Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


POMBOO: Samaki mwenye asili ya nchi kavu

POMBOO ni mnyama wa baharini ambaye yupo kundi moja na samaki wengine kama vile nyangumi na porpoises. Kuna kama aina 40 za pomboo ambao wamegawanyika katika makundi makubwa 17. Makundi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ukataji wa mikoko hovyo wakaribisha bahari nchi kavu

KASI ya ukataji wa miti aina ya mikoko Unguja na Pemba kwa ajili ya matumizi ya chokaa na kuni yanatishia uhai wa miti hiyo ambayo huzuia kasi ya maji ya bahari kuvamia nchi kavu. Ofisa wa Idara ya Misitu ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Soud Ali alisema zaidi ya hekta 4,000 za miti aina ya mikoko zinakatwa kila mwaka kwa ajili ya matumizi mbali mbali ikiwemo kuni, chokaa na ujenzi wa nyumba za kuishi.

 

10 years ago

Vijimambo

ABELA KIBIRA MWANAMUZIKI MWENYE ASILI YA TANZANIA ANAYETIKISA AMERIKA KIMUZIKI

Mkoa wa Kagera umebarikiwa kuwa na uwakilishi mzuri katika tasnia mbalimbali ndani na nje ya nchi, mfano mzuri ni Mwanamuziki wa kike Abela ambaye ni mzaliwa wa Bukoba Mkoani Kagera anayepeperusha vyema bendera ya Tanzania kimziki huko Amerika anakoishi na kufanya kazi zake za muziki.

Abela Kibira alizaliwa Septemba 22 mwaka 1989 akiwa mtoto wa kwanza katika familia ya Mtanzania Josiah Kibira mzaliwa wa Bukoba Kagera, Tanzania na Mmarekani, Mrs Josiah Kibira.
Mchanganyiko huo wa tamaduni...

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA WA UBELIGIJI WATEMBELEA BANDARI YA NCHI KAVU YA PMM - DAR ES SALAAM

Balozi wa Tanzaniania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (wa tatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Wafanyabiashara kutoka Ubeligiji baada ya kutembelea bandari ya nchi kavu ya PMM- Dar es salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

NGUMI KUPIGWA JUMAPILI UWANJA WA NDANI WA TAIFA MABONDIA WAZIDUNDA KAVU KAVU

Mabondia Mada Maugo kushoto na Kalama Nyilawila wakikunjana baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa jumapili katika uwanja wa ndani wa taifa Mabondia Mada Maugo kushoto na Kalama Nyilawila wakikunjana baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa jumapili katika uwanja wa ndani wa taifa Bondia Thomas Mashali akipima uzitoBondia Japhert Kaseba akipima uzito kulia ni mpinzani wakeSaid Mbelwa akishudia kwa ajili ya mpambano wao wa jumapili ya march 15 katika uwanja wa ndani wa...

 

10 years ago

Vijimambo

ALLEN KINGDOM ARTIST MWENYE ASILI YA TANZANIA KWA MAMA APEWA SHAVU NA KANYE WEST

The 21-year-old Woodbury High graduate joined West on stage at the Brit awards in London earlier today to debut the song.Allan Kingdom, right, posted this photo on his Facebook page from the Brit Awards earlier today.Looks like Allan Kingdom’s big break has come in the United Kingdom. The St. Paul rapper was prominently featured on stage with Kanye West at the Brit Awards in London on Wednesday night (mid-day our time), and he also is a guest star in the new single West debuted at the show,...

 

10 years ago

GPL

MWANAMUZIKI MTANZANIA MWENYE ASILI YA ITALIA KUTUMBUIZA HOTELI YA MEDITERRANEO JUMAMOSI HII JIJINI DAR

Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia. Mwanamuziki Chantal Saroldi (kushoto), akizungumza na wanahabari Dar es Salaam leo mchana. Kulia ni Balozi wa Italia nchini, toka Italia. Balozi wa Italia nchini, Luigi Sccoto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, kuhusu tamasha la muziki litakalofanyika kesho Hoteli ya Mediterraneo iliyopo Kawe ambapo mwanamuziki huyo atatoa burudani.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani