Msanii wa Tanzania aishiye Dubai, Jeff Maximum aja Dar kushoot video ya ‘Mama Africa’
Msanii wa Tanzania aliyehamishia makazi yake Dubai, Jeff Maximum ameamua kurejea nyumbani kushoot video ya wimbo wake mpya, Mama Africa. Alianza muziki akiwa Tanzania miaka 18 iliyopita kabla ya kuhamia jijini Los Angeles na hatimaye Dubai. Jeff anayefanya muziki wa R&B, hufanyia kazi zake Marekani, Dubai na Singapore. Hanscana ndiye anayeiongoza video ya wimbo huo. […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Nov
New Video: Jeff Maximum — Mama Africa
![Jeff](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Jeff-300x194.jpg)
Mwanamuziki anayefanya kazi zake nchini Marekani na Dubai Jeff Maximum tayari ameshaachia video ya wimbo wake mpya “Mama Afrika” ambayo ilitayarishwa Bagamoyo hapa nchini mwezi mmoja uliopita.
Video hiyo iliyoachiwa Novemba 2 tayari imeshaanza kuonekana katika vituo mbalimbali vya televisheni Afrika ikiwemo nchini Dubai, Nigeria, Afrika Kusini, Kongo, Ghana na nchini Uingereza, huku ikitangaza utalii wa Tanzania .
Akizungumza Jeff alisema aliamua kuitayarishia video hiyo nchini Tanzania...
9 years ago
Mtanzania09 Nov
Jeff Maximum akamilisha video ya Mama Afrika
Na Theresia Gasper, Dar es Salaam
MWANAMUZIKI wa R&B anayefanya kazi zake nchini Marekani na Dubai, Jeff Maximum, amekamilisha video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Mama Afrika ambayo aliitengenezea mjini Bagamoyo.
Video hiyo ambayo ilitoka rasmi mwanzoni mwa mwezi huu, tayari imeanza kuonekana kwenye vituo mbalimbali vya televisheini katika nchi mbalimbali za Afrika, Ulaya na Marekani. “Nilikuja kuitengeneza video hii hapa Tanzania lengo kubwa ikiwa ni kutangaza utalii wetu hapa...
9 years ago
Dewji Blog05 Nov
Jeff aachia video ya wimbo wake mpya wa “Mama Afrika” unaotangaza utalii wa Tanzania
Mwanamuziki aliyewahi ishi nchini Tanzania na pia mwenye asili ya Congo, Jeff Maximum ambaye anaishi Ughaibuni katika shughuli zake za Muziki katika pozi ambapo kwa sasa ameachia video ya wimbo wake mpya wa “Mama Afrika” ambao wimbo huo unatangaza Utalii wa Tanzania.
Na Mwandishi Wetu
Mwanamuziki anayefanya kazi zake nchini Marekani na Dubai, Jeff Maximum tayari ameshaachia video ya wimbo wake mpya uitwao “Mama Afrika” ambao umetayarishwa Bagamoyo Nchini Tanzania hivi karibuni.
Kwa mujibu...
11 years ago
Bongo508 Aug
Nay wa Mitego kuachia wimbo mpya ‘Nimewaka’, video kushoot Dubai au US!
9 years ago
Bongo521 Dec
#TecnoOwnTheStage: Jeff wa Tanzania atolewa (Video)
![Tecno](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Tecno-300x194.jpg)
Tanzania imeendelea kuwa vibonde kwenye shindano la Tecno Own The Stage linaloendelea nchini Nigeria baada ya mshiriki wa tatu kuyaaga mashindano hayo.
Awamu hii ni Jeff ndiye aliyeyaaga mashindano hayo baada ya kushindwa kuwaridhisha majaji watatu wa shindano hilo.
Kenya bado ina washiriki wote watano walioingia. Tanzania na Nigeria zimebakiza washiriki wawili kila moja.
Hata hivyo mshiriki wa Tanzania, Nandy ndiye ameendelea kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania kwa kuwakosha watazamaji...
9 years ago
MichuziJUKWAA LA SANAA LAFANA, MSANII MKONGWE AISHIYE MAREKANI SALMA MOSHI AWALIPIA WASANII BIMA YA AFYA
Jukwaa La Sanaa la BASATA wiki hii lilipata wazungumzaji wa aina yake na kulifanya kuwa jukwaa lililochangamka na kuwa na mazungumzo ya zaidi ya masaa matano. Wasanii takriban 70 walikaa wakichambua maada mbalimbali kuhusu mustakhabari wa sanaa katika nchi yetu. Jambo ambalo liliingiza changamoto katika jukwaa hili, ni kuweko katika meza kuu wasanii wawili ambao walianza sanaa nchini na hatimae kuhamia ughaibuni ambako ndiko wanaishi kwa sasa.
Wasanii Salma Moshi aliyekuwa akijulikana kama...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pNYNqB8vbM8/VNjGEzvMjtI/AAAAAAAAGJ8/cZeH83qAczA/s72-c/Master%2BJ.jpg)
Master J asema sio haki kwa msanii kurekodi wimbo kwa laki 2 na kushoot video South kwa milioni 25
![](http://4.bp.blogspot.com/-pNYNqB8vbM8/VNjGEzvMjtI/AAAAAAAAGJ8/cZeH83qAczA/s640/Master%2BJ.jpg)
9 years ago
Bongo504 Dec
Picha: Diamond amleta Godfather Dar kushoot video zake ‘kimya kimya’
![12298834_430293703831416_1645961294_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12298834_430293703831416_1645961294_n-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ameamua kumleta muongozaji wa video zake, Mike Ogoke maarufu kama Godfather na timu yake kuja kufanya video zake jijini Dar es Salaam.
Diamond akiwa na msaidizi wa Godfather, Mike Dube jijini Dar
Muongozaji huyo na timu yake ipo jijini Dar kwa siku ya tano tayari na siku zote hizo imekuwa ikifanya kazi. Ofcourse Diamond na Godfather hawajasema chochote kuhusiana na hilo lakini msaidizi wake Mike Dube ameumwaga ubuyu.
Kwenye Instagram, Dube amepost picha ya pontoni la...
10 years ago
Bongo511 Feb
Chege adai kushoot video yake Afrika Kusini hakumaanishi Tanzania hakuna maeneo mazuri