Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taylor Swift ashtakiwa kwa kuiba mashairi ya wimbo wake ‘Shake It Off’, atakiwa kulipa $42m

taylor-swift_press-2013-650

Staa wa Pop nchini Marekani, Taylor Swift anashtakiwa kwa kuiba mashairi ya wimbo wake wa mwaka 2014, Shake It Off na anatakiwa alipe dola milioni 42.

taylor-swift_press-2013-650

Muimbaji wa R&B, Jesse Braham, 50, anadai kuwa Swift aliiba maneno kutoka kwenye wimbo alioundika mwaka 2013 uitwao Haters Gone Hate.

Pamoja na kutaka alipwe kiasi hicho cha fedha kama fidia, Braham anataka jina lake liongezwe kama mwandishi wa wimbo huo. Wawakilishi wa Swift bado hawajajibu chochote kuhusiana na kesi hiyo.

Braham anasema...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Taylor Swift ashtakiwa kwa kuiba mistari

Msanii maarufu zaidi duniani kwenye mtandao wa Instagram Taylor Swift ameshtakiwa kwa kuiba mistari ya wimbo wake maarufu Shake It Off.

 

9 years ago

Mtanzania

Taylor Swift ashtakiwa kwa wizi

Taylor_SwiftNEW YORK, MAREKANI

MSANII maarufu zaidi duniani kwenye mtandao wa Instagram, Taylor Swift, ameshtakiwa kwa kuiba mistari ya wimbo wa msanii mwenzake, Jesse Braham na kuutumia katika wimbo wake maarufu wa ‘Shake It Off’.

Jesse alisema wimbo huo aliutunga mwaka 2013, ulijulikana kwa jina la ‘Haters Gone Hate’, hivyo anashangaa kuona baadhi ya mistari katika wimbo wa Taylor.

Iwapo Taylor atapatikana na hatia atatakiwa kulipa faini ya dola milioni 42 na huku mshitaki akitaka jina lake...

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West asahau mashairi ya wimbo wake kwenye birthday ya mama mkwe wake na kuanza kuimba wimbo wa adui yake 50 Cent

222

Kanye West anadaiwa alijikuta akisahau mashairi ya wimbo wake mwenyewe wakati alipoombwa kutumbuiza kwenye birthday ya mama mkwe wake, Kris Jenner aliyetimiza miaka 60 wiki iliyopita.

rs_634x1024-130820163003-634.kris.cm.82013

Rapper huyo mwenye umri wa miaka 38 alipewa mic na muimbaji Charlie Wilson, aliyekuwa akiimba wimbo wake kabla ya kuanza kuimba wimbo wa Kanye, ‘See Me Now’ – aliomshirikisha Beyonce na – lakini alikiri kuwa hakumbuki mashairi ya wimbo huo wa mwaka 2010 na haraka akaanza kuimba wimbo wa adui yake.

Chanzo...

 

10 years ago

Africanjam.Com

WHAT YOU DON'T KNOW ABOUT TAYLOR SWIFT


Taylor SwiftTaylor Swift is the biggest star in the music industry right now, judging by the numbers of her best-selling 1989album. While we are well aware of many aspects of T. Swizzle’s life based on her song lyrics, there’s plenty about Taylor Alison Swift that you don’t know. 
Such as…





1. She is super associated with Nashville aka Music City but Swift was born and raised in Pennsylvania first, on a Christmas tree farm. How scenic!
Taylor SwiftPhoto: Dimitrios Kambouris, Getty Images



2. She once won a local talent...

 

9 years ago

Bongo5

Mashairi ya wimbo wa Tupac ‘Ambitionz Az A Ridah’ aliyoandika kwa mkono kupigwa mnada

Ikiwa ni miaka 19 imepita toka legend wa Hip Hop, Tupac Amaru Shakur afariki dunia (Sept 13, 1996), karatasi zenye mashairi ya wimbo wake uitwao ‘Ambitionz Az A Ridah’ zinatarajiwa kupigwa mnada baadae mwezi huu huko jijini London. Kwa mujibu wa New York Daily News, karatasi mbili zenye mashairi hayo aliyoandika kwa mkono mwaka 1995 […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Taylor Swift — Wildest Dreams

Taylor Swift kaachia hii video mpya wimbo unaitwa ‘Wildest Dreams’, wimbo huu unapatikana kwenye Album yake mpya ‘1989’. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwelekezi wa Taylor Swift atetea video

Mwelekezi wa video ya Wildest Dreams Joseph Kahn amekanusha madai kuwa inaendeleza dhana ya kikoloni kuhusu Afrika.

 

9 years ago

BBC

Taylor Swift director defends video

The director of Taylor Swift's new video defends it following criticisms it depicts a whitewashed version of Africa.

 

9 years ago

Mtanzania

Taylor Swift ang’ara tuzo Marekani

taylor_swift_MWANAMUZIKI Taylor Swift ametajwa kugombea katika vipengele sita vya tuzo za muziki za American Music Awards (AMAs) za huko Marekani.

Taylor amewapiku The Weekend na Ed Sheeran, waliotajwa katika vipengele vitano, Nicki Minaj, Sam Smith
na Meghan Trainor, wametajwa mara nne ambapo Drake, Chris Brown na Fetty Wap wametajwa mara mbili.

Sherehe za utolewaji tuzo hizo zinatarajiwa kufanyika Novemba 22 mwaka huu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani