WABUNGE WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI WATEMBELEA MPAKA WA KENYA NA TANZANIA ENEO LA HOROHORO KUONA HATUA ZINAZOCHUKULIWA Inbox x
Mwenyekiti wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Abdulla Makame akizungumza mara baada ya wabunge wa bunge la Afrika Mashariki kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wametembelea mpaka wa Kenya na Tanzania eneo la Horohoro –Lungalunga kuangalia umeathirika vipi kutokana na janga la Virusi vya Corona na hatua ambazo zimekuwa zikichukuliwa kuweza kukabiliana nao huku wakiridhishwa na hatua zinazochukuliwa kulia ni Meneja wa TRA Mkoa wa Tanga Specioza Owure
...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili23 Mar
Coronavirus: Hatua zinazochukuliwa na Afrika mashariki dhidi ya corona
11 years ago
Dewji Blog30 Aug
Wabunge wa bunge Jumuiya ya Afrika Mashariki watembelea bandari ya Dar es salaam
Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) Dkt. Margaret Zziwa (wa pili kulia) akipewa maelezo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya TICS Paul Wallace namna kampuni yake inavyofanyakazi ya kupakua na kupakia mizigo katika bandari ya Dar es salaam wakati wa ziara ya Wabunge wa bunge hilo walipotembelea ofisi za Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) jana jijini Dar es salaam.(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO).
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Jumuiya ya Afrika Mashariki iko makini katika kutekeleza...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Wabunge wa Kamati ya Uongozi ya Bunge la Afrika Mashariki watembelea vyombo vya habari vya IPP
.jpg)
.jpg)
.jpg)
Wizara ya Ushirikiano wa Afrika...
11 years ago
MichuziWABUNGE WA TANZANIA WANAOWAKILISHA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI (EALA) NA SAKATA LA KUTAKA KUMVUA MADARAKA SPIKA WA BUNGE HILO
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Tamko la wabunge Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki EALA — TZ
Mwenyekiti wa wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki(EALA) Mh. Adam Kimbisa akitoa tamko la wabunge wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu sakata la kumvua madaraka spika wa bunge hilo wakati wa Mkutano uliofanyika katikamukumbi wa Idara ya Habari(MAELEZO).Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Bw. Assah Mwambene.
Katibu wa wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki(EALA) Mh. Shy-rose Bhanji akieleza...
11 years ago
Dewji Blog25 May
Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki toka Tanzania wafuatilia Bajeti ya Wizara yao Bungeni Dodoma

Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta akisoma Bungeni hotuba ya Bajeti ya Wizara yake kwa mwaka 2014/2015. Bajeti hiyo ilijadiliwa na kupitishwa na Bunge. Bajeti hiyo pia ilisikilizwa na Wabunge wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki waliokuwepo Bungeni siku hiyo.
Mbunge Shy-Rose Bhanji (kushoto) akiwa na wabunge wa Bunge la Muungano.

Shy-Rose Bhanji akizungumza na Mbunge Mwenzake wa Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere.

Mh. Bhanji ndani ya viwanja vya Bunge…
Wabunge...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Wabunge Afrika Mashariki watembelea Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSuBa)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi
SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA Makamu Mwenyekiti ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Bunge la Kenya



11 years ago
Michuzi.jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA WABUNGE WA BUNGE LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
.jpg)