WAFANYABIASHARA WA UBELIGIJI WATEMBELEA BANDARI YA NCHI KAVU YA PMM - DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-jechvQFAE40/VG9rWEDaSOI/AAAAAAAGywA/da383xH21qo/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
Balozi wa Tanzaniania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (wa tatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Wafanyabiashara kutoka Ubeligiji baada ya kutembelea bandari ya nchi kavu ya PMM- Dar es salaam.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog30 Aug
Wabunge wa bunge Jumuiya ya Afrika Mashariki watembelea bandari ya Dar es salaam
Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) Dkt. Margaret Zziwa (wa pili kulia) akipewa maelezo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya TICS Paul Wallace namna kampuni yake inavyofanyakazi ya kupakua na kupakia mizigo katika bandari ya Dar es salaam wakati wa ziara ya Wabunge wa bunge hilo walipotembelea ofisi za Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) jana jijini Dar es salaam.(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO).
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Jumuiya ya Afrika Mashariki iko makini katika kutekeleza...
10 years ago
MichuziWaziri wa Fedha afanya ziara kwenye bandari kavu ya kampuni ya THR jijini Dar leo
11 years ago
Michuzi24 Apr
UJUMBE KUTOKA NCHI WANACHAMA WA SADC UNAOSHUGHULIKA NA MAFUNZO YA UANGALIZI WA AMANI KIMATAIFA WATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA MAGEREZA LEO, JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/FbsuFcw8zgwn08N49MX_r5Se8XzKw-UqKum9lDkCVHBxq87PWZLtJKofpc7e6ewyuAzWqrclz7hw0NuGCVIw2YtWPpaLw-NO-2mbcygRzmny5qzSdZo_a8T0QbblUNVWQKSsgImeMxQeMig2PhjCS2ianS3FEzJLbC60K1NCeu49hc9vSS6SMnesrv3fg_OKeYxoZzlBPCP6FFhdEm43SglJn28B3CRgcYNOQXaHAAU3Jt2TlXFS2yQuUxC5cYXfup0-dbMVSnETfTG2sFuMB5Xp4zCKUg2jwX8sXpPwNqlCvs7WG_5v5syiokKJuzyEiMIFOvujjDHUhCEVj-s=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-E9bG24zigXo%2FU1e8EOEgUXI%2FAAAAAAAChD8%2FviGyRL3G65A%2Fs1600%2Fimage.jpeg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/_z_UwE_tnl3yx3srTA0bGOt-A5Ibv5lyfQNfMGazvOgbqrl8Uit7wqIaNLYA48iqYjOvFID4LKaZJ_3-D7KVXG7mZF-k5uIG8dGXPgDAm1-4hXTsnc0jG-DxkmsbwqFIfiaoaCV8TJ2ScNKxM0ZszD7bsGBT5j4iiIySEw0kzl8mgMbGAWlOSNNhWs3K_bZ2wMewMAULlgEsrYUcARkEeS0lYXIJtkvdXJiGvCk2tEctDwYLMjOG4ym5qr-udTrtGMjPnsqVylKdKJ9mofEHQZHMK3N1YnGoPLkt9ZBnda3RB1wViwB_b5U0Dh5yLHBmkzFqiEyaTxZaxw9itXVaFw=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-PQiE9MSPiw0%2FU1e8D4TbhnI%2FAAAAAAAChD4%2FoFxmOIuaZxM%2Fs1600%2Fimage_1.jpeg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Mwananchi12 Oct
CCM yaahidi kufufua Bandari Kavu ya Isaka
9 years ago
MichuziTAFFA WAMFAGILIA MAGUFULI, WATAKA BANDARI KAVU ZIFUTWE
Mwandishi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C8RTZmmUnmQ/XrQTSmLdYpI/AAAAAAALpaY/pUeYMYXnaDcTP6lmwQFt6pFM2yT24cHcgCLcBGAsYHQ/s72-c/e59f8447-bdd3-4c95-8a05-b078279b770a.jpg)
MAKONTENA YAENDELEA KUMIMINIKA KATIKA BANDARI KAVU YA KWALA.
Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV
TRENI ya pili ya mizigo yenye jumla ya makontena 20 imewasili katika Bandari Kavu ya Kwala iliyopo Kibaha mkoani Pwani kutoka Bandari ya Dar es Salaam na kufanya jumla ya makontena yaliyofikishwa katika bandari hiyo kufikia 49.
Kuanza kwa zoezi la kupokea makontena hayo kumekuja baada ya kukamilika kwa sehemu ya mradi huo ambapo jumla ya hekta 5.5 zimewekwa zege na reli kwa ajili ya kupokea kontena na kwamba eneo ni sehemu ya hekta 60 zitakazojengwa na litakuwa...
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Waziri wa Fedha afanya ziara ya kushtukiza Bandari Kavu
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya akiangalia kontena lenye shehena ya vitenge badala ya unga wa gypsum kama nyaraka zilivyoonyesha.
Baadhi ya wafanyabiashara wabainika kukwepa kulipa kodi kwa kuingiza bidhaa kutoka nje kupitia bandari ya Dar es Salaam, ambapo huandikisha taarifa na maelezo tofauti na bidhaa halisi zilizomo ndani ya makontena ili kuwawezesha kukwepa kodi kwa kulipia kiasi kidogo.
Kutokana na udanganyifu huo, Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya alifanya ziara ya kushtukiza...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DfH2af40-cI/VoLIvaIoPQI/AAAAAAAIPSo/y-RTYq4x0XY/s72-c/21764469-e493-479c-839b-790554c74e7b.jpg)
BALOZI KAMALA AAGANA VIONGOZI WA TAASISI YA WAFANYABIASHARA YA UBELIGIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-DfH2af40-cI/VoLIvaIoPQI/AAAAAAAIPSo/y-RTYq4x0XY/s640/21764469-e493-479c-839b-790554c74e7b.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eyfHLLrzuqE/VG2oTVltvLI/AAAAAAAGyY8/JA7XxDdmWag/s72-c/unnamed.jpg)
WAZIRI NAGU AZINDUA ZIARA YA WAFANYABIASHARA KUTOKA UBELIGIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-eyfHLLrzuqE/VG2oTVltvLI/AAAAAAAGyY8/JA7XxDdmWag/s1600/unnamed.jpg)