Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi wamsimika ‘mwenyekiti’ wao kibabe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana nchini, ulitawaliwa na vituko katika sehemu nyingi, lakini kikubwa ni kile kilichotokea katika Kijiji cha Kambi ya Chokaa, Wilaya ya Simanjiro, mkoani Manyara baada ya wananchi kumweka madarakani na kumwingiza ofisini Joshua Kuney (CCM) kuwa mwenyekiti wa kijiji hicho, badala ya Mbuki Mollel aliyeteuliwa na chama hicho kuwania nafasi hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kinana aagiza wananchi kumbana mwenyekiti wao

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ameuagiza uongozi na wananchi wa wilayani hapa mkoani Manyara kumbana Mwenyekiti wa Chadema wa wilaya, Augustino Mayomba anayedaiwa kumiliki hati ya mkataba wa mnara wa simu wa Vodacom uliopo Kijiji cha Bassotu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wamshitaki mwenyekiti wao kwa mbunge

WAKAZI wa Kijiji cha Kongogo wilayani hapa mkoani Dodoma, wamemshitaki Mwenyekiti wa Kijiji hicho, Daudi Husein kwa Mbunge wao, Omar Badwel (CCM), kwa madai ya kujigeuza Mungu mtu katika utendaji...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanakijiji Hongwa walia na mwenyekiti wao

WANANCHI wa Kijiji cha Hongwa Kata ya Kinamapula Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama, wamemlalamikia Mwenyekiti wao kwa ufisadi aliofanya katika miradi ya maendeleo ikiwemo kuuza ng’ombe wa kijiji hicho. Walitoa...

 

11 years ago

GPL

WAJUMBE UVCCM MORO WAMKATAA MWENYEKITI WAO

Baadhi ya wajumbe wa UVCCM kutoka wilaya mbalimbali za mkoa wa Morogoro wakiwa na mabango ya kumkataa Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Morogoro Herieth Sutta anayedaiwa kushindwa…

 

10 years ago

Vijimambo

WAFANYABIASHARA MWANZA WAFUNGA MADUGA KUMSAPOTI MWENYEKITI WAO MINJA


Baadhi ya maduka ya wafanyabiashara jijini Mwanza, yakiwa yamefungwa leo Jumatano Februari 11, 2015, wakidai ni njia ya 'kumsapoti' mwenyekiti wa taifa wa jumuiya wafanyabiashara, Johnson Minja, aliyepanda kizimbani kwa mara ya pili leo Jumatano Februari 11, 2015 kwenye mahakama moja mjini Dodoma. Minja anashtakiwa kwa kuchochea wafanyabiashara mjini Dodoma watende kosa la jinai madai aliyoyakanusha kortini.Minja, (Kulia), akiongozana na wakili wake, Godfrey Waonga wakati akiwasili...

 

10 years ago

GPL

ASKARI WA JKT WAENDA KUMJULIA HALI MWENYEKITI WAO ALIYETEKWA

Mwenyekiti wa JKT, George Mgoba akiwa wodini.…

 

10 years ago

GPL

WAFANYABIASHARA MWANZA WAGOMA, KISA MWENYEKITI WAO KUNYIMWA DHAMANA

Baadhi ya maduka katika mitaa mbalimbali mkoani Mwanza yakiwa yamefungwa huku wananchi wakihangaika kutafuta huduma hiyo. Asilimia kubwa ya maduka yamefungwa. ...Hali ilikuwa hivi katika mitaa mbalimbali jijini Mwanza. Na Johnson James, GPL /  Mwanza WAFANYABIASHARA wanaofanya shughuli…

 

10 years ago

GPL

BAADHI YA WAFANYABIASHARA JIJINI DAR WAFUNGA MADUKA KUMUUNGA MKONO MWENYEKITI WAO

Baadhi ya maduka Mtaa wa Gerezani, Kariakoo yakiwa yamefungwa leo. Mbali na maduka mengine kufungwa, baadhi ya maduka yalikuwa wazi yakiendelea kutoa huduma kwa wateja. Baadhi ya wafanyabiashara…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani