Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


50 Cent amshitaki Rick Ross kwa kutumia beat ya wimbo wake

50-Cent1

Curtis James Jackson III ’50 Cent’.

Mwanamuziki wa Hip Hop nchini Marekani, Curtis James Jackson III ’50 Cent’ amemfungulia mashitaka Rapa
William Leonard Roberts II ‘Rick Ross’ kwa kurap kupitia beat ya wimbo wake wa “In Da Club” wakati akiipigia promo albamu yake mpya ya Black Market.

Rick Ross Mastermind Press photo 2014

William Leonard Roberts II ‘Rick Ross’.

50 amefungua shauri hilo Connecticut, Marekani na katika viambatanisho vya kesi hiyo anasema
wimbo wake umetumiwa na Rick Ross katika mixtape yake iitwayo ‘Renzel...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

50 Cent amshtaki Rick Ross kwa kutumia beat ya ‘In Da Club’ kwenye mixtape yake

rick-ross-and-50-cent

50 Cent anamshtaki Rick Ross akitaka alipwe dola milioni 2 kwa kuitumia beat ya wimbo wake wa kitambo, ‘In Da Club.’

rick-ross-and-50-cent

50 Cent anadai kuwa Rick Ross ametumia wimbo huo bila ruhusa yake ili kuipa kiki albamu yake Black Market.

Mashtaka hayo yamekuja miezi kadhaa baada ya 50 naye kutakiwa kulipa dola milioni 5 kwa Lastonia Leviston baada ya kupost sex tape yake. Leviston ana mtoto na Rick Ross.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata...

 

9 years ago

Bongo5

50 Cent na Rick Ross waifufua bifu yao

reg_1024.ross.50.cm.13013_copy

50 Cent na Rick Ross walijikuta wakitupiana vijembe kwa mara nyingine kwenye Instagram weekend iliyomalizika.

reg_1024.ross.50.cm.13013_copy

Ugomvi huo wa maneno ulianza Ijumaa baada ya 50 Cent kudaiwa kupost picha ya t-shirt yenye mgongo wa Rick Ross uliojaa tattoo inayouzwa kwa dola $2.95.

Wakati picha hiyo imefutwa tayari, Ross aliweza kuiona na kujibu kupitia Twitter kwa kuandika. “Forced into #BANKRUPTCY now the Donkey @50cent WORKING 4 #MMG Merch co. selling T’s for 2.95 on the #BLACKMARKET haaa!”

Badala ya kukaa...

 

10 years ago

GPL

RICK ROSS ACHIMBWA MKWARA KUTUMIA PICHA ZA JAY Z

Rapa Rick Ross ‘Ricky Rozay’. New York, Marekani
MPIGA picha maarufu nchini Marekani, Armen Djerrahian, anaweza kujikuta katika vita ya maneno na rapa Rick Ross ‘Ricky Rozay’ baada ya kumpiga mkwara rapa huyo juu ya matumizi ya picha za Jay Z.Ross na Jay Z wamekuwa ni marafiki wa muda mrefu huku wakishirikiana kufanya kazi kadhaa pamoja. Mpiga picha maarufu nchini Marekani, Armen Djerrahian. Lakini...

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West asahau mashairi ya wimbo wake kwenye birthday ya mama mkwe wake na kuanza kuimba wimbo wa adui yake 50 Cent

222

Kanye West anadaiwa alijikuta akisahau mashairi ya wimbo wake mwenyewe wakati alipoombwa kutumbuiza kwenye birthday ya mama mkwe wake, Kris Jenner aliyetimiza miaka 60 wiki iliyopita.

rs_634x1024-130820163003-634.kris.cm.82013

Rapper huyo mwenye umri wa miaka 38 alipewa mic na muimbaji Charlie Wilson, aliyekuwa akiimba wimbo wake kabla ya kuanza kuimba wimbo wa Kanye, ‘See Me Now’ – aliomshirikisha Beyonce na – lakini alikiri kuwa hakumbuki mashairi ya wimbo huo wa mwaka 2010 na haraka akaanza kuimba wimbo wa adui yake.

Chanzo...

 

9 years ago

Mtanzania

Rick Ross adaiwa kuiba gari la mke wake

BET Hip Hop Awards 2012 - Audience and ShowNEW YORK, MAREKANI

NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, William Roberts ‘Rick Ross, amekanusha kuhusika katika wizi wa gari ya mke wake aina ya BMW B7 lililokuwa likitumiwa na mtoto wao mwenye umri wa miaka 9.

Msanii huyo na mke wake, Tia Kemp, walilinunua gari hilo kwa ajili ya mtoto wao kwenda nalo shule, lakini mara kwa mara Rick Ross alikuwa akipenda kulitumia kitendo kilichokuwa kikizua ugomvi kati yao wa mara kwa mara.

Mwishoni mwa wiki iliyopita gari hilo lilipotea katika...

 

9 years ago

Bongo5

Rick Ross amchumbia girlfriend wake Lira Mercer

Rapper na Boss wa MMG, Rick Ross amemchumbia girlfriend wake aitwaye Lira Mercer. Mchumba wake huyo ambaye pia anafahamika kwa jina la Lira Galore, ameshare habari za uchumba wao kupitia Snapchat akionesha pete aliyovishwa na Rozay na kuandika “YES!”, “When it’s REAL, you just know.” Pia alishare kupitia Twitter. 💕💍 pic.twitter.com/YRPApzbdqM — Lira Mercer (@Lira_Galore) […]

 

9 years ago

Bongo5

Rick Ross na mchumba wake Lira Galore wadaiwa kurudiana, mashabiki wanahisi ilikuwa ni ‘Kiki’

rozay n lira

Wiki iliyopita zilienea taarifa za kuvunjika kwa uchumba kati ya Rick Ross na Lira Galore, baada Lira kuonekana akitoka nyumbani kwa rapper huyo akiwa hajavaa pete ya uchumba, na baadae Rozay naye alipost video Snapchat akiwa ameshikilia pete hiyo kitu kilichotoa uthibitisho kuwa huenda kweli uchumba umevunjika.

lira3

Lira ambaye aliwahi kuwa stripper jana amepost video mpya kwenye akaunti yake ya Snapchat ambayo inaonesha amevaa pete ile ile, na hakuwa peke yake, alikuwa na Rozay ambaye...

 

9 years ago

Bongo5

Rick Ross aeleza jinsi alivyomvisha pete ‘kibabe’ mchumba wake bila kupiga goti

Wiki hii rapper Rick Ross alifanyiwa mahojiano na kipindi maarufu cha The Breakfast Club kupitia Power 105 na aliongozana na mchumba wake Lira Galore aliyemvisha pete hivi karibuni. Miongoni mwa mambo aliyoyagusia katika mahojiano hayo ni pamoja na kumchumbia Lira. Rozay ambaye ni boss wa MMG aliweka wazi kuwa katika lile tendo la kumvisha pete […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Rick Ross amtumia mchumba wake Lira Galore kwenye video mpya ‘Sorry’

rick-ross-sorry-video

Rick Ross ameachia video ya wimbo wake ‘Sorry’ aliomshirikisha Chris Brown ambao ulitoka mwezi uliopita.

Kwenye video hiyo Rozay amemtumia mchumba wake Lira Galore kama video model, ikiwa ni siku moja tu imepita toka rapper huyo apost video kwenye mtandao wa Snapchat ikimuonesha yuko na Lira ambaye alionekana amevaa pete ya uchumba aliyovishwa na Rozay, siku chache toka zisambae taarifa kuwa wawili hao wameachana na Lira karudisha pete.

‘Sorry’ ni wimbo wa kwanza kutoka kwenye album mpya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani