Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashairi ya wimbo wa Tupac ‘Ambitionz Az A Ridah’ aliyoandika kwa mkono kupigwa mnada

Ikiwa ni miaka 19 imepita toka legend wa Hip Hop, Tupac Amaru Shakur afariki dunia (Sept 13, 1996), karatasi zenye mashairi ya wimbo wake uitwao ‘Ambitionz Az A Ridah’ zinatarajiwa kupigwa mnada baadae mwezi huu huko jijini London. Kwa mujibu wa New York Daily News, karatasi mbili zenye mashairi hayo aliyoandika kwa mkono mwaka 1995 […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Barua ya Tupac aliyoandika akiwa jela mwaka 1995 kuuzwa sh milioni 491

Barua iliyoandikwa na marehemu Tupac Shakur alipokuwa jela mwaka 1995 imewekwa sokoni tayari kwa kuuzwa. Barua hiyo yenye kurasa 5 aliyoiandika kwenda kwa aliyekuwa mfanyakazi wa Death Row, Nina Bhadreshwar inauzwa kwenye mtandao wa Moments in Time. kwa mujibu wa TMZ barua hiyo iliyoandikwa kwa mkono inauzwa kwa $225,000 sawa na shilingi 491,000,000. Sehemu ndogo […]

 

9 years ago

Bongo5

Taylor Swift ashtakiwa kwa kuiba mashairi ya wimbo wake ‘Shake It Off’, atakiwa kulipa $42m

taylor-swift_press-2013-650

Staa wa Pop nchini Marekani, Taylor Swift anashtakiwa kwa kuiba mashairi ya wimbo wake wa mwaka 2014, Shake It Off na anatakiwa alipe dola milioni 42.

taylor-swift_press-2013-650

Muimbaji wa R&B, Jesse Braham, 50, anadai kuwa Swift aliiba maneno kutoka kwenye wimbo alioundika mwaka 2013 uitwao Haters Gone Hate.

Pamoja na kutaka alipwe kiasi hicho cha fedha kama fidia, Braham anataka jina lake liongezwe kama mwandishi wa wimbo huo. Wawakilishi wa Swift bado hawajajibu chochote kuhusiana na kesi hiyo.

Braham anasema...

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West asahau mashairi ya wimbo wake kwenye birthday ya mama mkwe wake na kuanza kuimba wimbo wa adui yake 50 Cent

222

Kanye West anadaiwa alijikuta akisahau mashairi ya wimbo wake mwenyewe wakati alipoombwa kutumbuiza kwenye birthday ya mama mkwe wake, Kris Jenner aliyetimiza miaka 60 wiki iliyopita.

rs_634x1024-130820163003-634.kris.cm.82013

Rapper huyo mwenye umri wa miaka 38 alipewa mic na muimbaji Charlie Wilson, aliyekuwa akiimba wimbo wake kabla ya kuanza kuimba wimbo wa Kanye, ‘See Me Now’ – aliomshirikisha Beyonce na – lakini alikiri kuwa hakumbuki mashairi ya wimbo huo wa mwaka 2010 na haraka akaanza kuimba wimbo wa adui yake.

Chanzo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada

Mali za Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba zimetangazwa kupigwa mnada kutokana na kushindwa kulipa deni analodaiwa na Benki ya CRDB.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jengo la Maliasili lanusurika kupigwa mnada

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Moshi imetoa zuio la kutouzwa jengo la Ushirika wa Watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii lililopo chini ya mradi wa shamba la miti la Rongai...

 

10 years ago

GPL

KAPTENI KOMBA AFUNGUKIA NYUMBA YAKE KUPIGWA MNADA

Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba. Stori: SHANI RAMADHANI
Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kundi la Sanaa la Tanzania One Theatre (TOT), amekanusha habari zinazoendelea kuzagaa kwamba nyumba yake iliyopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam imepigwa mnada na benki moja kutokana na madai ya kushindwa kulipa deni alilokuwa akidaiwa. “Mheshimiwa anadaiwa na benki kama...

 

10 years ago

Mwananchi

Sakata la jengo la ATCL kupigwa mnada laibuka tena

Kampuni tatu zimewasilisha maombi katika Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara zikitaka jengo la Makao Makuu ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) lenye thamani ya Sh12 bilioni lipigwe mnada kufidia madeni yao yanayofikia zaidi ya Sh2 bilioni.

 

11 years ago

Bongo5

Video: Mashairi ya wimbo mpya wa Izzo Bizness ‘Walalahoi’

Izzo Bizness wiki hii ametoa single yake mpya aliyoipa jina la ‘Walalahoi’, haya ni mashairi ya wimbo huo.

 

9 years ago

Bongo5

Tazama video ya mashairi ya wimbo wa Jors Bless ‘A Moment’

Hii ni video ya mashairi ya wimbo wa Jors Bless ‘A Moment.’ Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani