Ukataji wa mikoko hovyo wakaribisha bahari nchi kavu
KASI ya ukataji wa miti aina ya mikoko Unguja na Pemba kwa ajili ya matumizi ya chokaa na kuni yanatishia uhai wa miti hiyo ambayo huzuia kasi ya maji ya bahari kuvamia nchi kavu. Ofisa wa Idara ya Misitu ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Soud Ali alisema zaidi ya hekta 4,000 za miti aina ya mikoko zinakatwa kila mwaka kwa ajili ya matumizi mbali mbali ikiwemo kuni, chokaa na ujenzi wa nyumba za kuishi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo12 Dec
RC aonya siasa za hovyo hovyo Arusha
MKUU mpya wa Mkoa wa Arusha, Daud Felix Ntibenda `Kijiko’ amevitaka vyama vya siasa mkoani hapa kuepuka siasa zozote zinazoingilia utendaji wa Serikali na kusisitiza atapambana hadi dakika za mwisho ili kuhakikisha siasa hizo hazipati nafasi.
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
POMBOO: Samaki mwenye asili ya nchi kavu
POMBOO ni mnyama wa baharini ambaye yupo kundi moja na samaki wengine kama vile nyangumi na porpoises. Kuna kama aina 40 za pomboo ambao wamegawanyika katika makundi makubwa 17. Makundi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jechvQFAE40/VG9rWEDaSOI/AAAAAAAGywA/da383xH21qo/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
WAFANYABIASHARA WA UBELIGIJI WATEMBELEA BANDARI YA NCHI KAVU YA PMM - DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-jechvQFAE40/VG9rWEDaSOI/AAAAAAAGywA/da383xH21qo/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
10 years ago
Vijimambo14 Mar
NGUMI KUPIGWA JUMAPILI UWANJA WA NDANI WA TAIFA MABONDIA WAZIDUNDA KAVU KAVU
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GwddrHwCy7k/VAhZKjCDBhI/AAAAAAAGd2Q/e3ud37VJgSs/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
DK SHEIN ASHIRIKI UZINDUZI WA MPANGO WA MABADILIKO YA TABIA NCHI NA CHANGAMOTO ZAKE MAGHARIBI YA BAHARI YA HINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-GwddrHwCy7k/VAhZKjCDBhI/AAAAAAAGd2Q/e3ud37VJgSs/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RQ9a6R4QuFo/VAhZKzXyrgI/AAAAAAAGd2c/QGh6Q0KBlpo/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Kisiwa cha Zanzibar ni miongoni mwa visiwa vitakavyo potea duniani kutokana na mabadiriko ya tabia nchi ukanda wa bahari ya Hindi!
Mchambuzi wa mambo ya mazingira katika ukanda wa bahari na mwandishi mwandamizi wa habari nchini Kenya, Wanjohi Kabukuru, akielezea jambokwa wandishi wa habari (hawapo pichani) katika warsha hiyo juu ya mazingira
Na Andrew Chale, Nairobi, Kenya
Wataalamu wa kichunguzi na wanasayansi wa Mazingira, wameelezea kuwa visiwa vilivyopo ndani ya bahari ya Hindi vinatarajiwa kutoweka duniani kutokana na mabadiriko ya tabia nchi inayoikumba dunia kwa sasa ikiwemo upungufu wa kimo cha bahari,...
10 years ago
Habarileo06 Feb
Vikundi vyapanda mikoko 60,000
ZAIDI ya vikundi 15 vya wananchi wa wilaya ya Wete Pemba, vimehamasika na kuanza kupanda mikoko kwa ajili ya kudhibiti kasi ya bahari kuvamia maeneo ya nchi kavu.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uRtTVcTOKO0/Uyse6NdeDYI/AAAAAAAFVRc/tpoStY0LDyY/s72-c/unnamed+(49).jpg)
Wafanyakazi wa Tume ya Kikristo ya Huduma za (CSSC) wakaribisha rasimi mwaka mpya 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-uRtTVcTOKO0/Uyse6NdeDYI/AAAAAAAFVRc/tpoStY0LDyY/s1600/unnamed+(49).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--vS55MYd7e0/Uyse6Xv9DBI/AAAAAAAFVRY/_Umlbkkr3to/s1600/unnamed+(50).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-17x403h7dsg/Uyse6bE9URI/AAAAAAAFVRU/LiH2hjtRlWU/s1600/unnamed+(51).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2m47JfhMrhs/Uyse7qoMTLI/AAAAAAAFVRk/FtKQzdPEvvs/s1600/unnamed+(52).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Wanaovaa hovyo vyuoni kudhibitiwa
SERA ya kudhibiti mavazi yasiyoendana na maadili, yanayovaliwa na wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini, inaelezwa itakuwa muarobaini kwa wanafunzi husika. Akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni, Mkuu wa...