SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA Makamu Mwenyekiti ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Bunge la Kenya
![](http://2.bp.blogspot.com/-CIL41JMq3ZU/VMvfjrE-SMI/AAAAAAAHAaQ/QoIr7EZ3F7Q/s72-c/IMG-20150130-WA0002.jpg)
Spika wa Bunge Mhe.Anna Makinda akimkaribisha Makamu Mwenyekiti ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Bunge la Kenya Mhe. Chris Nakulelu kabla ya kufanya nao mazungumzo katika ukumbi wa mkutano wa Spika.Mhe.Nakululu alikuwa kiongozi wa msafara huo.
Spika wa Bunge Mhe.Anna Makinda akifurahi jambo na Makamu Mwenyekiti ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Bunge la Kenya Mhe. Chris Nakulelu wakati wa mazungumzo yao katika ukumbi wa mkutano wa Spika.
Spika wa Bunge Mhe. Anna Makinda akiwa katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWABUNGE WA TANZANIA WANAOWAKILISHA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI (EALA) NA SAKATA LA KUTAKA KUMVUA MADARAKA SPIKA WA BUNGE HILO
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Spika Bunge ,Afrika Mashariki aondoshwa
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Mganda kidedea Spika Bunge Afrika Mashariki
10 years ago
Habarileo18 Dec
Spika Bunge Afrika Mashariki ang’olewa
SPIKA wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Margaret Zziwa hatimaye ameng’olewa na baadhi ya Wabunge wa Bunge hilo.
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
Breaking News… Bunge Afrika Mashariki lamvua spika madaraka yake
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki kabla ya kubwagwa leo Bi.Margaret Nantongo Zziwa.
Na Mahmoud Ahmad Arusha
BUNGE la nchi za jumuia ya Afrika Mashariki,lenye makao yake mjini Arusha, limemvua madaraka ya Uspika wa bunge hilo Margaret Nantongo Zziwa, kutoka nchini Uganda.
Uamuzi huo umefanywa leo katika kikao cha bunge hilo ambapo Spika huyo alipigiwa kura 36 za kutokuwa na Imani nae, kura 2 zimeharika kura moja haikueleweka hivyo kukosa sifa ya kuendelea na wadhifa huo.
Kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AikHq5lX5uk/U43_G0-pakI/AAAAAAAFnbY/KYXvTzb6KS4/s72-c/images+(1).jpg)
News alert: Vuguvugu la kutaka kumng'oa madarakani spika wa bunge la Afrika mashariki latikisa Arusha
![](http://3.bp.blogspot.com/-AikHq5lX5uk/U43_G0-pakI/AAAAAAAFnbY/KYXvTzb6KS4/s1600/images+(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RHaP_Xfzgz8/VDecvKsfrfI/AAAAAAAGo9o/_l-MHChO7pA/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA WABUNGE WA BUNGE LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-RHaP_Xfzgz8/VDecvKsfrfI/AAAAAAAGo9o/_l-MHChO7pA/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
9 years ago
MichuziSPIKA WA BUNGE MHE. ANNE MAKINDA AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA TUME YA UTUMISHI YA BUNGE LA NIGERIA OFISINI KWAKE LEO
10 years ago
VijimamboSPIKA KIFICHO AMSHUKURU MJUMBE WA KAMATI YA BUNGE LA ULAYA YA USHIRIKIANO WA BUNGE LA ULAYA NA TANZANIA