Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RICK ROSS AACHIWA KWA DHAMANA YA DOLA MILIONI MBILI

Rapa maarufu duniani anayetokea nchi ya Marekani, Rick Ross. Rick Ross alipokuwa gerezani. MWANAMUZIKI Rick Ross wa Marekani ameachiwa huru baada ya kuweka dhamana ya dola milioni mbili kutokana na kutiwa mbaroni Juni 24 mwaka huu kwa tuhuma za kumteka nyara na kumshambulia mlinzi wake na kumtishia kwa bastola. Rapa huyo pia ameweka dhamana jumba lake lilikoko Fayette, Jimbo la Georgia, ambalo lilikuwa likimilikiwa na bondia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MASHA AACHIWA KWA DHAMANA

Lawrence Masha akiwa na wanachama wa Ukawa baada ya kuachiwa. Baada ya jana kulala mahabusu ya segerea, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha leo ameachiwa kwa dhamana baada ya kutimiza masharti ya dhamana. Masha, ambaye anashitakiwa kwa kosa la kuwazuia Polisi wasifanye kazi ikiwa ni pamoja na kuwatolea lugha ya matusi. Jana alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo alisomewa mashtaka...

 

9 years ago

Global Publishers

50 Cent amshitaki Rick Ross kwa kutumia beat ya wimbo wake

50-Cent1

Curtis James Jackson III ’50 Cent’.

Mwanamuziki wa Hip Hop nchini Marekani, Curtis James Jackson III ’50 Cent’ amemfungulia mashitaka Rapa
William Leonard Roberts II ‘Rick Ross’ kwa kurap kupitia beat ya wimbo wake wa “In Da Club” wakati akiipigia promo albamu yake mpya ya Black Market.

Rick Ross Mastermind Press photo 2014

William Leonard Roberts II ‘Rick Ross’.

50 amefungua shauri hilo Connecticut, Marekani na katika viambatanisho vya kesi hiyo anasema
wimbo wake umetumiwa na Rick Ross katika mixtape yake iitwayo ‘Renzel...

 

11 years ago

Mwananchi

Kibonde aachiwa kwa dhamana Oysterbay

Mwandishi wa habari, Ephraim Kibonde jana aliachiwa kutoka Kituo cha Polisi Oysterbay, Dar es Salaam alikokuwa akishikiliwa tangu mwishoni mwa wiki kwa tuhuma za kusababisha ajali ya gari na kutoa lugha ya matusi kwa askari wa usalama barabarani.

 

10 years ago

Mwananchi

Mansour aachiwa kwa dhamana Z’bar

Mahakama Kuu ya Zanzibar imemwachia kwa dhamana waziri wa zamani wa SMZ, Mansour Yusuph Himid ikisema hakuna kosa lisilokuwa na dhamana Zanzibar kwa mujibu wa sheria kwa kuwa si hatari kumiliki silaha, bali matumizi yake ndiyo hatari.

 

10 years ago

GPL

MWENYEKITI WA WAFANYABIASHARA AACHIWA KWA DHAMANA DODOMA

Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara Tanzania, Johnson Minja, (mwenye koti la kahawia), akisindikizwa na mawakili na wafanyabiashara wenzake. MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Johnson Minja ameachiwa kwa dhamana leo jijini Dodoma baada ya kushikiliwa kwa siku sita kufuatia kuondolewa dhamana ya awali kwa madai ya kukiuka masharti ya dhamana. Minja ameachiwa kwa dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Gwajima atoka hospitali, aachiwa kwa dhamana

>Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ameruhusiwa kutoka hospitalini alikokuwa amelazwa na baadaye kuachiwa na polisi kwa dhamana isiyokuwa na masharti.

 

9 years ago

Bongo5

50 Cent amshtaki Rick Ross kwa kutumia beat ya ‘In Da Club’ kwenye mixtape yake

rick-ross-and-50-cent

50 Cent anamshtaki Rick Ross akitaka alipwe dola milioni 2 kwa kuitumia beat ya wimbo wake wa kitambo, ‘In Da Club.’

rick-ross-and-50-cent

50 Cent anadai kuwa Rick Ross ametumia wimbo huo bila ruhusa yake ili kuipa kiki albamu yake Black Market.

Mashtaka hayo yamekuja miezi kadhaa baada ya 50 naye kutakiwa kulipa dola milioni 5 kwa Lastonia Leviston baada ya kupost sex tape yake. Leviston ana mtoto na Rick Ross.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata...

 

11 years ago

GPL

ALIYEMNG’ATA HAUSIGELI NA KUMCHOMA PASI AACHIWA KWA DHAMANA

Amina Said Maige (mwenye miwani) akisubiria kupandishwa kizimbani. Amina akiwa chini ya ulinzi akisubiri kupanda kizimbani. ...akijiziba kwa aibu kabla ya kupanda kizimbani.…

 

11 years ago

Michuzi

MCHUNGAJI MSIGWA AFIKISHWA MAHAKAMANI, AACHIWA KWA DHAMANA NI KUTOKANA NA KESI YA KUJERIHI

Na Francis Godwin, Iringa  MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (48) leo amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Iringa akituhumiwa kwa kosa la kujeruhi katika kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Nduli. Mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Iringa, Godfrey Isaya, Mwendesha Mashtaka wa Polisi, Elizabeth Swai alisema Mchungaji Msigwa alitenda kosa hilo Febrauri 5, 2014 katika kijiji cha Nduli, mjini Iringa.  Alisema Mchungaji Msigwa anashitakiwa kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani