Wassira atangaza kutetea ubunge Bunda
>Mbunge wa Jimbo la Bunda (CCM), Stephen Wassira ametangaza kuwa atatetea tena nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu ujao, huku akijigamba kuwa yeye ni “mwarobaini wa matatizo†yanayowakabili wakazi wa jimbo hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
CHADEMA yawaanika Wassira, Bulaya Bunda
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), kimemshukia Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira jimboni kwake Bunda na kuwaeleza wananchi namna alivyo kigeugeu na mbadhirifu wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXXPHjC-yAasFduKEOt0QZ3I-suqqLit3iaCX2TpHkrkrKgjZTPA8zk7RnwZs3zmQvvdAotTT7Zp7qpbLygVXH4y/wasirra.jpg?width=650)
STEPHEN WASSIRA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
10 years ago
Michuzi26 Oct
WAZIRI CHIKAWE ATANGAZA KUTETEA JIMBO LAKE
![PIX 1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/PIX-15.jpg)
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe ametangaza rasmi kuwa atagombea tena katika nafasi ya ubunge kupitia CCM katika uchaguzi Mkuu ujao na kulitetea jimbo lake. Alisema hayo juzi alipokuwa akizungumza na wananchi pamoja na viongozi wa CCM wa Wilaya na Kata ya Mtua, wilayani Nachingwea katika sherehe ya kuwapokea viongozi na wanachama wapya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliojiunga na...
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Mawakili watano kutetea ubunge wa Kubenea
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MWANASHERIA Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu anatarajiwa kuongoza jopo la mawakili watano watakaomtetea Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema) katika kesi ya kupinga ubunge wake.
Kesi hiyo ilifunguliwa na aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Didas Massaburi.
Kubenea aliyasema hayo Dar es Salaam jana alipozungumza na MTANZANIA baada ya Massaburi kufungua shauri la madai namba 8 la mwaka huu...
10 years ago
Habarileo27 Jun
Chadema warudisha fomu za kuwania ubunge Bunda
JUMLA ya wanachama 10 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambao ni kati ya wanachama 13 waliokuwa wamechukua fomu za kugombea ubunge katika jimbo la Bunda, kupitia tiketi ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, wamerudisha fomu.
9 years ago
Dewji Blog27 Oct
Nyalandu atangazwa kutetea nafasi yake ya ubunge jimbo la Singida kaskazini
Mbunge mteule wa jimbo la Singida kaskazini, Lazaro Samwel Nyalandu (katikati) akiwa amepumzika akisubiri kutangazwa kwa matokeo ya nafasi ya ubunge leo. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Singida vijijini, Naruba Hanje na kulia ni Shyrose Matembe anayewania nafasi ya ubunge viti maalum mkoa wa Singida.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-j71gYvxL_YU/VaX_UOqG7rI/AAAAAAAHp04/3w0lk1xbEjY/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
nyalandu arudi jimboni kutetea kiti chake cha ubunge singida kaskazini
![](http://3.bp.blogspot.com/-j71gYvxL_YU/VaX_UOqG7rI/AAAAAAAHp04/3w0lk1xbEjY/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uM1pXT79C9k/VaX_T-WKXbI/AAAAAAAHp00/i9MqSTZ15sA/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7KbU1pnA5GM/VaX_T7bl5CI/AAAAAAAHp08/y9dDP36ub6A/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi17 Jul
RIDHIWANI KIKWETE KUTETEA KITI CHAKE CHA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, ACHUKUA FOMU LEO
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/158.jpg)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/254.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE KUTETEA KITI CHAKE CHA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, ACHUKUA FOMU LEO