ABELA KIBIRA MWANAMUZIKI MWENYE ASILI YA TANZANIA ANAYETIKISA AMERIKA KIMUZIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-zOckXwVFuh4/Uj2WzLMSnvI/AAAAAAAADlc/dikTwPwAiGo/s72-c/abela+k2.jpg)
Mkoa wa Kagera umebarikiwa kuwa na uwakilishi mzuri katika tasnia mbalimbali ndani na nje ya nchi, mfano mzuri ni Mwanamuziki wa kike Abela ambaye ni mzaliwa wa Bukoba Mkoani Kagera anayepeperusha vyema bendera ya Tanzania kimziki huko Amerika anakoishi na kufanya kazi zake za muziki.
Mchanganyiko huo wa tamaduni...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s640/U.jpg?width=650)
MWANAMUZIKI MTANZANIA MWENYE ASILI YA ITALIA KUTUMBUIZA HOTELI YA MEDITERRANEO JUMAMOSI HII JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog29 May
Mwanamuziki mwanadada Mtanzania mwenye asili ya Italia kutumbuiza hoteli ya Mediterraneo Jumamosi hii jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s640/U.jpg)
Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia.
Mwanamuziki Chantal Saroldi (kushoto), akizungumza na wanahabari Dar es Salaam leo mchana. Kulia ni Balozi wa Italia nchini, toka Italia.
Balozi wa Italia nchini, Luigi Sccoto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, kuhusu tamasha la muziki litakalofanyika kesho Hoteli ya Mediterraneo iliyopo Kawe ambapo mwanamuziki huyo atatoa burudani.
Mkurugenzi wa Hoteli ya Mediterraneo waandaaji wa tamasha hilo, Samantar Abdinur...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s72-c/U.jpg)
MWANAMUZIKI MWANADADA MTANZANIA MWENYE ASILI YA ITALIA KUTUMBUIZA HOTELI YA MEDITERRANEO JUMAMOSI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s640/U.jpg)
Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia.
10 years ago
Vijimambo28 Feb
ALLEN KINGDOM ARTIST MWENYE ASILI YA TANZANIA KWA MAMA APEWA SHAVU NA KANYE WEST
![](http://stmedia.startribune.com/images/630*456/chrisr_1424903132_AllanKanye.png)
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
POMBOO: Samaki mwenye asili ya nchi kavu
POMBOO ni mnyama wa baharini ambaye yupo kundi moja na samaki wengine kama vile nyangumi na porpoises. Kuna kama aina 40 za pomboo ambao wamegawanyika katika makundi makubwa 17. Makundi...
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Fundi bomba mwenye ndoto ya kuwa mwanamuziki mashuhuri
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/nb3GOqxKtNA/default.jpg)
10 years ago
GPL20 Jan