Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msanii wa Tanzania aishiye Dubai, Jeff Maximum aja Dar kushoot video ya ‘Mama Africa’

Msanii wa Tanzania aliyehamishia makazi yake Dubai, Jeff Maximum ameamua kurejea nyumbani kushoot video ya wimbo wake mpya, Mama Africa. Alianza muziki akiwa Tanzania miaka 18 iliyopita kabla ya kuhamia jijini Los Angeles na hatimaye Dubai. Jeff anayefanya muziki wa R&B, hufanyia kazi zake Marekani, Dubai na Singapore. Hanscana ndiye anayeiongoza video ya wimbo huo. […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

New Video: Jeff Maximum — Mama Africa

Jeff

Mwanamuziki anayefanya kazi zake nchini Marekani na Dubai Jeff Maximum tayari ameshaachia video ya wimbo wake mpya “Mama Afrika” ambayo ilitayarishwa Bagamoyo hapa nchini mwezi mmoja uliopita.

Video hiyo iliyoachiwa Novemba 2 tayari imeshaanza kuonekana katika vituo mbalimbali vya televisheni Afrika ikiwemo nchini Dubai, Nigeria, Afrika Kusini, Kongo, Ghana na nchini Uingereza, huku ikitangaza utalii wa Tanzania .

Akizungumza Jeff alisema aliamua kuitayarishia video hiyo nchini Tanzania...

 

9 years ago

Mtanzania

Jeff Maximum akamilisha video ya Mama Afrika

jeff (1)Na Theresia Gasper, Dar es Salaam

MWANAMUZIKI wa R&B anayefanya kazi zake nchini Marekani na Dubai, Jeff Maximum, amekamilisha video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Mama Afrika ambayo aliitengenezea mjini Bagamoyo.

Video hiyo ambayo ilitoka rasmi mwanzoni mwa mwezi huu, tayari imeanza kuonekana kwenye vituo mbalimbali vya televisheini katika nchi mbalimbali za Afrika, Ulaya na Marekani. “Nilikuja kuitengeneza video hii hapa Tanzania lengo kubwa ikiwa ni kutangaza utalii wetu hapa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jeff aachia video ya wimbo wake mpya wa “Mama Afrika” unaotangaza utalii wa Tanzania

jeff

Mwanamuziki aliyewahi ishi nchini Tanzania na pia mwenye asili ya Congo, Jeff Maximum ambaye anaishi Ughaibuni katika shughuli zake za Muziki katika pozi ambapo kwa sasa ameachia video ya wimbo wake mpya wa “Mama Afrika” ambao wimbo huo unatangaza Utalii wa Tanzania. 

Na Mwandishi Wetu

Mwanamuziki anayefanya kazi zake nchini Marekani na Dubai, Jeff Maximum tayari ameshaachia video ya wimbo wake mpya uitwao “Mama Afrika” ambao umetayarishwa Bagamoyo  Nchini Tanzania hivi karibuni.

Kwa mujibu...

 

11 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego kuachia wimbo mpya ‘Nimewaka’, video kushoot Dubai au US!

Nay wa Mitego anatarajia kuachia wimbo wake mpya uitwao ‘Nimewaka’ ambapo pia ametoa sababu ya kuachia nyimbo mfululizo. Nay akiwasili Mwanza kwenye Fiesta Nay ambaye aliachia wimbo wa Mr Nay hivi karibuni ameiambia Bongo5 kuwa inambidi aachie wimbo mpya ili kuwapa mashabiki muziki ambao adai wanaupenda. “Kiukweli kabisa mimi nina mashabiki wengi na wa aina […]

 

9 years ago

Bongo5

#TecnoOwnTheStage: Jeff wa Tanzania atolewa (Video)

Tecno

Tanzania imeendelea kuwa vibonde kwenye shindano la Tecno Own The Stage linaloendelea nchini Nigeria baada ya mshiriki wa tatu kuyaaga mashindano hayo.

Awamu hii ni Jeff ndiye aliyeyaaga mashindano hayo baada ya kushindwa kuwaridhisha majaji watatu wa shindano hilo.

Kenya bado ina washiriki wote watano walioingia. Tanzania na Nigeria zimebakiza washiriki wawili kila moja.

Hata hivyo mshiriki wa Tanzania, Nandy ndiye ameendelea kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania kwa kuwakosha watazamaji...

 

9 years ago

Michuzi

JUKWAA LA SANAA LAFANA, MSANII MKONGWE AISHIYE MAREKANI SALMA MOSHI AWALIPIA WASANII BIMA YA AFYA


Jukwaa La Sanaa la BASATA wiki hii lilipata wazungumzaji wa aina yake na kulifanya kuwa jukwaa lililochangamka na kuwa na mazungumzo ya zaidi ya masaa matano. Wasanii takriban 70 walikaa wakichambua maada mbalimbali kuhusu mustakhabari wa sanaa katika nchi yetu. Jambo ambalo liliingiza changamoto katika jukwaa hili, ni kuweko katika meza kuu wasanii wawili ambao walianza sanaa nchini na hatimae kuhamia ughaibuni ambako ndiko wanaishi kwa sasa.
Wasanii Salma Moshi aliyekuwa akijulikana kama...

 

10 years ago

Vijimambo

Master J asema sio haki kwa msanii kurekodi wimbo kwa laki 2 na kushoot video South kwa milioni 25

Mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini, Master J amekuwa mstari wa mbele kupaza sauti kuhusiana na kutokuwepo kwa usawa kati ya watayarishaji wa muziki na wasanii nchini.Master J ameiambia Bongo5 kuwa kuna watayarishaji ameshaona wanakosa moyo wa kufanya kazi kutokana hali hiyo.“Tanzania maprodyuza ni maskini, eti wasanii wana hela kuliko producers hii ni industry gani,” amehoji Master J. “Kwa sababu hapa hizi sheria zilizopo hazimlindi producer ndo maana anadharaulika. Huyo huyo msanii yupo...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Diamond amleta Godfather Dar kushoot video zake ‘kimya kimya’

12298834_430293703831416_1645961294_n

Diamond Platnumz ameamua kumleta muongozaji wa video zake, Mike Ogoke maarufu kama Godfather na timu yake kuja kufanya video zake jijini Dar es Salaam.

12298834_430293703831416_1645961294_n
Diamond akiwa na msaidizi wa Godfather, Mike Dube jijini Dar

Muongozaji huyo na timu yake ipo jijini Dar kwa siku ya tano tayari na siku zote hizo imekuwa ikifanya kazi. Ofcourse Diamond na Godfather hawajasema chochote kuhusiana na hilo lakini msaidizi wake Mike Dube ameumwaga ubuyu.

Kwenye Instagram, Dube amepost picha ya pontoni la...

 

10 years ago

Bongo5

Chege adai kushoot video yake Afrika Kusini hakumaanishi Tanzania hakuna maeneo mazuri

Muimbaji wa TMK Wanaume Family, Chege Chigunda amedai kuwa uamuzi wake na Temba kwenda kufanya video yao ‘Kaunyaka’ nchini Afrika Kusini, hakumaanishi kuwa Tanzania haina maeneo mazuri ya kufanya video bali waliamua kufanya hivyo ili kupata kitu tofauti. Akiongea na East Africa Radio hivi karibuni, Chege amemtolea mfano msanii wa Marekani, John Legend aliyeamua kwenda […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani