Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ESTER BULAYA, LEMBELI WAKIWA KATIKA MKUTANO WA CHADEMA MWANZA LEO

Waliokuwa wabunge wa CCM,  Mzee James Lembeli (kulia) na Easter Bulaya wakiwa katika mkutano wa Chadema leo jijini Mwanza. PICHA ZAIDI INGIA HAPA ====>http://bit.ly/1LDd6eG

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JAMES LEMBELI NA ESTER BULAYA WAKABIDHIWA RASMI KADI ZA CHADEMA

Ester Bulaya na James Lembeli kwenye Mkutano wa Chadema hii leo jijini Mwanza. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amewakabidhi rasmi kadi za uanachama, aliyekuwa Mbunge wa Kahama, Mh. James Daudi Lembeli na aliyekuwa Mbuge wa Kuteuliwa mkoani Mara, Ester Amos Bulaya kwenye Mkutano wa chama hicho unaoendelea mpaka sasa jijini… ...

 

10 years ago

Michuzi

Dk. Willibroad Slaa atua mwanza kuwatambulisha lembeli na bulaya leo

 Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk. Willibroad Slaa akiwa kwenye gari katika msafara wa mapokezi kwa ajili ya mkutano wa hadhara wa kuwatambulisha Mbunge wa Kahama, James Lembeli na Mbunge wa Viti Maalumu, Ester Bulaya waliohamia Chadema wakitokea CCM jana jijini Mwanza. Msafara ukiendelea kuelekea uwanjani sasaMbunge wa Jimbo la Kahama, mkoani Shinyanga, James Lembeli (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Taifa, John Mnyika, wakiwapungia wananchi mikono...

 

10 years ago

Raia Mwema

Chadema ya leo inamhitaji Lembeli au Esther Bulaya?

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) enzi za kina Dk Wilbroad Slaa pamoja na Chadema ile y

Mayage S. Mayage

 

10 years ago

Mwananchi

Lembeli ashinda kura za maoni Chadema, Bulaya almanusura

>Wabunge wawili waliohama CCM hivi karibuni, James Lembeli na Ester Bulaya wamepitishwa katika kura za maoni kuwania ubunge kupitia chama chao kipya.

 

10 years ago

IPPmedia

Ester Bulaya (Special Seats, CCM)


IPPmedia
Ester Bulaya (Special Seats, CCM)
IPPmedia
Lawmakers yesterday demanded explanation from the government on emergency plans it has lined up to rescue lives of Tanzanians who are suffering due to the shortage of medicines in hospitals after it failed to settle 90bn/- it owes the Medical Store ...
Govt set to issue statement on 102bn/- MSD debtDaily News

all 2

 

10 years ago

KwanzaJamii

Ester Bulaya atangaza vita na Wasira

Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Ester Bulaya (kulia) akifurahia jambo la Waziri Mkuu Mizengo Pinda katika mojawapo ya vikao vya Bunge mjini Dodoma. Dar es Salaam. Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Ester Bulaya ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Bunda ambalo linashikiliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira. Kwa nia hiyo, Bulaya anaweza kuwa ametangaza vita dhidi ya Wasira ambaye hivi karibuni akiwa Bunda, alitangaza kukitetea kiti...

 

11 years ago

Tanzania Daima

ESTER BULAYA: Mbunge anayepigania maendeleo ya vijana

LEO nawaletea Ester Bulaya, Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Mara. Kama kawaida yetu, hatuandiki juu ya maisha binafsi juu ya Bulaya, hayo tunawaachia watu wengine. Tumeamua kuandika juu...

 

5 years ago

The Citizen Daily

Opposition MPs Halima Mdee and Ester Bulaya in hot water again

Opposition MPs Halima Mdee and Ester Bulaya in hot water again  The Citizen Daily

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA WAJIBU WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUKUZA UTALII WAFANYIKA LEO JIJINI MWANZA

 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa,Ndugu Allan Kijazi akizungumza jambo,wakati wa ufunguzi wa Warsha ya Wahariri wa Habari Tanzania,mapema leo asubuhi jijini Mwanza.Ndugu Kijazi alisema kuwa Utalii ni sekta mtambuka na inachochea ukuaji wa sekta nyingine ikiwa ni pamoja na kilimo, usafirishaji wa anga na barabara, huduma za fedha, huduma za chakula na malazi kudorora kwa sekta nyinginezo.  "Hivyo kudorora kwa sekta hii huchangia kwa kiasi kikubwa kudorora kwa sekta nyingine. ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani