Wananchi wamsimika ‘mwenyekiti’ wao kibabe
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana nchini, ulitawaliwa na vituko katika sehemu nyingi, lakini kikubwa ni kile kilichotokea katika Kijiji cha Kambi ya Chokaa, Wilaya ya Simanjiro, mkoani Manyara baada ya wananchi kumweka madarakani na kumwingiza ofisini Joshua Kuney (CCM) kuwa mwenyekiti wa kijiji hicho, badala ya Mbuki Mollel aliyeteuliwa na chama hicho kuwania nafasi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 May
Kinana aagiza wananchi kumbana mwenyekiti wao
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
Wananchi wamshitaki mwenyekiti wao kwa mbunge
WAKAZI wa Kijiji cha Kongogo wilayani hapa mkoani Dodoma, wamemshitaki Mwenyekiti wa Kijiji hicho, Daudi Husein kwa Mbunge wao, Omar Badwel (CCM), kwa madai ya kujigeuza Mungu mtu katika utendaji...
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Wanakijiji Hongwa walia na mwenyekiti wao
WANANCHI wa Kijiji cha Hongwa Kata ya Kinamapula Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama, wamemlalamikia Mwenyekiti wao kwa ufisadi aliofanya katika miradi ya maendeleo ikiwemo kuuza ng’ombe wa kijiji hicho. Walitoa...
11 years ago
GPLWAJUMBE UVCCM MORO WAMKATAA MWENYEKITI WAO
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Gu0ReCRX5E4/default.jpg)
10 years ago
VijimamboWAFANYABIASHARA MWANZA WAFUNGA MADUGA KUMSAPOTI MWENYEKITI WAO MINJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-hJJLz0ayYbw/VNtygSEMUuI/AAAAAAAAPwY/tyr5nWdUc9A/s640/MWENYEKITI%2BMINJA%2B1.jpg)
10 years ago
GPLASKARI WA JKT WAENDA KUMJULIA HALI MWENYEKITI WAO ALIYETEKWA
10 years ago
GPLWAFANYABIASHARA MWANZA WAGOMA, KISA MWENYEKITI WAO KUNYIMWA DHAMANA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVK0YidHV6mbrxvBr2aXtVJdfJVlI-LluCuXu7RM-UGiN7b9CJtk-M5hjAFDNN6nsbcV0HvGtiiG86Ju4komTGiE/maduka5.jpg?width=650)
BAADHI YA WAFANYABIASHARA JIJINI DAR WAFUNGA MADUKA KUMUUNGA MKONO MWENYEKITI WAO