JUKWAA LA SANAA LAFANA, MSANII MKONGWE AISHIYE MAREKANI SALMA MOSHI AWALIPIA WASANII BIMA YA AFYA
Jukwaa La Sanaa la BASATA wiki hii lilipata wazungumzaji wa aina yake na kulifanya kuwa jukwaa lililochangamka na kuwa na mazungumzo ya zaidi ya masaa matano. Wasanii takriban 70 walikaa wakichambua maada mbalimbali kuhusu mustakhabari wa sanaa katika nchi yetu. Jambo ambalo liliingiza changamoto katika jukwaa hili, ni kuweko katika meza kuu wasanii wawili ambao walianza sanaa nchini na hatimae kuhamia ughaibuni ambako ndiko wanaishi kwa sasa.
Wasanii Salma Moshi aliyekuwa akijulikana kama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboJUKWAA LA SANAA LAFANA, SALMA MOSHI AWALIPIA WASANII BIMA YA AFYA
Baadhi ya wasanii wakimsikiliza Salma MoshiMwandishi maarufu Khadija Khalili (mwenye daftari) akifuatilia maada
Mwenyekiti wa CHAMRUMBA akiwa na Mzee Mapili
Francis Kaswahili mwenye kofia Mwenyekiti TAFOMUDEA
Abbu Omari mwanamuziki aishiye JapanSalma Moshi na Mzee MapiliMeza Kuu
Group Picture
Salma akiwa na baadhi ya wasanii aliowalipia sehemu ya Bima ya Afya
Jukwaa La Sanaa la BASATA wiki hii lilipata wazungumzaji wa aina yake na kulifanya kuwa jukwaa lililochangamka na kuwa na mazungumzo ya...
9 years ago
Mtanzania08 Sep
Bima ya Afya yawakabidhi kadi wasanii
NA ASIFIWE GEORGE
WASANII wanachama katika mtandao wa wanamuziki Tanzania waliokamilisha taratibu zinazohitajika na mfumo wa Taifa wa Bima ya Afya wamekabidhiliwa kadi za matibabu.
Wasanii hao walikabidhiwa kadi hizo jana, baada ya mafunzo ya uelewa juu ya shughuli za mfuko huo pamoja na faida wanazonufaika nazo wanachama wa mfuko huo.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Michael Mhando, alisema huo ni utekelezaji uliotolewa na Rais Jakaya Kikwete kuhakikisha wasanii wanakuwa na bima ya afya ili...
10 years ago
MichuziMsanii Davido kutoka nchini Nigeria kutumbuiza jukwaa moja na msanii T.I kutoka nchini Marekani tamasha la Fiesta 2014.
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani ajulikanae kwa jina la Kisanii T.I akizungumza na Waandishi wa Habari jioni ya leo kwenye moja ya ukumbi wa Sea Cliff hotel jijini Dar kuhusiana na onesho lake la kwanza atakalotumbuiza katika viwanja vya leaders Club,jijini Dar katika tamasha la Fiesta 2014,ambalo hufanyika kila mwaka mara moja,chini ya waandaji bingwa wa burudani hapa nchini kampuni ya Prime Time Promotions Lts sambamba na Clouds Media Group.. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI PROF. PARAMAGAMBA KABUDI AKUTANA NA KATIBU WA SIASA NA UENEZI WA TAWI LA CCM LA DMV, WASHINGTON DC SALMA MOSHI NCHINI MAREKANI
9 years ago
Bongo509 Oct
Msanii wa Tanzania aishiye Dubai, Jeff Maximum aja Dar kushoot video ya ‘Mama Africa’
9 years ago
MichuziMAKONDA AWAHIMIZA WASANII KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA: Awataka kutumia taaluma yao kuhamasisha wengine kujiunga
Amesema kutokana na kupanda kwa gharama za maisha hivi sasa zikiwemo za matibabu, wasaani wana kila sababu ya kuona umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili wanapougua watibiwe kwa kutumia kadi badala ya kuhangaika kutafuta fedha taslimu.
Makonda alikuwa akizungumza wakati wa ufunguzi...
11 years ago
MichuziWaziri wa Afya atembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya jijini Dar
10 years ago
GPL11 years ago
Mwananchi01 Jul
AFYA: Hofu yatanda Mfuko Bima ya Afya