MWANAMUZIKI MTANZANIA MWENYE ASILI YA ITALIA KUTUMBUIZA HOTELI YA MEDITERRANEO JUMAMOSI HII JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s640/U.jpg?width=650)
Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia. Mwanamuziki Chantal Saroldi (kushoto), akizungumza na wanahabari Dar es Salaam leo mchana. Kulia ni Balozi wa Italia nchini, toka Italia. Balozi wa Italia nchini, Luigi Sccoto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, kuhusu tamasha la muziki litakalofanyika kesho Hoteli ya Mediterraneo iliyopo Kawe ambapo mwanamuziki huyo atatoa burudani.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 May
Mwanamuziki mwanadada Mtanzania mwenye asili ya Italia kutumbuiza hoteli ya Mediterraneo Jumamosi hii jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s640/U.jpg)
Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia.
Mwanamuziki Chantal Saroldi (kushoto), akizungumza na wanahabari Dar es Salaam leo mchana. Kulia ni Balozi wa Italia nchini, toka Italia.
Balozi wa Italia nchini, Luigi Sccoto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, kuhusu tamasha la muziki litakalofanyika kesho Hoteli ya Mediterraneo iliyopo Kawe ambapo mwanamuziki huyo atatoa burudani.
Mkurugenzi wa Hoteli ya Mediterraneo waandaaji wa tamasha hilo, Samantar Abdinur...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s72-c/U.jpg)
MWANAMUZIKI MWANADADA MTANZANIA MWENYE ASILI YA ITALIA KUTUMBUIZA HOTELI YA MEDITERRANEO JUMAMOSI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s640/U.jpg)
Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia.
9 years ago
MichuziMWANAMUZIKI ROBERTO AMARULA KUTOKA ZAMBIA KUTUMBUIZA DAR ES SALAAM, DODOMA KATIKA TAMASHA LA INSTAGRAM WIKIENDI HII
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-zOckXwVFuh4/Uj2WzLMSnvI/AAAAAAAADlc/dikTwPwAiGo/s72-c/abela+k2.jpg)
ABELA KIBIRA MWANAMUZIKI MWENYE ASILI YA TANZANIA ANAYETIKISA AMERIKA KIMUZIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-zOckXwVFuh4/Uj2WzLMSnvI/AAAAAAAADlc/dikTwPwAiGo/s640/abela+k2.jpg)
Mchanganyiko huo wa tamaduni...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-KAaeJqxI9FI/VQwKjMDcf7I/AAAAAAADc-4/GLZXbknYyBI/s72-c/10420753_977426482270152_2547371441185914273_n.jpg)
MWANAMUZIKI ALLY CHOKI KUTUMBUIZA TOKYO JUMAMOSI 21 MARCH 2015
APEWA MAPOKEZI MAZURI NA KUPANDA JUKWAANI NA WAKONGWEFRESH JUMBE NA ABBU OMARY
Ukumbi: Sonudai-Kanagawa Prefecture, Sagamihara City
![](http://3.bp.blogspot.com/-KAaeJqxI9FI/VQwKjMDcf7I/AAAAAAADc-4/GLZXbknYyBI/s1600/10420753_977426482270152_2547371441185914273_n.jpg)
Mwanamuziki mahili wa muziki wa dansi Ally Choki ambaye pia ni kiongozi wa bendi ya Extra Bongo aka "Wazee wa Kizigo" anatarajiwa kutingisha jukwaa siku ya Jumamosi 21.Machi 2015 ambapo wanamuziki wa Eagle's Vission watakuwepo kumsindikiza Ally Choki anayefuatana na Super...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jIjW-KJzgcQ/VQwNzzyXnEI/AAAAAAAHLnc/OwlKX8HzOk8/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MWANAMUZIKI ALLY CHOKI KUTUMBUIZA TOKYO,JAPAN JUMAMOSI 21 MACHI 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-jIjW-KJzgcQ/VQwNzzyXnEI/AAAAAAAHLnc/OwlKX8HzOk8/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
Katika onyesho hilo wakongwe wawili wa muziki wa dansi watanzania wanaoishi Japan,Fresh Jumbe Mkuu na Abbu Omary watakuwepo jukwaani kuwapa baraka zote wadogo zao Ally Choki na Super Nyamwela katika...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T2ELnONc5F0/Vh-RiFn5BdI/AAAAAAAIAEA/DdA1vGL48bs/s72-c/IMG_2533.jpg)
MSANII WA NCHINI KENYA KUTUMBUIZA IJUMAA HII JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-T2ELnONc5F0/Vh-RiFn5BdI/AAAAAAAIAEA/DdA1vGL48bs/s640/IMG_2533.jpg)
10 years ago
VijimamboJESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LATOLEA UFAFANUZI KUHUSU KUKAMATWA KWA MTU MWENYE ASILI YA KIASIA AKIWA NA TSHS. 722,500,00 KATIKA HOTELI YA ST. GASPER
YAH: TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA KWAVYOMBO VYA HABARI TAREHE 14/07/2015
Napenda kutoa taarifa fupi kuhusu tukio lililotokea tarehe 11/07/2015 majira ya saa 10:00 hrs huko katika Hoteli ya St. Gasper hapa mjini Dodoma, kuwa wananchi walitoa taarifa majira ya saa nne asubuhi kwamba kuna mtu mmoja mwenye asili ya Kiasia amekamatwa na wananchi...
11 years ago
Dewji Blog02 May
MWENDELEZO WA PASAKA; Mwanamuziki Rebecca Malope kutumbuiza April 4 Jijini Mwanza
MALKIA wa muziki wa Injili nchini Afrika Kusini, Rebecca Malope (pichani) anatarajiwa kutua kwenye jiji la Mwanza a.k.a ROCKY CITY April 4,ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa Tamasha la Pasaka 2014
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama amesema kuwa Nyota huyo wa muziki wa nyimbo za Kiroho,ni miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye Tamasha hilo,ameeleza kuwa msanii huyo alipata kura nyingi kutoka kwa mashabiki waliompendekeza kutumbuiza jijini humo.
“Tunashukuru...