Esther Bulaya apinga uamuzi wa kibabe
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Esther Bulaya, amesema uamuzi wa kibabe ndani ya Bunge hilo la kihistoria hautasaidia kuleta maridhiano na umoja wa kitaifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
IPPmedia27 Oct
Esther Bulaya (Chadema)
IPPmedia
Esther Bulaya (Chadema)
IPPmedia
Several CCM heavyweights including prominent ministers have lost their parliamentary seats, according to official results released yesterday. One of the big names who beaten in Sunday's General Election is Deputy Minister of State in the Prime Minister ...
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
Chadema ya leo inamhitaji Lembeli au Esther Bulaya?
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) enzi za kina Dk Wilbroad Slaa pamoja na Chadema ile y
Mayage S. Mayage
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
Esther Bulaya ataka wazazi wawekeze kwenye elimu
MBUNGE wa viti maalum Esther Bulaya (CCM), amewataka wazazi na wananchi kwa ujumla kuwekeza kwenye elimu kwa kuboresha miundombinu na kusomesha watoto wao kwa sababu ndio msingi wa maisha. Mbunge...
10 years ago
Habarileo05 Oct
Esther Bulaya ataka wazazi kuwekeza kwenye elimu
MBUNGE wa Viti Maalumu kupitia kundi la vijana kutoka mkoani Mara, Esther Bulaya amewataka wazazi na wananchi kwa ujumla kuwekeza kwenye elimu kwani ndio msingi wa maisha.
11 years ago
Habarileo04 Mar
Ponda apinga uamuzi wa DPP
KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda ameiomba mahakama kutupilia mbali pingamizi la awali, lililowasilishwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) dhidi ya ombi lake la marejeo. Alidai hayo jana mbele ya Jaji Augustine Mwarija wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kupitia kwa Wakili wake, Juma Nassoro.
10 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Tumekubali kuandikiwa katiba kibabe?
WATANZANIA haijulikani kama ni waoga au wajinga kwa sababu wamekuwa wenye kukubali kila kitu halafu mwishowe wanabaki kunung’unika wakati uwezo wa kuchukua hatua stahiki wanao. Ukisoma sura ya pili ya...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Chenge ahofiwa kuliongoza Bunge kibabe
BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wameanza kuonyesha wasiwasi wao kuwa iwapo Andrew Chenge atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa kudumu mijadala ya Katiba itaendeshwa kimizengwe. Wakizungunza kwa nyakati tofauti...
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Wananchi wamsimika ‘mwenyekiti’ wao kibabe
5 years ago
MichuziParimatch yafanya maboresho, yaja kibabe na mfumo mpya
Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch imefanya maboresho makubwa katika tovuti yao ya kubashiri, ambayo kwa sasa itawawezesha wateja wao na watanzania kiujumla wanaopenda kubashiri kujumuika pamoja.
Wateja wa Parimatch watacheza kwa pamoja michezo yote ya Simulated Reality League, E-Sports, masumbwi na soka ambayo inatarajiwa kurejea Mei 16 ikianza na Ligi ya Ujerumani ‘Bundesliga,’ kwa kutumia intaneti kidogo.
Hayo yamesemwa na Meneja Mkuu wa...