Kanye West asahau mashairi ya wimbo wake kwenye birthday ya mama mkwe wake na kuanza kuimba wimbo wa adui yake 50 Cent
Kanye West anadaiwa alijikuta akisahau mashairi ya wimbo wake mwenyewe wakati alipoombwa kutumbuiza kwenye birthday ya mama mkwe wake, Kris Jenner aliyetimiza miaka 60 wiki iliyopita.
Rapper huyo mwenye umri wa miaka 38 alipewa mic na muimbaji Charlie Wilson, aliyekuwa akiimba wimbo wake kabla ya kuanza kuimba wimbo wa Kanye, ‘See Me Now’ – aliomshirikisha Beyonce na – lakini alikiri kuwa hakumbuki mashairi ya wimbo huo wa mwaka 2010 na haraka akaanza kuimba wimbo wa adui yake.
Chanzo...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KBI*TiKs6pJE3SW*8zV3ubrwyaTIwbeOR4svrIERsHgP9t7O8R0JS0qF79S*Jr8AjllnPojxjDMTjw9dZ*aDbNMPJz0jDlUp/DIAMON.jpg?width=650)
DIAMOND WIMBO WAKE WA KWANZA ALIUREKODI KWA FEDHA ZA KUMTAPELI PETE MAMA YAKE
9 years ago
Bongo528 Sep
Tunda Man kuelezea kwa wimbo jinsi alivyomtesa mama yake wakati wa ujauzito wake
9 years ago
Bongo503 Nov
Taylor Swift ashtakiwa kwa kuiba mashairi ya wimbo wake ‘Shake It Off’, atakiwa kulipa $42m
![taylor-swift_press-2013-650](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/taylor-swift_press-2013-650-300x194.jpg)
Staa wa Pop nchini Marekani, Taylor Swift anashtakiwa kwa kuiba mashairi ya wimbo wake wa mwaka 2014, Shake It Off na anatakiwa alipe dola milioni 42.
Muimbaji wa R&B, Jesse Braham, 50, anadai kuwa Swift aliiba maneno kutoka kwenye wimbo alioundika mwaka 2013 uitwao Haters Gone Hate.
Pamoja na kutaka alipwe kiasi hicho cha fedha kama fidia, Braham anataka jina lake liongezwe kama mwandishi wa wimbo huo. Wawakilishi wa Swift bado hawajajibu chochote kuhusiana na kesi hiyo.
Braham anasema...
9 years ago
Global Publishers24 Dec
50 Cent amshitaki Rick Ross kwa kutumia beat ya wimbo wake
Curtis James Jackson III ’50 Cent’.
Mwanamuziki wa Hip Hop nchini Marekani, Curtis James Jackson III ’50 Cent’ amemfungulia mashitaka Rapa
William Leonard Roberts II ‘Rick Ross’ kwa kurap kupitia beat ya wimbo wake wa “In Da Club” wakati akiipigia promo albamu yake mpya ya Black Market.
William Leonard Roberts II ‘Rick Ross’.
50 amefungua shauri hilo Connecticut, Marekani na katika viambatanisho vya kesi hiyo anasema
wimbo wake umetumiwa na Rick Ross katika mixtape yake iitwayo ‘Renzel...
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Kanye West kumzawadia mwanaye wimbo
BAADA ya Kanye West na mke wake Kim Kardashian, kufanikiwa kupata mtoto wa kiume ambaye amepewa jina la Saint West, msanii ameamua kuumiza kichwa kwa ajili ya kumpa zawadi ya wimbo mtoto huyo.
Kwa sasa mtoto huyo amekuwa akitajwa sana katika mitandao ya kijamii kutokana na umaarufu wa baba na mama yake, lakini Kanye West amesema anatarajia kuachia wimbo mkali ambao utakuwa ni zawadi kwa mtoto huyo.
“Mungu ametupatia zawaidi ya mtoto mwingine, lakini na mimi ninataka kumpa zawadi ya wimbo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGgY9t1iQR5IFOyxqFDHnWEq1RIUzNZZ085slwMyulArmIacvRUIoLPDoqLh0Fju5Ih*dQqPE9l56fZ6Q-cb5rbl/CHRISBROWN.jpg?width=650)
CHRIS BROWN AICHORA LAMBORGHINI YAKE MASHAIRI YA WIMBO WA 2PAC
9 years ago
Bongo527 Oct
Kanye West kufanya wimbo wa pamoja na mkewe Kim Kardashian?
9 years ago
Bongo511 Oct
Video: Obama ampa Kanye West dondoo muhimu za kumsaidia kwenye uamuzi wake wa kuwania Urais wa Marekani
9 years ago
Dewji Blog05 Nov
Jeff aachia video ya wimbo wake mpya wa “Mama Afrika” unaotangaza utalii wa Tanzania
Mwanamuziki aliyewahi ishi nchini Tanzania na pia mwenye asili ya Congo, Jeff Maximum ambaye anaishi Ughaibuni katika shughuli zake za Muziki katika pozi ambapo kwa sasa ameachia video ya wimbo wake mpya wa “Mama Afrika” ambao wimbo huo unatangaza Utalii wa Tanzania.
Na Mwandishi Wetu
Mwanamuziki anayefanya kazi zake nchini Marekani na Dubai, Jeff Maximum tayari ameshaachia video ya wimbo wake mpya uitwao “Mama Afrika” ambao umetayarishwa Bagamoyo Nchini Tanzania hivi karibuni.
Kwa mujibu...