MSANII WA NCHINI KENYA KUTUMBUIZA IJUMAA HII JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-T2ELnONc5F0/Vh-RiFn5BdI/AAAAAAAIAEA/DdA1vGL48bs/s72-c/IMG_2533.jpg)
Msanii wa mziki wa Hip hop wa nchini Kenya ambaye pia ni Daktari nchini humo, Francis Hamis ( a.k.a Frash) akizungumza leo katika mkutano uliofanyika katika ukumbi uliopo katika jengo la VIVA Tower na waandishi wa habari kuhusiana na kutumbuiza kesho Ijumaa ambapo baada ya kutumbuiza atatembelea vituo kadhaa vya watoto yatima hapa jijini Dar es Salaam ataanza na kituo cha Trust youth Care pia mesema kuwa kiingilio kitakuwa ni shilingi elfu 10 kwa kabla ya saa sita usiku na baada ya saa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9S3V-Rv7R90/VEJ2_t-r1nI/AAAAAAAGrdA/_yogDFqZLPM/s72-c/1.jpg)
Msanii Davido kutoka nchini Nigeria kutumbuiza jukwaa moja na msanii T.I kutoka nchini Marekani tamasha la Fiesta 2014.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9S3V-Rv7R90/VEJ2_t-r1nI/AAAAAAAGrdA/_yogDFqZLPM/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rIH0WR7WlvY/VEJ3RwGPZGI/AAAAAAAGrdI/URaG4XbjidI/s1600/3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s640/U.jpg?width=650)
MWANAMUZIKI MTANZANIA MWENYE ASILI YA ITALIA KUTUMBUIZA HOTELI YA MEDITERRANEO JUMAMOSI HII JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog29 May
Mwanamuziki mwanadada Mtanzania mwenye asili ya Italia kutumbuiza hoteli ya Mediterraneo Jumamosi hii jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s640/U.jpg)
Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia.
Mwanamuziki Chantal Saroldi (kushoto), akizungumza na wanahabari Dar es Salaam leo mchana. Kulia ni Balozi wa Italia nchini, toka Italia.
Balozi wa Italia nchini, Luigi Sccoto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, kuhusu tamasha la muziki litakalofanyika kesho Hoteli ya Mediterraneo iliyopo Kawe ambapo mwanamuziki huyo atatoa burudani.
Mkurugenzi wa Hoteli ya Mediterraneo waandaaji wa tamasha hilo, Samantar Abdinur...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QcGewEkNPnI/VmakWlojT1I/AAAAAAAIK2w/pDST0OPeEQY/s72-c/StackedBalls-mj-300x225.jpg)
MASHINDANO YA BASEBALL KUANZA KUTIMUA VUMBI IJUMAA WIKI HII JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-QcGewEkNPnI/VmakWlojT1I/AAAAAAAIK2w/pDST0OPeEQY/s1600/StackedBalls-mj-300x225.jpg)
Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo wa Baseball nchini Alpherio Nchimbi leo jijini Dar es salaam wakati wa mkutano na waandishi wa habari.
Amesema kuwa mashindano yatashirikisha timu tisa kutoka Tanzania bara na Visiwani na yanatarajiwa kufunguliwa na Balozi wa Japani nchini Tanzania Mhe. Masaharu Yoshida.
Kwa mujibu wa Katibu...
10 years ago
Bongo512 Nov
Dj Tass wa Magic Fm apata shavu la kutumbuiza kwenye Big Brother Africa Hotshots Ijumaa hii
10 years ago
Dewji Blog18 Oct
Picha za msanii T.I alipowasili nchini tayari kutumbuiza Serengeti Fiesta 2014
Msanii wa kimataifa wa muziki wa Hip pop, Clifford Harris, T I akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa JK Nyerere, tayari kwa onyesho na Serengeti Fiesta 2014, linalofanyika leo Leaders Club jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Msanii wa Marekani T.I. kutumbuiza Serengeti Fiesta Dar
Mkurugenzi Mkuu wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Ephraim Mafuru akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafala ya kumtangaza msanii wa Marekani TI ambaye atashiriki tamasha la Fiesta litakalofanyika mwezi ujao jijini Dar es Salaam.
Mwanamuziki wa Kimarekani katika miondoka ya Hip-hop ambaye pia ni mtayarishaji wa muziki, mwigizaji na mwekezaji, Clifford Joseph Harris Jr, alimaarufu kama T.I. amethibitishwa rasmi na kampuni ya Serengeti Breweries Ltd (SBL)kama...
10 years ago
GPLDIAMOND, YAMOTO BAND KUTUMBUIZA SIKU YA MSANII DAR
9 years ago
Bongo523 Oct
Sisqo na kundi lake la Dru Hill kutumbuiza Kenya Jumamosi hii