RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA KWA KISHINDO UBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE
Ridhiwani Kikwete akizungumza na waandishi wa habari baada ya kupiga kura mjini Chalinze jana.
Na John Bukuku
Ridhiwani Kikwete aliyekuwa mgombea ubunge uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kupitia CCM ameibuka kidedea kwa asilimia 86.61 katika uchaguzi huo kwa kuwamwaga wagombea wengine kutoka vyama vinne vya upinzani.
Matokeo hayo rasmi yametangazwa usiku wa kuamkia leo April 7, 2014 majira ya saa nane usiku katika shule ya sekondari Chalinze na Msimamizi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HqOXYkp5m9w/UyNzgVgH1wI/AAAAAAAFTjo/injizW5Jk1U/s72-c/52.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE AANZA KAMPENI KWA KISHINDO JIMBO LA CHALINZE
![](http://3.bp.blogspot.com/-HqOXYkp5m9w/UyNzgVgH1wI/AAAAAAAFTjo/injizW5Jk1U/s1600/52.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fvYL_g5Yk3c/UyNojFi6r8I/AAAAAAAFThU/I95wZvYcImU/s1600/4.jpg)
11 years ago
Michuzi04 Mar
NEWS ALERT: MATOKEO KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA CHALINZE:,RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/7bXsQR_1gaLa7cRRVzAXfADetD4o2SOl9jc7ZQonhbTM8FaSWtQNSYY_YZT8qVVfEEo-Zfd1Bfan5ZzXl08AuI0VZj3CZT3zsTnQEeqD0FUl1h97z3xuHrSTQYRVyWg2OmVLsZ6KHA2CWVWP-tSSA6r8=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-sea.xx.fbcdn.net/hphotos-frc1/t1/1962798_688078337922818_1898229911_n.jpg)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/-BD7UFpa8hDduwraU9_uWGk4YkaHHpHgpINhFkkKhkBbKslIZadA3vpQ1p3FF4r72KTnX-ovXlkOP32knyPj0fy8GTYHbT8cwHFw7RoLhi5_Vj4-aUjSlgdBcYq8y3NMeI7-8yOgEAjnCo-vT5gNfAY=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-sea.xx.fbcdn.net/hphotos-ash3/t1/1922466_688078064589512_148624167_n.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Bu9WYA5mJwvcX19hrsenqb5DuL7pVzxMLkRFin4NbHPIFybr_XlIPWdYxAAcMHXVDo6pxPh2uxXM0MBYoUPbgskD_obGfyOh5bIRxMRsfYzFPKe_T6sLVwVz3Xxb3RWPGLUnLBsBZpGofcyUU7Prmzp-=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-sea.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/t1/10003938_688090411254944_622046925_n.jpg)
10 years ago
Michuzi17 Jul
RIDHIWANI KIKWETE KUTETEA KITI CHAKE CHA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, ACHUKUA FOMU LEO
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/158.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X3SliI1tTo0/Ux6mOJ9LOJI/AAAAAAAFS1M/43tPVoZ_EQc/s72-c/Ready.jpg)
CCM YAMTEUA NDG. RIDHIWANI KIKWETE KUWA MGOMBEA WA UBUNGE KWENYE UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA CHALINZE
![](https://4.bp.blogspot.com/-SopthPE7gj0/Ux6YTsJC85I/AAAAAAAAkYk/D48yjAdviPQ/s1600/ridh.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imemteua Kada wa CCM, Ridhiwani Kikwete kuwa mgombea wake wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze kuziba nafasi iliyoachwa wazi na mbunge wa zamani wa jimbo hilo, marehemu Said Mwanamdogo.
Taarifa iliyotolewa na Makao Makuu ya CCM kupitia Idara ya Itikadi na uenezi CCM, imesema wakati uzinduzi wa kampeni za CCM katika uchaguzi huo utafanywa na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, kampeni za zitaongozwa na Katibu wa...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/254.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE KUTETEA KITI CHAKE CHA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, ACHUKUA FOMU LEO
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
Ridhiwani Kikwete apita kwa kishindo uchaguzi mdogo Chalinze
![ridhiwani](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/ridhiwani1.jpg)
Ridhiwani Kikwete akizungumza na waandishi wa habari baada ya kupiga kura mjini Chalinze jana.
NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-CHALINZE
Ridhiwani Kikwete aliyekuwa mgombea ubunge uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze Bagamoyo mkoani Pwani kupitia Chama cha Mapinduzi CCM ameibuka kidedea kwa asilimia 86.61 katika uchaguzi huo na kuwamwaga wagombea wengine kutoka vyama vinne vya upinzani.
Matokeo ya uchaguzi huo yanaonyesha Ridhiwani ameongoza akifuatiwa na CHADEMA ,CUF,NRA na ASP.
Matokeo hayo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10