Mashairi ya wimbo wa Tupac ‘Ambitionz Az A Ridah’ aliyoandika kwa mkono kupigwa mnada
Ikiwa ni miaka 19 imepita toka legend wa Hip Hop, Tupac Amaru Shakur afariki dunia (Sept 13, 1996), karatasi zenye mashairi ya wimbo wake uitwao ‘Ambitionz Az A Ridah’ zinatarajiwa kupigwa mnada baadae mwezi huu huko jijini London. Kwa mujibu wa New York Daily News, karatasi mbili zenye mashairi hayo aliyoandika kwa mkono mwaka 1995 […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Oct
Barua ya Tupac aliyoandika akiwa jela mwaka 1995 kuuzwa sh milioni 491
9 years ago
Bongo503 Nov
Taylor Swift ashtakiwa kwa kuiba mashairi ya wimbo wake ‘Shake It Off’, atakiwa kulipa $42m
![taylor-swift_press-2013-650](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/taylor-swift_press-2013-650-300x194.jpg)
Staa wa Pop nchini Marekani, Taylor Swift anashtakiwa kwa kuiba mashairi ya wimbo wake wa mwaka 2014, Shake It Off na anatakiwa alipe dola milioni 42.
Muimbaji wa R&B, Jesse Braham, 50, anadai kuwa Swift aliiba maneno kutoka kwenye wimbo alioundika mwaka 2013 uitwao Haters Gone Hate.
Pamoja na kutaka alipwe kiasi hicho cha fedha kama fidia, Braham anataka jina lake liongezwe kama mwandishi wa wimbo huo. Wawakilishi wa Swift bado hawajajibu chochote kuhusiana na kesi hiyo.
Braham anasema...
9 years ago
Bongo510 Nov
Kanye West asahau mashairi ya wimbo wake kwenye birthday ya mama mkwe wake na kuanza kuimba wimbo wa adui yake 50 Cent
![222](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/222-300x194.jpg)
Kanye West anadaiwa alijikuta akisahau mashairi ya wimbo wake mwenyewe wakati alipoombwa kutumbuiza kwenye birthday ya mama mkwe wake, Kris Jenner aliyetimiza miaka 60 wiki iliyopita.
Rapper huyo mwenye umri wa miaka 38 alipewa mic na muimbaji Charlie Wilson, aliyekuwa akiimba wimbo wake kabla ya kuanza kuimba wimbo wa Kanye, ‘See Me Now’ – aliomshirikisha Beyonce na – lakini alikiri kuwa hakumbuki mashairi ya wimbo huo wa mwaka 2010 na haraka akaanza kuimba wimbo wa adui yake.
Chanzo...
10 years ago
Mwananchi20 Jan
Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Jengo la Maliasili lanusurika kupigwa mnada
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Moshi imetoa zuio la kutouzwa jengo la Ushirika wa Watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii lililopo chini ya mradi wa shamba la miti la Rongai...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT1ePQsfa9AOokVE6RIW8oxFgc*7KyWSQJstmtSfJD-qgiJyCgz83-xe8mTLl34zGqpA5MWQWGNYVtMK4y*tvtqP/1.png?width=650)
KAPTENI KOMBA AFUNGUKIA NYUMBA YAKE KUPIGWA MNADA
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Sakata la jengo la ATCL kupigwa mnada laibuka tena
11 years ago
Bongo512 Jul
Video: Mashairi ya wimbo mpya wa Izzo Bizness ‘Walalahoi’
9 years ago
Bongo527 Oct
Tazama video ya mashairi ya wimbo wa Jors Bless ‘A Moment’