Wabunge Afrika Mashariki watembelea Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSuBa)
![](http://3.bp.blogspot.com/-W6xTlaG2Irs/VAN0PdupDgI/AAAAAAAGYnw/I9QixX8_gq0/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Spika wa Bunge la Jumuiya ya AfrikaMashariki (EALA) Mhe. Margareth Zziwa (Kulia) akikabidhi kitabu cha mpango mkakati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Mhe Ahmed Chipozi jana wilayani Bagamoyo wakati wa ziara ya Wabunge wa Afrika Mashariki katika taasisi ya Sanaa na Utamaduni (TaSuBa). Anayeshuhudia katikati ni Waziriwa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara (MB).
![](http://4.bp.blogspot.com/-kcJ12wU78Ug/VAN0QGCHlkI/AAAAAAAGYn4/Yse08ZLzTJg/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ASBGby2UUhE/U1-eYaQ85ZI/AAAAAAAAV0U/rSPnhq8mUnc/s72-c/945988442748510035_tangazo_html_mb1ecfee.png)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa) THE 33RD BAGAMOYO INTERNATIONAL FESTIVAL OF ARTS AND CULTURE 22 — 28 SEPTEMBER, 2014 CALL FOR ARTISTS
![](http://3.bp.blogspot.com/-ASBGby2UUhE/U1-eYaQ85ZI/AAAAAAAAV0U/rSPnhq8mUnc/s640/945988442748510035_tangazo_html_mb1ecfee.png)
We would like to invite you (individual artist/groups) to apply for the participation and performance in the 33th Bagamoyo International Festival of Arts and Culture which will take place at the institute (TaSUBa - Bagamoyo) from 22 - 28 September 2014.
The aim of this festival is to support and expose activities of the artists, encourage cooperation and friendship of both local and international artists, promote mutual cultural exchange, share experiences
and give the...
9 years ago
Dewji Blog14 Aug
TaSUBa watambulisha rasmi Tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo
Mwenyekiti wa Kamati kuu wa tamasha la 34 la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo, Bw. John Mponda (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani) katika ukumbi wa MAELEZO mapema leo 8.14.2015. Wengine ni Mwalimu Christa Kombo ambaye ni Mwenyekiti wa Maonyesho (kulia) na kushoto ni Bw. Frank Sika ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Majukwaa na Ufundi wa tamasha hilo ambalo linatarajia kufanyika mwishoni mwa mwezi Septemba mwaka huu (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog)
TAASISI...
10 years ago
Dewji Blog30 Aug
Wabunge wa bunge Jumuiya ya Afrika Mashariki watembelea bandari ya Dar es salaam
Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) Dkt. Margaret Zziwa (wa pili kulia) akipewa maelezo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya TICS Paul Wallace namna kampuni yake inavyofanyakazi ya kupakua na kupakia mizigo katika bandari ya Dar es salaam wakati wa ziara ya Wabunge wa bunge hilo walipotembelea ofisi za Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) jana jijini Dar es salaam.(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO).
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Jumuiya ya Afrika Mashariki iko makini katika kutekeleza...
5 years ago
MichuziWABUNGE WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI WATEMBELEA MPAKA WA KENYA NA TANZANIA ENEO LA HOROHORO KUONA HATUA ZINAZOCHUKULIWA Inbox x
Mwenyekiti wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Abdulla Makame akizungumza mara baada ya wabunge wa bunge la Afrika Mashariki kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wametembelea mpaka wa Kenya na Tanzania eneo la Horohoro –Lungalunga kuangalia umeathirika vipi kutokana na janga la Virusi vya Corona na hatua ambazo zimekuwa zikichukuliwa kuweza kukabiliana nao huku wakiridhishwa na hatua zinazochukuliwa kulia ni Meneja wa TRA Mkoa wa Tanga Specioza Owure
...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-69ZLhbB4n84/U_jIpZhb7DI/AAAAAAAGB0s/kbXYrS_MX48/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Wabunge wa Kamati ya Uongozi ya Bunge la Afrika Mashariki watembelea vyombo vya habari vya IPP
![](http://1.bp.blogspot.com/-69ZLhbB4n84/U_jIpZhb7DI/AAAAAAAGB0s/kbXYrS_MX48/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BBUiuPI6ru0/U_jIxx_Tl6I/AAAAAAAGB14/u8wfp1v-F-4/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HgIzlggx7Ss/U_jIqv8iKCI/AAAAAAAGB08/dMimCwqfCP0/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
Wizara ya Ushirikiano wa Afrika...
9 years ago
Dewji Blog11 Sep
Ratiba ya maonyesho -Tamasha la 34 la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo 2015!
Tamasha la 34 la Sanaa za Maonyesho na Utamaduni Bagamoyo…
Sehemu ya umati wa watu wanaojitokeza kushuhudia tamasha hilo…
RATIBA YA TAMASHA – PROGRAM.pdf
11 years ago
Michuzi26 Jun
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Kumekucha tamasha la 34 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo kufanyika Sept 21-27
![2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/26.jpg)