Wabunge wa bunge Jumuiya ya Afrika Mashariki watembelea bandari ya Dar es salaam
Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) Dkt. Margaret Zziwa (wa pili kulia) akipewa maelezo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya TICS Paul Wallace namna kampuni yake inavyofanyakazi ya kupakua na kupakia mizigo katika bandari ya Dar es salaam wakati wa ziara ya Wabunge wa bunge hilo walipotembelea ofisi za Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) jana jijini Dar es salaam.(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO).
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Jumuiya ya Afrika Mashariki iko makini katika kutekeleza...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Aug
Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki limefunguliwa rasmi jijini Dar es Salaam
Spika wa Bunge la Tanzania Anne Makinda akihutubia Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) la kwanza kufanyika Dar es Salaam, tangu utaratibu wa kufanyika kwa bunge hilo kwa mzunguko kwa kila nchi mwanachama wa Jumuiya.
Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt. Margaret Zziwa akizungumza kwenye ufunguzi wa bunge hilo.
Spika wa Bunge la Tanzania Anne Makinda (kushoto) akiwa na Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt. Margaret Zziwa wakati wa ufunguzi wa vikao vya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RHaP_Xfzgz8/VDecvKsfrfI/AAAAAAAGo9o/_l-MHChO7pA/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA WABUNGE WA BUNGE LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-RHaP_Xfzgz8/VDecvKsfrfI/AAAAAAAGo9o/_l-MHChO7pA/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
5 years ago
MichuziWABUNGE WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI WATEMBELEA MPAKA WA KENYA NA TANZANIA ENEO LA HOROHORO KUONA HATUA ZINAZOCHUKULIWA Inbox x
Mwenyekiti wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Abdulla Makame akizungumza mara baada ya wabunge wa bunge la Afrika Mashariki kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wametembelea mpaka wa Kenya na Tanzania eneo la Horohoro –Lungalunga kuangalia umeathirika vipi kutokana na janga la Virusi vya Corona na hatua ambazo zimekuwa zikichukuliwa kuweza kukabiliana nao huku wakiridhishwa na hatua zinazochukuliwa kulia ni Meneja wa TRA Mkoa wa Tanga Specioza Owure
...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-69ZLhbB4n84/U_jIpZhb7DI/AAAAAAAGB0s/kbXYrS_MX48/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Wabunge wa Kamati ya Uongozi ya Bunge la Afrika Mashariki watembelea vyombo vya habari vya IPP
![](http://1.bp.blogspot.com/-69ZLhbB4n84/U_jIpZhb7DI/AAAAAAAGB0s/kbXYrS_MX48/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BBUiuPI6ru0/U_jIxx_Tl6I/AAAAAAAGB14/u8wfp1v-F-4/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HgIzlggx7Ss/U_jIqv8iKCI/AAAAAAAGB08/dMimCwqfCP0/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
Wizara ya Ushirikiano wa Afrika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b8n7LJ2oJWQ/U_4QndYeX2I/AAAAAAAGCvE/MThK6CdG7so/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki limefunguliwa leo jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-b8n7LJ2oJWQ/U_4QndYeX2I/AAAAAAAGCvE/MThK6CdG7so/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bB0aWq8oLE4/U_4QnpqlYdI/AAAAAAAGCvI/0czbmjwfYlI/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-p3ufL-F-zEo/U_4QnwBSQDI/AAAAAAAGCvM/KtH8RYYkrnY/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Apr
Mkutano wa Takwimu wa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki wafanyika jijini Dar Es Salaam
![NBS -2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/NBS-2.jpg)
![NBS-3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/NBS-3.jpg)
10 years ago
MichuziWANAHABARI NA WAMILIKI WA VYOMBO VYA HABARI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA DAR ES SALAAM KUJADILI CHANGAMOTO ZA NCHI ZAO
BOFYA HAPA KUONA PICHA...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W6xTlaG2Irs/VAN0PdupDgI/AAAAAAAGYnw/I9QixX8_gq0/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Wabunge Afrika Mashariki watembelea Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSuBa)
![](http://3.bp.blogspot.com/-W6xTlaG2Irs/VAN0PdupDgI/AAAAAAAGYnw/I9QixX8_gq0/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kcJ12wU78Ug/VAN0QGCHlkI/AAAAAAAGYn4/Yse08ZLzTJg/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
Wabunge wapata semina ya Itifaki ya Umoja wa Fedha wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki
Mgeni rasmi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwezeshaji wa Uchumi Dkt. Mary Nagu akifungua semina ya Wabunge kuhusu Itifaki ya Umoja wa Fedha wa Jumuiya ya Afrika Mashariki jana katika ukumbi wa Bunge wa Msekwa mjini Dodoma. Kulia ni Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum.
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akisisitiza umuhimu wa Itifaki ya Umoja wa Fedha wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa Wabunge katika semina iliyofanyika jana ukumbi wa Bunge wa Msekwa mjini Dodoma.
Mkurugenzi Msaidizi...