CHADEMA yawaanika Wassira, Bulaya Bunda
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), kimemshukia Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira jimboni kwake Bunda na kuwaeleza wananchi namna alivyo kigeugeu na mbadhirifu wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV21 Aug
Chadema yapasuka Bunda, kisa Bulaya
Bulaya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), alihamia Chadema hivi karibuni na moja kwa moja kwenda kujaribu siasa za...
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Bulaya amvaa Wassira
9 years ago
Raia Tanzania21 Aug
Bulaya alikoroga Bunda
UAMUZI wa vikao vya juu vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwapitisha wagombea ubunge bila ridhaa ya wanachama huenda ikaathiri mwenendo wa uchaguzi katika Jimbo la Bunda.
Taarifa kutoka jimboni humo zinasema kwamba uteuzi wa Esther Bulaya aliyeanguka kwenye kura za maoni jimboni humo, umekipasua chama hicho baada ya viongozi wote wa juu jimboni humo kusimamishwa kazi na baadaye kutangaza kuachia madaraka.
Esther alikuwa Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) kabla ya kuamua...
10 years ago
TheCitizen21 Jul
Bulaya shuns Bunda contest
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-jfe2sdAw0C4/VmjZCHojsUI/AAAAAAAAXZ0/JwBH_-B768w/s72-c/2015-12-09%2B09.16.28.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Wassira atangaza kutetea ubunge Bunda
10 years ago
VijimamboALIYEKUWA MBUNGE WA VITI MAALUM KUPITIA CCM. ESTER BULAYA,AMEPOKELEWA NA MAELFU YA WAKAZI WA BUNDA
Aliyekuwa mbunge wa viti maalum kupitia vijana (ccm) Ester Bulaya, amepokewa na maelfu ya wakazi wa Bunda baada ya kukihama chama hicho na kujiunga na chama cha demokrasia na mendeleo CADEMA na kudai tayari amechukua na kurudisha fomu kwa ajili ya kuwania Ubunge wa jimbo la Bunda mjini kupitia chama hicho na kuahidi kushirikiana na wananchi kuleta mabadiliko ya kiuchumi kwa wananchi bila kujali itikadi ya vyama na kusisitiza hataweza kuwaangusha wanabunda na watanzania wote.
9 years ago
IPPmedia27 Oct
Esther Bulaya (Chadema)
IPPmedia
IPPmedia
Several CCM heavyweights including prominent ministers have lost their parliamentary seats, according to official results released yesterday. One of the big names who beaten in Sunday's General Election is Deputy Minister of State in the Prime Minister ...
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
Chadema ya leo inamhitaji Lembeli au Esther Bulaya?
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) enzi za kina Dk Wilbroad Slaa pamoja na Chadema ile y
Mayage S. Mayage