ESTER BULAYA: Mbunge anayepigania maendeleo ya vijana
LEO nawaletea Ester Bulaya, Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Mara. Kama kawaida yetu, hatuandiki juu ya maisha binafsi juu ya Bulaya, hayo tunawaachia watu wengine. Tumeamua kuandika juu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboALIYEKUWA MBUNGE WA VITI MAALUM KUPITIA CCM. ESTER BULAYA,AMEPOKELEWA NA MAELFU YA WAKAZI WA BUNDA
Aliyekuwa mbunge wa viti maalum kupitia vijana (ccm) Ester Bulaya, amepokewa na maelfu ya wakazi wa Bunda baada ya kukihama chama hicho na kujiunga na chama cha demokrasia na mendeleo CADEMA na kudai tayari amechukua na kurudisha fomu kwa ajili ya kuwania Ubunge wa jimbo la Bunda mjini kupitia chama hicho na kuahidi kushirikiana na wananchi kuleta mabadiliko ya kiuchumi kwa wananchi bila kujali itikadi ya vyama na kusisitiza hataweza kuwaangusha wanabunda na watanzania wote.
10 years ago
KwanzaJamii24 Sep
Ester Bulaya atangaza vita na Wasira
10 years ago
IPPmedia11 Nov
Ester Bulaya (Special Seats, CCM)
IPPmedia
IPPmedia
Lawmakers yesterday demanded explanation from the government on emergency plans it has lined up to rescue lives of Tanzanians who are suffering due to the shortage of medicines in hospitals after it failed to settle 90bn/- it owes the Medical Store ...
Govt set to issue statement on 102bn/- MSD debtDaily News
all 2
5 years ago
The Citizen Daily17 Mar
Opposition MPs Halima Mdee and Ester Bulaya in hot water again
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UUHZoZFGT4g2i3WsmfkMnceVY1fIjHKpCaahMgusetQLtLHKq9GozOSsgXzcR8651q7XBCrgOGc81oeORBwgCsFq*76WOLjB/13.gif)
JAMES LEMBELI NA ESTER BULAYA WAKABIDHIWA RASMI KADI ZA CHADEMA
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/11703133_933997036664094_8345820761567523157_n-1.jpg)
ESTER BULAYA, LEMBELI WAKIWA KATIKA MKUTANO WA CHADEMA MWANZA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DTWj1YVVI-I/VMUP4SfDlMI/AAAAAAAG_b8/ayiEyEm_2xo/s72-c/Pix%2B1.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Bibi Ester Makalili akizungumza na ujumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo walipomtembelea ofisini kwake kabla ya kukutana na vijana wa Wilaya hiyo kutoa mafunzo ya Ujasiriamali, Stadi
![](http://2.bp.blogspot.com/-DTWj1YVVI-I/VMUP4SfDlMI/AAAAAAAG_b8/ayiEyEm_2xo/s1600/Pix%2B1.jpg)
10 years ago
MichuziElimu kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana yawafikia Vijana wa Mbeya Vijijini
Vijana wa Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Mbeya Vijijini wametakiwa kutokuwa na tafsiri hasi kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana kuwa ni takrima inayotolewa na serikali kwa vijana hivyo kuchezea fedha hizo na kushindwa kurejesha mkopo watakaouomba kupitia mfuko huo.
Hayo yamesemwa na Mwezeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa wakati wa semina iliyotolewa kwa Vijana wa Mbeya Vijijini kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, Stadi za...
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Vijana wilayani Kasulu wapewa somo kuhusu fursa za Mfuko wa Maendeleo ya Vijana
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Mhe. Dani Makanga akizungumza na wajumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo waliofika ofsini kwake kwa ajili ya kujitambulisha kabla ya kuendelea na ratiba yao ya mafunzo kwa Vijana wa Halmashauri za Kasulu na Bihigwe leo mjini Kasulu. Katikati ni Mkuu wa msafara huo ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Esther Riwa na wa kwanza kushoto ni Afisa Vijana wa wizara hiyo Bi. Amina...