Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Bibi Ester Makalili akizungumza na ujumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo walipomtembelea ofisini kwake kabla ya kukutana na vijana wa Wilaya hiyo kutoa mafunzo ya Ujasiriamali, Stadi
![](http://2.bp.blogspot.com/-DTWj1YVVI-I/VMUP4SfDlMI/AAAAAAAG_b8/ayiEyEm_2xo/s72-c/Pix%2B1.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Bibi Ester Makalili akizungumza na ujumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo walipomtembelea ofisini kwake kabla ya kukutana na vijana wa Wilaya hiyo kutoa mafunzo ya Ujasiriamali, Stadi za Maisha, Ujuzi na Mfuko wa Maendeleo ya Vijana jana katika Wilaya ya Chunya Mkoa wa Mbeya. Kushoto ni Mwenzeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa na kushoto ni Mkuu wa Kituo cha Vijana Sasanda Mbeya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MM4mPixXl6Q/VZl7GQEH0kI/AAAAAAAHnJ0/YplgBei2Gac/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na michezo yahitimisha mafunzo kwa kutembelea miradi mbalimbali wilaya ya Nzega
![](http://1.bp.blogspot.com/-MM4mPixXl6Q/VZl7GQEH0kI/AAAAAAAHnJ0/YplgBei2Gac/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cy2X8io8-do/U-MrZPuJY3I/AAAAAAAF9rg/g-AE14ImzrY/s72-c/IMG_7058.jpg)
Wizara ya Habari Vijana,Utamaduni na Michezo yakagua miradi ya vikundi vya Vijana vya Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-cy2X8io8-do/U-MrZPuJY3I/AAAAAAAF9rg/g-AE14ImzrY/s1600/IMG_7058.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gpnxq7LzDZg/U-MraFOyqFI/AAAAAAAF9ro/yEISLAEsulA/s1600/IMG_7079.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CFHKBfCwZDo/VjF5KUwzZJI/AAAAAAAIDTs/WzwALMNBtlc/s72-c/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
Ujumbe kutoka nchi za maziwa makuu wamtembelea katibu mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-CFHKBfCwZDo/VjF5KUwzZJI/AAAAAAAIDTs/WzwALMNBtlc/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMT5GABGKaBZj4JMDhYJrIcKG74ljtOxqILDxNLKJCXKgS6zJ1lMX0S1taTAteW0dHwWykeQNxEAHkpYpPiI6Gfy/unnamed22.jpg?width=650)
WAGENI KUTOKA NANJING CHINA WATEMBELEA OFISI ZA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pG4pAyml9_I/VHlv8txeYPI/AAAAAAAG0Fw/lDLEQxRgI04/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
Wageni kutoka Nanjing China watembelea Ofisi za Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-pG4pAyml9_I/VHlv8txeYPI/AAAAAAAG0Fw/lDLEQxRgI04/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JvjucgQRNLc/VHlv9BcSiMI/AAAAAAAG0F0/k8oCJyVYS0U/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
11 years ago
Michuzi29 Mar
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo yaandaa kongamano la vijana la vyuo vya elimu ya juu.
Kongamano hili la Vijana kuhusu Muungano linafanyika Jumapili Machi 30, 2014 kuanzia Saa 5:00 Asubuhi katika ukumbi wa Ubungo Plaza, Dar es Salaam na litarushwa moja kwa moja na Televisheni ya Taifa, TBC One na TBC Taifa.
Kongamano hili ni sehemu ya...
9 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WIZARA YA HABARI , VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO ATEMBELEA MABANDA MAONYESHO YA WIKI YA VIJANA MJINI DODOMA.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vS91bNVLCL8/VafkgkZqpMI/AAAAAAAHqHU/Wa-mfYklEto/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
Mkurugenzi Mkuu mpya TCRA Dkt.Ally Yahaya Simba amtembelea Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-vS91bNVLCL8/VafkgkZqpMI/AAAAAAAHqHU/Wa-mfYklEto/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gIVlifSpd8I/VafklLcnB8I/AAAAAAAHqHk/5DuUpv4LC2U/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuendelea kushirikiana na wadau katika kuendeleza Utamaduni
Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (kushoto) akifungua kituo cha utamaduni wa China nchini Tanzania mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel na kulia ni Mkurugenzi wa Utamaduni toka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Hermas Mwansoko.
Baadhi ya wanafunzi wa Kitanzania wanaojifunza lugha ya Kichina katika kituo cha Utamaduni wa China nchini Tanzania wakiimba nyimbo kwa lugha ya...