Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeff aachia video ya wimbo wake mpya wa “Mama Afrika” unaotangaza utalii wa Tanzania

jeff

Mwanamuziki aliyewahi ishi nchini Tanzania na pia mwenye asili ya Congo, Jeff Maximum ambaye anaishi Ughaibuni katika shughuli zake za Muziki katika pozi ambapo kwa sasa ameachia video ya wimbo wake mpya wa “Mama Afrika” ambao wimbo huo unatangaza Utalii wa Tanzania. 

Na Mwandishi Wetu

Mwanamuziki anayefanya kazi zake nchini Marekani na Dubai, Jeff Maximum tayari ameshaachia video ya wimbo wake mpya uitwao “Mama Afrika” ambao umetayarishwa Bagamoyo  Nchini Tanzania hivi karibuni.

Kwa mujibu...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

Nuru the Light aachia video ya wimbo wake mpya ‘L’


Muimbaji wa Tanzania mwenye makazi yake nchini Sweden, Nuru The Light ameachia video ya wimbo wake mpya ‘L’. Nuru alifanya uzinduzi rasmi wa video hiyo Jumamosi hii kwenye kiota kipya cha starehe, Jozi Lounge kilichopo Msasani jijini Dar es Salaam.

Uzinduzi huo ulihudhuriwa na mastaa, marafiki zake wa karibu na mashabiki.

Video ya wimbo huo imefanyika jijini Dar es Salaam na kuongozwa na muongozaji na mshindi wa tuzo kibao, Adam Juma aka AJ. Mandhari ya kuvutia ya fukwe za bahari ya Hindi...

 

9 years ago

Mtanzania

Jeff Maximum akamilisha video ya Mama Afrika

jeff (1)Na Theresia Gasper, Dar es Salaam

MWANAMUZIKI wa R&B anayefanya kazi zake nchini Marekani na Dubai, Jeff Maximum, amekamilisha video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Mama Afrika ambayo aliitengenezea mjini Bagamoyo.

Video hiyo ambayo ilitoka rasmi mwanzoni mwa mwezi huu, tayari imeanza kuonekana kwenye vituo mbalimbali vya televisheini katika nchi mbalimbali za Afrika, Ulaya na Marekani. “Nilikuja kuitengeneza video hii hapa Tanzania lengo kubwa ikiwa ni kutangaza utalii wetu hapa...

 

10 years ago

Michuzi

boniface aachia wimbo na video mpya - nikitaka



Kwa mara nyingine tena Yule msanii machachari ambaye anainukia kwa kasi katika muziki wa bongofleva  Boniface( a.k.a handsome boy a.k.a asali ya Morogoro   a.k.a bon-to-face)  kwa mara nyingine tena ameachia wimbo na video yake mpya iitwayo  “Nikitaka”. 
Audio ya wimbo huo umefanyika katika studio  za Authentic Record jijini Dar es salaam chini ya Producer mwenye kiwango za hali ya juu Mr. Allan Mapigo, 
Video ya wimbo huu imefanywa kampuni mpya kabisa shine studioz, ni moja ya kazi safi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hatimaye Linex aachia wimbo wake mpya ‘Salima’ akimshirikisha Diamond Platnumz, usikilize hapa

Image00003

Pichani ni Linex na Diamond Platnumz wakati wa utengenezaji wa video ya ‘Salima’.

Linex akimshirikisha Diamond Platnumz katika wimbo wake mpya Salima ambao leo hii ameuachia katika media mbalimbali. Video na audio ametoa kwa pamoja, Linex anaonekana kutulia sana katika wimbo huu, kama kawaida yake ametumia lugha 3 ndani ya wimbo, amepanga mashairi mazito yenye hisia hakika wimbo upo sawa, na utunzi na ghani za mashairi yamepangiliwa katika ubora wa aina yake, lugha imetumika kihufasaha ...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Mshindi wa Maisha Superstar, PHY aachia wimbo mpya ‘Ruka’

Phy2

Mshindi wa shindano la Maisha Superstar 2015, PHY kutoka Kenya ameachia wimbo wake mpya ‘Ruka’ (video na audio) aliowashirikisha King Kaka & Khaligraph Jones. King Kaka ndiye aliyekuwa ‘mentor’ wake kwenye shindano hilo. Mwezi uliopita PHY ambaye jina lake halisi ni Phyllis Mwihaki Ng’etich pia alizindua album yake mpya ‘Phylosophy’

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia...

 

9 years ago

Bongo5

Msanii wa Tanzania aishiye Dubai, Jeff Maximum aja Dar kushoot video ya ‘Mama Africa’

Msanii wa Tanzania aliyehamishia makazi yake Dubai, Jeff Maximum ameamua kurejea nyumbani kushoot video ya wimbo wake mpya, Mama Africa. Alianza muziki akiwa Tanzania miaka 18 iliyopita kabla ya kuhamia jijini Los Angeles na hatimaye Dubai. Jeff anayefanya muziki wa R&B, hufanyia kazi zake Marekani, Dubai na Singapore. Hanscana ndiye anayeiongoza video ya wimbo huo. […]

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West asahau mashairi ya wimbo wake kwenye birthday ya mama mkwe wake na kuanza kuimba wimbo wa adui yake 50 Cent

222

Kanye West anadaiwa alijikuta akisahau mashairi ya wimbo wake mwenyewe wakati alipoombwa kutumbuiza kwenye birthday ya mama mkwe wake, Kris Jenner aliyetimiza miaka 60 wiki iliyopita.

rs_634x1024-130820163003-634.kris.cm.82013

Rapper huyo mwenye umri wa miaka 38 alipewa mic na muimbaji Charlie Wilson, aliyekuwa akiimba wimbo wake kabla ya kuanza kuimba wimbo wa Kanye, ‘See Me Now’ – aliomshirikisha Beyonce na – lakini alikiri kuwa hakumbuki mashairi ya wimbo huo wa mwaka 2010 na haraka akaanza kuimba wimbo wa adui yake.

Chanzo...

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Avril aachia video mpya aliyoshoot Tanzania na director Hanscana ‘No Stress’

avril

Muimbaji Avril kutoka Kenya alikuja Tanzania mwezi September kwa lengo la kufanya media tour, na kuungana na Ben Pol kuzindua wimbo mpya ‘Ningefanyeje’ waliofanya pamoja. Kingine alikuja kushoot video ya wimbo wake mpya ‘No Stress’ aliomshirikisha AY.

avril

Jumamosi iliyopita Avril alizindua video hiyo jijini Nairobi ambapo ilioneshwa kwa mara ya kwanza kabla ya kuwekwa kwenye mtandao wa Youtube. Director wa video hiyo Hanscana ambaye ni mshindi wa Tuzo Za Watu 2015 pamoja na AY walisafiri...

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Jeff Maximum — Mama Africa

Jeff

Mwanamuziki anayefanya kazi zake nchini Marekani na Dubai Jeff Maximum tayari ameshaachia video ya wimbo wake mpya “Mama Afrika” ambayo ilitayarishwa Bagamoyo hapa nchini mwezi mmoja uliopita.

Video hiyo iliyoachiwa Novemba 2 tayari imeshaanza kuonekana katika vituo mbalimbali vya televisheni Afrika ikiwemo nchini Dubai, Nigeria, Afrika Kusini, Kongo, Ghana na nchini Uingereza, huku ikitangaza utalii wa Tanzania .

Akizungumza Jeff alisema aliamua kuitayarishia video hiyo nchini Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani