SPIKA WA BUNGE MHE. ANNE MAKINDA AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA TUME YA UTUMISHI YA BUNGE LA NIGERIA OFISINI KWAKE LEO
Spika wa Bunge ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akiongea na Ujumbe wa Tume ya Utumishi kutoka Bunge la Nigeria walipomtembelea leo Ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Ujumbe huo upo nchini kwa lengo la kujifunza masuala mbalimbali ya Utumishi na Uendeshaji wa Bunge ambapo Mhe. Makinda aliambatana na wajumbe wa Tume ya Bunge la Tanzania. Kulia kwake ni Kiongozi wa Msafara wa Tume hiyo Mhe. Yepwi Stephen Dako. Bunge la Tanzania leo kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO
11 years ago
MichuziSpika wa Bunge la Uholanzi na ujumbe wake wamtembelea Spika Makinda leo
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Anne Semamba Makinda Spika wa Bunge
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YK97hPq8ReE/VT4V5j8p4RI/AAAAAAAHTd4/zk5Z1s-I_mU/s72-c/IMG_20150427_104647.jpg)
SPIKA WA BUNGE MH. ANNE MAKINDA ZIARANI NCHINA CHINA
![](http://2.bp.blogspot.com/-YK97hPq8ReE/VT4V5j8p4RI/AAAAAAAHTd4/zk5Z1s-I_mU/s1600/IMG_20150427_104647.jpg)
Spika akiwa katika ziara ya maeneo kadhaa ya kiteknolojia katika kampuni ya Huawei.Spika yuko nchini China kwa ziara ya namba ya kulifanya Bunge la Tanzania kuendeshwa kiteknolojia zaidi
![](http://3.bp.blogspot.com/-MIQkBdoHvqA/VT4WAJHHSZI/AAAAAAAHTeA/YK2hdSFavw8/s1600/IMG_20150427_112753.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LhAZh_wmxa4/VT4WEVFT1DI/AAAAAAAHTeI/bul2RHOibUg/s1600/IMG_20150427_120550.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oOvo2emXnAg/U4Hgzo3RMzI/AAAAAAAFk5s/ccEmCMjoKFI/s72-c/unnamed+(18).jpg)
SPIKA WA BUNGE ANNE MAKINDA KUFUNGUA SEMINA YA 24 YA CHAMA CHA MABUNGE WANACHAMA WA JUMUIYA YA MADOLA (CPA) KESHO, DAR ES SALAAM,
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-O3r-Rqupdlc/VGqhxknn0wI/AAAAAAAGx-0/-NNsf9g52ac/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
MHE.SPIKA ANNE MAKINDA ASHIRIKI MKUTANO WA IPU UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dc5-60Y69cM/VGsWQNSmtKI/AAAAAAADNqU/zf-88SKkRhw/s72-c/FullSizeRender%2B(3).jpg)
MHE: SPIKA ANNE MAKINDA ASHIRIKI MKUTANO WA IPU UMOJA WA MATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dc5-60Y69cM/VGsWQNSmtKI/AAAAAAADNqU/zf-88SKkRhw/s1600/FullSizeRender%2B(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I0fW1txbuMs/VGsWPAbgEYI/AAAAAAADNqI/V5p74UwWg9U/s1600/FullSizeRender%2B(4).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-az9I71CyCTI/VGsWPxLQDgI/AAAAAAADNqM/mEQ1s3-i3lQ/s1600/FullSizeRender%2B(5).jpg)
Na Mwandishi Maalum, New York
Kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa Nne wa Dunia...
9 years ago
MichuziNaibu Spika wa Bunge Mhe Dkt Tulia Ackson akutana na Rais wa Baraza la Maseneta la Jamhuri wa Burundi Mhe Reverien Ndikuriyo
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bn3WImY0mkw/VQb_acckbGI/AAAAAAAHKzc/pnY6gvVxpOo/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
UJUMBE KUTOKA KAMPUNI YA SURBANA — SINGAPORE WAMTEMBELEA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI OFISINI KWAKE LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-bn3WImY0mkw/VQb_acckbGI/AAAAAAAHKzc/pnY6gvVxpOo/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rbKEUb69_fc/VQb_aLVXaxI/AAAAAAAHKzY/fhYDpeHbOUM/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10