Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC aonya siasa za hovyo hovyo Arusha

Daud Felix Ntibenda `Kijiko’ MKUU mpya wa Mkoa wa Arusha, Daud Felix Ntibenda `Kijiko’ amevitaka vyama vya siasa mkoani hapa kuepuka siasa zozote zinazoingilia utendaji wa Serikali na kusisitiza atapambana hadi dakika za mwisho ili kuhakikisha siasa hizo hazipati nafasi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaovaa hovyo vyuoni kudhibitiwa

SERA ya kudhibiti mavazi yasiyoendana na maadili, yanayovaliwa na wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini, inaelezwa itakuwa muarobaini kwa wanafunzi husika. Akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni, Mkuu wa...

 

9 years ago

Bongo5

Snura: Shilole ni mtu wa kubwatuka hovyo

SNURAAAA

Baada ya Shilole kumkejeli Snura kwa kudai sio hadhi yake na asifananishwe naye, Snura amejibu mapigo

SNURAAAA

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EATV jana, Snura alisema ameshamzoea Shilole ni mtu wa kubwatuka.

“Ni yeye ndio amezungumza sio mashabiki. Kama wangeongea mashabiki kweli lingenigusa na kunifanya nijiangalie tena kwa mara mbili au mara tatu lakini yeye kama yeye ndio kaongea,” alisema.

“Lakini yeye ni mtu wa kubwatuka hovyo kwenye interview na kuponda. Ile ni dalili kwamba...

 

9 years ago

Bongo5

Wasanii tunaogopa kutoa ngoma hovyo – Linex

11821781_479761088871687_536245769_n

Linex amesema mwaka huu hatatoa tena wimbo ili apate muda wa kujipanga zaidi kwaajili ya mwaka ujao.

11821781_479761088871687_536245769_n

Linex amekiri kuwa kuna baadhi ya wasanii sasa hivi wamekuwa waoga wa kutoa nyimbo zao hovyo kutokana na muziki kubadilika.

“Game inahitaji mipango sasa hivi, yaani manyimbo yapo kibao tu ndani ila sasa kutoa ndio inakuwa shida,” ameiambia Bongo5.

“Sasa hivi hata ukiangalia wasanii wanaogopa kutoa single hovyo kama zamani. Sasa hivi unahitaji kufanya muziki ambao utanufaika nao yaani hata...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Malezi ya hovyo ya Makonda yasituzuie kujadili Katiba

BIBLIA Takatifu inasema kuwa; “Makwazo hayana budi kuja, lakini ole wake mtu yule ambaye makwazo hayo yaja kwa sababu yake; ni afadhali akafungiwa jiwe la kusagia shingoni na kutoswa baharini,...

 

11 years ago

Habarileo

Ukataji wa mikoko hovyo wakaribisha bahari nchi kavu

KASI ya ukataji wa miti aina ya mikoko Unguja na Pemba kwa ajili ya matumizi ya chokaa na kuni yanatishia uhai wa miti hiyo ambayo huzuia kasi ya maji ya bahari kuvamia nchi kavu. Ofisa wa Idara ya Misitu ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Soud Ali alisema zaidi ya hekta 4,000 za miti aina ya mikoko zinakatwa kila mwaka kwa ajili ya matumizi mbali mbali ikiwemo kuni, chokaa na ujenzi wa nyumba za kuishi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matukio ya hovyo ni kielelezo cha ulegevu katika taifa

SINA hakika katika  nchi nyingine mambo yanakuwa vipi. Ila kwa Tanzania ni kawaida likitokea tukio kubwa watu huzizima kwa siku mbili-tatu halafu baada ya hapo mambo yanapita inakuwa kama vile...

 

11 years ago

Habarileo

Mangula aonya siasa za chuki

Sehemu ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema wakifuatilia hotuba ya Mwenyekiti aliyemaliza muda wake na kuomba tena kuwania nafasi hiyo, Freeman Mbowe. Mkutano huo ulifanyika Dar es Salaam jana. (Picha na Fadhili Akida).VYAMA vya siasa nchini, vimeaswa kutogeuza tofauti za kiitikadi na ilani za vyama kuwa chanzo cha chuki baina ya vyama na wafuasi wake, na badala yake vinapaswa kuwa na umoja wenye kuwa na maslahi ya wananchi.

 

10 years ago

Habarileo

JK aonya chokochoko za siasa kupitia dini

Rais Jakaya Kikwete akimpongeza Askofu mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga, Mhashamu Liberatus Sangu wakati wa ibada ya kumweka wakfu iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Parokia Mama Mwenye Huruma, Ngokolo mjini Shinyanga jana. (Picha na Freddy Maro).RAIS Jakaya Kikwete amesema wakati taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani baadaye mwaka huu, kumeibuka nyufa zinazojengwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa na mashabiki wao ambao wanatumia tofauti za dini zilizopo nchini kwa uchu wa kuingia madarakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani