YTsJC85I/AAAAAAAAkYk/D48yjAdviPQ/s1600/ridh.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imemteua Kada wa CCM, Ridhiwani Kikwete kuwa mgombea wake wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze kuziba nafasi iliyoachwa wazi na mbunge wa zamani wa jimbo hilo, marehemu Said Mwanamdogo.
Taarifa iliyotolewa na Makao Makuu ya CCM kupitia Idara ya Itikadi na uenezi CCM, imesema wakati uzinduzi wa kampeni za CCM katika uchaguzi huo utafanywa na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, kampeni za zitaongozwa na Katibu wa...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-kCfwItAexIo/VatiyqgZRkI/AAAAAAAA36c/menfWDSjxTM/s640/mkotya%2B1.jpg)
MHARIRI WA GAZETI LA MTANZANIA, KHAMIS MKOTYA ACHUKUA FOMU ZA UBUNGE KUPAMBANA NA NKAMIA JIMBO LA CHEMBA, DODOMA
10 years ago
Michuzi18 Jul
Steven Nyerere achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni na kurudisha leo