Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Esther Bulaya (Chadema)


IPPmedia
Esther Bulaya (Chadema)
IPPmedia
Several CCM heavyweights including prominent ministers have lost their parliamentary seats, according to official results released yesterday. One of the big names who beaten in Sunday's General Election is Deputy Minister of State in the Prime Minister ...

IPPmedia

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Mwema

Chadema ya leo inamhitaji Lembeli au Esther Bulaya?

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) enzi za kina Dk Wilbroad Slaa pamoja na Chadema ile y

Mayage S. Mayage

 

11 years ago

Mwananchi

Esther Bulaya apinga uamuzi wa kibabe

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Esther Bulaya, amesema uamuzi wa kibabe ndani ya Bunge hilo la kihistoria hautasaidia kuleta maridhiano na umoja wa kitaifa.

 

10 years ago

Habarileo

Esther Bulaya ataka wazazi kuwekeza kwenye elimu

MBUNGE wa Viti Maalumu kupitia kundi la vijana kutoka mkoani Mara, Esther Bulaya amewataka wazazi na wananchi kwa ujumla kuwekeza kwenye elimu kwani ndio msingi wa maisha.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Esther Bulaya ataka wazazi wawekeze kwenye elimu

MBUNGE wa viti maalum Esther Bulaya (CCM), amewataka wazazi na wananchi kwa ujumla kuwekeza kwenye elimu kwa kuboresha miundombinu na kusomesha watoto wao kwa sababu ndio msingi wa maisha. Mbunge...

 

9 years ago

StarTV

Chadema yapasuka Bunda, kisa Bulaya

KARIBU robo tatu ya viongozi wakuu wa Chadema wilayani hapa, walijiuzulu nyadhifa zao jana na kutangaza kuhamishia nguvu zao kwa mgombea ubunge wa CCM, Stephen Wasira. Wamedai wanafanya hivyo kutokana na kukerwa na kitendo cha makao makuu ya Chadema, kumpitisha Esther Bulaya kuwa mgombea ubunge jimboni humo, licha ya kuwa alishika nafasi ya tatu katika kura za maoni.

Bulaya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), alihamia Chadema hivi karibuni na moja kwa moja kwenda kujaribu siasa za...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yawaanika Wassira, Bulaya Bunda

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), kimemshukia Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira jimboni kwake Bunda na kuwaeleza wananchi namna alivyo kigeugeu na mbadhirifu wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Lembeli ashinda kura za maoni Chadema, Bulaya almanusura

>Wabunge wawili waliohama CCM hivi karibuni, James Lembeli na Ester Bulaya wamepitishwa katika kura za maoni kuwania ubunge kupitia chama chao kipya.

 

10 years ago

GPL

JAMES LEMBELI NA ESTER BULAYA WAKABIDHIWA RASMI KADI ZA CHADEMA

Ester Bulaya na James Lembeli kwenye Mkutano wa Chadema hii leo jijini Mwanza. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amewakabidhi rasmi kadi za uanachama, aliyekuwa Mbunge wa Kahama, Mh. James Daudi Lembeli na aliyekuwa Mbuge wa Kuteuliwa mkoani Mara, Ester Amos Bulaya kwenye Mkutano wa chama hicho unaoendelea mpaka sasa jijini… ...

 

10 years ago

GPL

ESTER BULAYA, LEMBELI WAKIWA KATIKA MKUTANO WA CHADEMA MWANZA LEO

Waliokuwa wabunge wa CCM,  Mzee James Lembeli (kulia) na Easter Bulaya wakiwa katika mkutano wa Chadema leo jijini Mwanza. PICHA ZAIDI INGIA HAPA ====>http://bit.ly/1LDd6eG

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani