WAFANYABIASHARA MWANZA WAFUNGA MADUGA KUMSAPOTI MWENYEKITI WAO MINJA
Baadhi ya maduka ya wafanyabiashara jijini Mwanza, yakiwa yamefungwa leo Jumatano Februari 11, 2015, wakidai ni njia ya 'kumsapoti' mwenyekiti wa taifa wa jumuiya wafanyabiashara, Johnson Minja, aliyepanda kizimbani kwa mara ya pili leo Jumatano Februari 11, 2015 kwenye mahakama moja mjini Dodoma. Minja anashtakiwa kwa kuchochea wafanyabiashara mjini Dodoma watende kosa la jinai madai aliyoyakanusha kortini.
Minja, (Kulia), akiongozana na wakili wake, Godfrey Waonga wakati akiwasili...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVK0YidHV6mbrxvBr2aXtVJdfJVlI-LluCuXu7RM-UGiN7b9CJtk-M5hjAFDNN6nsbcV0HvGtiiG86Ju4komTGiE/maduka5.jpg?width=650)
BAADHI YA WAFANYABIASHARA JIJINI DAR WAFUNGA MADUKA KUMUUNGA MKONO MWENYEKITI WAO
10 years ago
GPLWAFANYABIASHARA MWANZA WAGOMA, KISA MWENYEKITI WAO KUNYIMWA DHAMANA
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Wafanyabiashara Kibaha wafunga maduka
WAFANYABIASHARA zaidi ya 50 wa mji wa Kibaha Mkoani Pwani, wamefunga maduka yao kuwaunga mkono wafanyabiashara saba waliofungiwa maduka na Mamlaka ya Mapato (TRA), mkoani hapa kutokana na kukosa mashine...
10 years ago
Habarileo28 Jan
Kariakoo wafunga maduka, kumsaka bosi wao
WAFANYABIASHARA wa Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam, wameandamana hadi kituo cha Polisi cha Kati, wakidai wapewe taarifa wapi alipopelekwa Mwenyekiti Taifa wa Jumuiya ya Wafanyabiashara, Johnson Minja.
11 years ago
MichuziNEWS ALERT: WAKULIMA WA MELELA, MOROGORO WAFUNGA BARABARA KUSHINIKISHA KUKUTANA NA MKUU WA MKOA WAO
Wakulima hao ambao wanalima katika Mashamba yaliopo eneo la Mkangazi,Wilayani Mvomero,walilazimika kufunga barabara hiyo ili iwe shinikizo la kufika kwa Mkuu huyo wa Mkoa na kuwasikiliza ikiwezekana kutatua kabisa tatizo lao.
Wakulima hao...
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Wafanyabiashara wakaidi mwisho wao Januari
10 years ago
Habarileo06 Mar
Mahakama yamuonya Mwenyekiti Jumuiya ya Wafanyabiashara
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wafanyabishara nchini, Johnson Minja (34) ametakiwa kuwaambia wafanyabiashara nchini kuacha kufunga maduka yao na kwenda kusikiliza kesi yake kila inapotajwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zQ2pP5BJqrU5nrBWsW01*r1xTJF9I4hAKVOw5t4KN8-XTHZwUa8KPGsWskce-vjtxlSXwdtcbtCoEDh48x*swH4RoKkr*fEB/MINJANEW.jpg?width=650)
MWENYEKITI WA WAFANYABIASHARA AACHIWA KWA DHAMANA DODOMA
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Wanakijiji Hongwa walia na mwenyekiti wao
WANANCHI wa Kijiji cha Hongwa Kata ya Kinamapula Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama, wamemlalamikia Mwenyekiti wao kwa ufisadi aliofanya katika miradi ya maendeleo ikiwemo kuuza ng’ombe wa kijiji hicho. Walitoa...