MWENYEKITI WA WAFANYABIASHARA AACHIWA KWA DHAMANA DODOMA
![](http://api.ning.com:80/files/zQ2pP5BJqrU5nrBWsW01*r1xTJF9I4hAKVOw5t4KN8-XTHZwUa8KPGsWskce-vjtxlSXwdtcbtCoEDh48x*swH4RoKkr*fEB/MINJANEW.jpg?width=650)
Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara Tanzania, Johnson Minja, (mwenye koti la kahawia), akisindikizwa na mawakili na wafanyabiashara wenzake. MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Johnson Minja ameachiwa kwa dhamana leo jijini Dodoma baada ya kushikiliwa kwa siku sita kufuatia kuondolewa dhamana ya awali kwa madai ya kukiuka masharti ya dhamana. Minja ameachiwa kwa dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWAFANYABIASHARA MWANZA WAGOMA, KISA MWENYEKITI WAO KUNYIMWA DHAMANA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0BwsZPYwdWUHlREjZJJCN14VGA0kW62IZxO7T930-3L9YeRMgD7unOxs9gfxwrHsXtiHS1QMaV1UrhxoSPwIAyr/PICHACHADEMA.jpg?width=750)
MASHA AACHIWA KWA DHAMANA
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Mansour aachiwa kwa dhamana Z’bar
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Kibonde aachiwa kwa dhamana Oysterbay
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Gwajima atoka hospitali, aachiwa kwa dhamana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXo919iGUTRGoHtp4t3D3sDCdwOV6mxPtGeWkk1gUDwtvhN3AV8mYvNbWQ*hfMlq--2dFHnO8Gqb**GuUq1ZU*b3/rickross2013.jpg?width=650)
RICK ROSS AACHIWA KWA DHAMANA YA DOLA MILIONI MBILI
11 years ago
GPLALIYEMNG’ATA HAUSIGELI NA KUMCHOMA PASI AACHIWA KWA DHAMANA
11 years ago
Michuzi06 Feb
MCHUNGAJI MSIGWA AFIKISHWA MAHAKAMANI, AACHIWA KWA DHAMANA NI KUTOKANA NA KESI YA KUJERIHI