Taylor Swift ashtakiwa kwa wizi
NEW YORK, MAREKANI
MSANII maarufu zaidi duniani kwenye mtandao wa Instagram, Taylor Swift, ameshtakiwa kwa kuiba mistari ya wimbo wa msanii mwenzake, Jesse Braham na kuutumia katika wimbo wake maarufu wa ‘Shake It Off’.
Jesse alisema wimbo huo aliutunga mwaka 2013, ulijulikana kwa jina la ‘Haters Gone Hate’, hivyo anashangaa kuona baadhi ya mistari katika wimbo wa Taylor.
Iwapo Taylor atapatikana na hatia atatakiwa kulipa faini ya dola milioni 42 na huku mshitaki akitaka jina lake...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Taylor Swift ashtakiwa kwa kuiba mistari
10 years ago
Bongo503 Nov
Taylor Swift ashtakiwa kwa kuiba mashairi ya wimbo wake ‘Shake It Off’, atakiwa kulipa $42m

Staa wa Pop nchini Marekani, Taylor Swift anashtakiwa kwa kuiba mashairi ya wimbo wake wa mwaka 2014, Shake It Off na anatakiwa alipe dola milioni 42.
Muimbaji wa R&B, Jesse Braham, 50, anadai kuwa Swift aliiba maneno kutoka kwenye wimbo alioundika mwaka 2013 uitwao Haters Gone Hate.
Pamoja na kutaka alipwe kiasi hicho cha fedha kama fidia, Braham anataka jina lake liongezwe kama mwandishi wa wimbo huo. Wawakilishi wa Swift bado hawajajibu chochote kuhusiana na kesi hiyo.
Braham anasema...
10 years ago
Africanjam.Com19 Jun
WHAT YOU DON'T KNOW ABOUT TAYLOR SWIFT

Such as…
1. She is super associated with Nashville aka Music City but Swift was born and raised in Pennsylvania first, on a Christmas tree farm. How scenic!

2. She once won a local talent...
10 years ago
Bongo504 Sep
Video: Taylor Swift — Wildest Dreams
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Mwelekezi wa Taylor Swift atetea video
10 years ago
BBC
Taylor Swift director defends video
10 years ago
GPL23 May
10 years ago
BBCSwahili18 May
Taylor Swift ang'ara tuzo za Billboards