Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHRIS BROWN AICHORA LAMBORGHINI YAKE MASHAIRI YA WIMBO WA 2PAC

Lamborghini Aventador ya Chris Brown baada ya kuchorwa mashairi ya wimbo wa 2Pac. Chris Brown (kulia) akiwa na mchora tattoo Huero.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Kanye West asahau mashairi ya wimbo wake kwenye birthday ya mama mkwe wake na kuanza kuimba wimbo wa adui yake 50 Cent

222

Kanye West anadaiwa alijikuta akisahau mashairi ya wimbo wake mwenyewe wakati alipoombwa kutumbuiza kwenye birthday ya mama mkwe wake, Kris Jenner aliyetimiza miaka 60 wiki iliyopita.

rs_634x1024-130820163003-634.kris.cm.82013

Rapper huyo mwenye umri wa miaka 38 alipewa mic na muimbaji Charlie Wilson, aliyekuwa akiimba wimbo wake kabla ya kuanza kuimba wimbo wa Kanye, ‘See Me Now’ – aliomshirikisha Beyonce na – lakini alikiri kuwa hakumbuki mashairi ya wimbo huo wa mwaka 2010 na haraka akaanza kuimba wimbo wa adui yake.

Chanzo...

 

10 years ago

GPL

9 years ago

GPL

WIMBO WA SORRY WA CHRIS BROWN WAIBUA MASWALI!

NEW YORK, Marekani
WIMBO wa hivi karibuni alioutoa Mwanamuziki Rick Ross akimshirikisha Chris Brown unaokwenda kwa jina la Sorry, umeibua maswali kutokana na mashairi yake kuwagusa wapenzi wa zamani wa Chris, Karrueche Tran na Robyn Rihanna Fenty. Wadau baada ya kusikiliza wimbo huo wamebaki njia panda huku wakishindwa kuelewa wimbo huo ni maalum kwa nani kati ya wawili hao. Hata hivyo, wengi wanaamini Sorry ni kwa...

 

10 years ago

Bongo5

Kesi ya kumdunda Rihanna yamsababisha Chris Brown aahirishe ziara yake

Pamoja na kupita miaka sita tangu Chris Brown ashtakiwe kwa kosa la kumpiga Rihanna, bado kesi hiyo imeendelea kumgharimu muimbaji huyo wa ‘Loyal’ Chris amelazimika kuahirisha ziara yake ya muziki iliyopewa jina ‘Between The Sheets’ iliyokuwa ianze Jumanne hii ili kumalizia saa 100 zilizosalia kwenye adhabu aliyopewa ya kufanya kazi za kijamii kwa saa 1,000. […]

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘Royalty’

Chris Brown tayari ameweka wazi tarehe ya kuachia album yake mpya aliyoipa jina la mwanaye ‘Royalty’ ambayo imepangwa kutoka rasmi November 27, 2015. Taarifa za album hiyo zimetolewa kupitia kipindi cha ‘Nessa and Camilo’. Nyimbo zilizoishasikika kutoka kwenye album hiyo ni ‘Liquor’ pamoja na ‘Zero’. Sina shaka ‘Royalty’ haitakumbwa na mikosi kama album yake iliyopita […]

 

10 years ago

Bongo5

New Song: Chris Brown aachia single mpya inayobeba jina la album yake ‘X’

Kuelekea Septemba 16, tarehe ambayo Chris Brown anatarajia kuachia album yake mpya, Jana (August 22) ameachia single mpya inayobeba jina la album hiyo ‘X’. X imetengenezwa na producer aitwaye Diplo.

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown kuita album yake ijayo jina la mtoto wake ‘ROYALTY’

Chris Brown (26) anajivunia kuwa baba ndio sababu amekuwa hafichi hizia zake juu ya mtoto wake wa mwaka mmoja. Kuonesha kiasi gani anampenda mtoto huyo wa kike, weekend iliyopita Breezy ametangaza jina la album yake itakayofata kuwa itaitwa jina la binti yake “Royalty”. Kwa maneno mafupi kupitia Twitter Breezy aliandika: MY NEW ALBUM WILL BE […]

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown ali-direct video 8 za album yake mpya ‘Royalty’, zitazame zote

breezy

Chris Brown ni muimbaji wa R&B ambaye ameshatuonesha kipaji kingine cha kuongoza utengenezaji wa video za muziki. Hua anapenda ku-direct baadhi ya video zake.

breezy

Kwenye album yake iliyopita ‘X’ ali-direct video 6 ambazo baadhi ni ‘Fine China’, ‘Love More’, ‘Loyal’, ‘New Flame’.

Kwa mujibu wa Billboard, Breezy pia ame direct video nane (8) za album yake mpya ‘Royalty’ aliyoitoa mwishoni mwa mwaka jana. Video hizo ni, ‘Liquor’, ‘Zero’, ‘Fine By Me’, ‘Back To Sleep’, ‘Wrist’, ‘Anyway’, ‘Picture...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani