Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


50 Cent amshtaki Rick Ross kwa kutumia beat ya ‘In Da Club’ kwenye mixtape yake

rick-ross-and-50-cent

50 Cent anamshtaki Rick Ross akitaka alipwe dola milioni 2 kwa kuitumia beat ya wimbo wake wa kitambo, ‘In Da Club.’

rick-ross-and-50-cent

50 Cent anadai kuwa Rick Ross ametumia wimbo huo bila ruhusa yake ili kuipa kiki albamu yake Black Market.

Mashtaka hayo yamekuja miezi kadhaa baada ya 50 naye kutakiwa kulipa dola milioni 5 kwa Lastonia Leviston baada ya kupost sex tape yake. Leviston ana mtoto na Rick Ross.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

50 Cent amshitaki Rick Ross kwa kutumia beat ya wimbo wake

50-Cent1

Curtis James Jackson III ’50 Cent’.

Mwanamuziki wa Hip Hop nchini Marekani, Curtis James Jackson III ’50 Cent’ amemfungulia mashitaka Rapa
William Leonard Roberts II ‘Rick Ross’ kwa kurap kupitia beat ya wimbo wake wa “In Da Club” wakati akiipigia promo albamu yake mpya ya Black Market.

Rick Ross Mastermind Press photo 2014

William Leonard Roberts II ‘Rick Ross’.

50 amefungua shauri hilo Connecticut, Marekani na katika viambatanisho vya kesi hiyo anasema
wimbo wake umetumiwa na Rick Ross katika mixtape yake iitwayo ‘Renzel...

 

9 years ago

Bongo5

50 Cent na Rick Ross waifufua bifu yao

reg_1024.ross.50.cm.13013_copy

50 Cent na Rick Ross walijikuta wakitupiana vijembe kwa mara nyingine kwenye Instagram weekend iliyomalizika.

reg_1024.ross.50.cm.13013_copy

Ugomvi huo wa maneno ulianza Ijumaa baada ya 50 Cent kudaiwa kupost picha ya t-shirt yenye mgongo wa Rick Ross uliojaa tattoo inayouzwa kwa dola $2.95.

Wakati picha hiyo imefutwa tayari, Ross aliweza kuiona na kujibu kupitia Twitter kwa kuandika. “Forced into #BANKRUPTCY now the Donkey @50cent WORKING 4 #MMG Merch co. selling T’s for 2.95 on the #BLACKMARKET haaa!”

Badala ya kukaa...

 

10 years ago

GPL

RICK ROSS ACHIMBWA MKWARA KUTUMIA PICHA ZA JAY Z

Rapa Rick Ross ‘Ricky Rozay’. New York, Marekani
MPIGA picha maarufu nchini Marekani, Armen Djerrahian, anaweza kujikuta katika vita ya maneno na rapa Rick Ross ‘Ricky Rozay’ baada ya kumpiga mkwara rapa huyo juu ya matumizi ya picha za Jay Z.Ross na Jay Z wamekuwa ni marafiki wa muda mrefu huku wakishirikiana kufanya kazi kadhaa pamoja. Mpiga picha maarufu nchini Marekani, Armen Djerrahian. Lakini...

 

11 years ago

Bongo5

Davido azungumzia collabo yake na Rick Ross na Meek Mill

Idadi ya collabo za wasanii wa Afrika, hasa Nigeria na mastaa wakubwa wa Marekani zinazidi kuongezeka. Baada ya Wizkid kuthibitisha kufanya collabo na Chris Brown na Rihanna, P-Square na T.I, sasa mshindi wa tuzo 2 za MTV (MAMA) na BET 2014, Davido nae amefunguka kuhusu collabo yake inayokuja na marapper wakubwa wa Marekani. Davido ameuambia […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Rick Ross amtumia mchumba wake Lira Galore kwenye video mpya ‘Sorry’

rick-ross-sorry-video

Rick Ross ameachia video ya wimbo wake ‘Sorry’ aliomshirikisha Chris Brown ambao ulitoka mwezi uliopita.

Kwenye video hiyo Rozay amemtumia mchumba wake Lira Galore kama video model, ikiwa ni siku moja tu imepita toka rapper huyo apost video kwenye mtandao wa Snapchat ikimuonesha yuko na Lira ambaye alionekana amevaa pete ya uchumba aliyovishwa na Rozay, siku chache toka zisambae taarifa kuwa wawili hao wameachana na Lira karudisha pete.

‘Sorry’ ni wimbo wa kwanza kutoka kwenye album mpya...

 

10 years ago

GPL

RICK ROSS AACHIWA KWA DHAMANA YA DOLA MILIONI MBILI

Rapa maarufu duniani anayetokea nchi ya Marekani, Rick Ross. Rick Ross alipokuwa gerezani. MWANAMUZIKI Rick Ross wa Marekani ameachiwa huru baada ya kuweka dhamana ya dola milioni mbili kutokana na kutiwa mbaroni Juni 24 mwaka huu kwa tuhuma za kumteka nyara na kumshambulia mlinzi wake na kumtishia kwa bastola. Rapa huyo pia ameweka dhamana jumba lake lilikoko Fayette, Jimbo la Georgia, ambalo lilikuwa likimilikiwa na bondia...

 

10 years ago

GPL

WIZKID: NILIMTAKA RICK ROSS KWENYE ‘REMIX’ YA ‘OJUELEGBA’ SIO DRAKE

Nyota wa muziki nchini Nigeria, Wizkid. NYOTA wa muziki nchini Nigeria, Wizkid, ambaye wimbo wake wa  ‘Ojuelegba’ unatamba baada ya kumshirikisha rapa Mmarekani, Drake, amesema mwanzoni alikuwa ametaka kumshirikisha rapa Rick Rose, lakini Drake ndiye aliyewahi kuwasiliana naye ili ashiriki kwenye wimbo huo. Katika mahojiano yake na vyombo vya habari, mwanamuziki huyo aliyezaliwa eneo la Surulere jijini Lagos,...

 

9 years ago

Mtanzania

Rick Ross, Lira warudiana

rick-ross-lira-galoreNEW YORK, MAREKANI

MKALI wa hip hop nchini Marekani, Rick Ross na mpenzi wake, Lira Galore, wamerudiana baada ya kuachana kwa muda mrefu.

Mrembo huyo mwishoni mwa wiki iliyopita aliweka picha kwenye akaunti yake ya Instagram, ambayo inaonesha wakiwa pamoja na Rick Ross.

“Kila kitu kipo sawa,” aliandika mrembo huyo kwenye akaunti hiyo. Hata hivyo, mrembo huyo alikanusha uvumi wa kwamba alikuwa anatoka na mpenzi wa zamani wa Amber Rose, Wizkhalifa.

“Amber Rose ni rafiki yangu wa karibu,...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Rick Ross – 2 Shots

rick-ross-2-shots

While he counts down to the Dec. 4 release of Black Market, Rick Ross keeps dropping videos off his September mixtape Black Dollar. The showy clip finds Renzel reveling in his riches as a sexy lady (not his fiancée Lira Galore) struts around his palatial estate. The MMG mogul flaunts his Rich Forever yacht, diamond watches, and stacks of cash, and raps in front of the Brooklyn Bridge.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani