Msanii Davido kutoka nchini Nigeria kutumbuiza jukwaa moja na msanii T.I kutoka nchini Marekani tamasha la Fiesta 2014.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9S3V-Rv7R90/VEJ2_t-r1nI/AAAAAAAGrdA/_yogDFqZLPM/s72-c/1.jpg)
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani ajulikanae kwa jina la Kisanii T.I akizungumza na Waandishi wa Habari jioni ya leo kwenye moja ya ukumbi wa Sea Cliff hotel jijini Dar kuhusiana na onesho lake la kwanza atakalotumbuiza katika viwanja vya leaders Club,jijini Dar katika tamasha la Fiesta 2014,ambalo hufanyika kila mwaka mara moja,chini ya waandaji bingwa wa burudani hapa nchini kampuni ya Prime Time Promotions Lts sambamba na Clouds Media Group..
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Oct
Picha za msanii T.I alipowasili nchini tayari kutumbuiza Serengeti Fiesta 2014
Msanii wa kimataifa wa muziki wa Hip pop, Clifford Harris, T I akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa JK Nyerere, tayari kwa onyesho na Serengeti Fiesta 2014, linalofanyika leo Leaders Club jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-opstdXccnrQ/VCHMAMx7VWI/AAAAAAACrhU/YhzBw04IyUo/s72-c/JTM-027196.jpg)
MWANAMUZIKI RAPPA MAHIRI KUTOKA NCHINI MAREKANI T.I KUSAMBAZA UPENDO NDANI YA TAMASHA LA FIESTA OKTOBA 18,2014 JIJINI DAR
![](http://api.ning.com/files/n6JmThHrscYFP3bUuBsW7HGLI5xeOwij-*jv5X4IjRp7zZvtoAkzQJ-Ynkmdc4poag8l59n-VRFDQPL463PFmo-IRl78CnFH/tipress2013650c.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3WgwXRk4gN8/VnOqXyh_NwI/AAAAAAAINNQ/0WWAjHgnBSg/s72-c/indexM.jpg)
Linah, Feza Kessy ndani ya jukwaa moja na Davido nchini Nigeria
![](http://1.bp.blogspot.com/-3WgwXRk4gN8/VnOqXyh_NwI/AAAAAAAINNQ/0WWAjHgnBSg/s400/indexM.jpg)
Wanamuziki nyota wa bongo fleva nchini, Estelina Peter Sanga maarufu kwa jina la Linah Sanga na Feza Kessy ijumaa watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival.
Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii nyota wa Nigeria kama, Davido, Kiss Daniel, Iyanya na Olamide. Katika orodha hiyo wapo wasanii nyota wengine kama Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan, Lil Kesh, Ycee, Sean Tizzle...
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Msanii wa Marekani T.I. kutumbuiza Serengeti Fiesta Dar
Mkurugenzi Mkuu wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Ephraim Mafuru akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafala ya kumtangaza msanii wa Marekani TI ambaye atashiriki tamasha la Fiesta litakalofanyika mwezi ujao jijini Dar es Salaam.
Mwanamuziki wa Kimarekani katika miondoka ya Hip-hop ambaye pia ni mtayarishaji wa muziki, mwigizaji na mwekezaji, Clifford Joseph Harris Jr, alimaarufu kama T.I. amethibitishwa rasmi na kampuni ya Serengeti Breweries Ltd (SBL)kama...
9 years ago
Bongo530 Sep
Vanessa Mdee kutumbuiza jukwaa moja na mastaa wa Afrika akiwemo Wizkid, Davido, AKA, K.O kwenye tamasha la ‘AMC 2015′ Afrika Kusini
10 years ago
Michuzi24 Oct
10 years ago
Michuzi15 Sep
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T2ELnONc5F0/Vh-RiFn5BdI/AAAAAAAIAEA/DdA1vGL48bs/s72-c/IMG_2533.jpg)
MSANII WA NCHINI KENYA KUTUMBUIZA IJUMAA HII JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-T2ELnONc5F0/Vh-RiFn5BdI/AAAAAAAIAEA/DdA1vGL48bs/s640/IMG_2533.jpg)
10 years ago
Bongo514 Oct
Davido awa msanii pekee wa Afrika anayewania tuzo za ‘Soul Train Awards 2014’ Marekani