Waziri wa Fedha afanya ziara kwenye bandari kavu ya kampuni ya THR jijini Dar leo
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya (katikati) akiwasili katika Bandari ya Nchi Kavu ya TRH katika ziara ya wizara hiyo leo jijini Dar es Salaam ambapo kontena mbili zilikamtwa ambapo moja ilikutwa na bidhaa za tv na nyingine biskuti huku nyingine mbili hazikuweza kupatikana mahali zilipofichwa.
Kamishna Msaidizi wa Forodha wa Mamalaka ya Mapato Tanzania (TRA),Bw. Tiagi Kabisi kushoto akipata maelekezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Road Haulage (TRH) Bw. Ali Lilani katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Waziri wa Fedha afanya ziara ya kushtukiza Bandari Kavu
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya akiangalia kontena lenye shehena ya vitenge badala ya unga wa gypsum kama nyaraka zilivyoonyesha.
Baadhi ya wafanyabiashara wabainika kukwepa kulipa kodi kwa kuingiza bidhaa kutoka nje kupitia bandari ya Dar es Salaam, ambapo huandikisha taarifa na maelezo tofauti na bidhaa halisi zilizomo ndani ya makontena ili kuwawezesha kukwepa kodi kwa kulipia kiasi kidogo.
Kutokana na udanganyifu huo, Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya alifanya ziara ya kushtukiza...
10 years ago
MichuziWAZIRI MAHENGE AFANYA ZIARA JIJINI DAR LEO
Akiwa katika mwendelezo wa ziara zake za ukaguzi mazingira Mh. Mahenge alimtaka Mkurugenzi mtendaji wa kiwanda hicho Bwana Vijay Raghavan kutumia nishati mbadala kama gesi katika uendeshaji wa mitambo ya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lPWwKsoWXn4/VmxMopWsORI/AAAAAAAIL8w/76NnhuNnxeM/s72-c/201512120815%252C52.jpg)
WAZIRI WA AFYA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA MWANANYAMALA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-lPWwKsoWXn4/VmxMopWsORI/AAAAAAAIL8w/76NnhuNnxeM/s640/201512120815%252C52.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ITALQRWR9Mc/VmxMo0GxL2I/AAAAAAAIL8s/tj7_ifV35PQ/s640/2015121208155%252C1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Uj8-OD2CjiE/VDKVUcp-YOI/AAAAAAAGoV0/v6AI_ZPs-so/s72-c/unnamed%2B(83).jpg)
Waziri wa Mazingira afanya ziara ya kukagua viwanda mbalimbali jijini Dar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uj8-OD2CjiE/VDKVUcp-YOI/AAAAAAAGoV0/v6AI_ZPs-so/s1600/unnamed%2B(83).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EwPnEPjS3xU/VDKVUL-De5I/AAAAAAAGoVw/NSPgD5BeEWw/s1600/unnamed%2B(84).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zSuC763Lgtg/VmwMcN-ZbkI/AAAAAAAIL1o/9dKlPsudWQw/s72-c/AmvQ-kQcVpVOkSRvJacmJNocZLUg5YvaH7pI6WSufb58.jpg)
NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA AFYA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WATOTO NA WAZEE AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA HOSPITALI YA AMANA JIJINI DAR LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zSuC763Lgtg/VmwMcN-ZbkI/AAAAAAAIL1o/9dKlPsudWQw/s640/AmvQ-kQcVpVOkSRvJacmJNocZLUg5YvaH7pI6WSufb58.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VjQW6YgISOY/VmwMcPQwDSI/AAAAAAAIL10/8wKdnojdXlQ/s640/AjH-S6SvR9gr9VzcTGc-wk1SEi50ErUn6z0Jja4vAC7W.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EB0__tOG8IA/VmwODqvP9II/AAAAAAAIL2A/AGs7SESJWHo/s640/AprHMZ72sEp9hGk6aXIotmJf3651kZCLwrCY3kS6uWPG%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f9lqJEtlw9o/VnQeGWgg4FI/AAAAAAAINRM/f3tyDe7szOg/s72-c/IMG_8683.jpg)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA MITAMBO YA GESI YA TEGETA JIJINI DAR.
Na kukagua mitambo hiyo leo na kubaini kuwa umeme uniti moja inatengenezwa kwa gharama ya shilingi 90 na kuuzwa kwa wananchi kwa shilingi 180 ikiwa ni kiwango kikubwa kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zoaMf1osy30/UwO1c5g8RbI/AAAAAAAFN1Q/cbT1vwJG-ls/s72-c/unnamed+(49).jpg)
WAZIRI MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KUKAGUA NYUMBA ZINAZOJENGWA KWA AJILI YA WATUMISHI WA UMMA ENEO LA BUNJU B JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
MichuziKAMPUNI 15 ZASHINDWA KULIPA KODI ZA KONTENA 329 ZILIZOTOROSHWA KATIKA BANDARI KAVU YA AZAM
KAMPUNI 15 zimeshindwa kulipa kodi za kontena zilizotoroshwa katika bandari kavu ya Azam inayomilikiwa na Said Salim Bakhressa na kodi iliyokuwa imekwepwa kwa kampuni 43 ni zaidi ya Sh. Bilioni 12.
Kodi iliyolipwa ya Kontena 329 hadi jana ambayo ndio ilikuwa ulipaji wa hiari kwa ndani ya siku saba za Rais Dk. John Pombe Magufuli ni zaidi ya sh. bilioni 10 pekee.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Kaimu Kamisha Mkuu wa Mamlaka ya Mapato...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MITARO NA MAENEO YALIYOATHILIWA NA KIPINDUPINDU JIJINI DAR