Mangula aonya siasa za chuki
VYAMA vya siasa nchini, vimeaswa kutogeuza tofauti za kiitikadi na ilani za vyama kuwa chanzo cha chuki baina ya vyama na wafuasi wake, na badala yake vinapaswa kuwa na umoja wenye kuwa na maslahi ya wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo19 Sep
UN yaonya vijana na siasa za chuki
UMOJA wa Mataifa (UN) nchini umetahadharisha vijana kuacha kutumiwa katika siasa za chuki na badala yake wawe mabalozi wa amani na wajikite katika kuhubiri amani iliyopo ili iendelee kudumu.
5 years ago
MichuziMANGULA AKUTANA NA VIONGOZI WA CCM SHINYANGA...AONYA WAGOMBEA UCHAGUZI MKUU 2020
11 years ago
Habarileo19 Jul
Waziri ataka siasa za chuki kukomeshwa
WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, amewataka wananchi wilayani Busega kuelewa kuwa, siasa za chuki na uhasama kamwe hazitaweza kuwaletea maendeleo zaidi ya kuwavuruga na kukwamisha shughuli za maendeleo.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar04 Oct
Dk Shein asisistiza siasa za chuki zimepitwa na wakati
Mgombea urais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein (CCM) akihutubia mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu, jimbo la Kojani, uliyofanyika kwenye uwanja wa mpira wa kijiji cha Kiungoni, Pemba. Rajab Mkasaba – Ikulu Zanzibar Jumamosi, Oktoba […]
The post Dk Shein asisistiza siasa za chuki zimepitwa na wakati appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Chuki, fitina, ukata, siasa zinavyoua soka Arusha
10 years ago
Habarileo13 Apr
JK aonya chokochoko za siasa kupitia dini
RAIS Jakaya Kikwete amesema wakati taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani baadaye mwaka huu, kumeibuka nyufa zinazojengwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa na mashabiki wao ambao wanatumia tofauti za dini zilizopo nchini kwa uchu wa kuingia madarakani.
10 years ago
Habarileo01 Oct
Muhongo aonya siasa, uanaharakati kazini
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amewataka vibarua kwenye Kampuni ya ukandarasi ya India ijulikanayo kwa jina la KEC International Limited inayojenga mradi wa msongo mkubwa wa umeme wa Kilovoti 400 kuacha kuchanganya siasa na uanaharakati kwenye kazi.
9 years ago
Habarileo10 Nov
Msajili aonya uanzishwaji wa vyama vya siasa holela
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ameonya tabia ya watu kuanzisha vyama vya siasa kama mchezo wa kuigiza na kuwarubuni Watanzania wakati ajenda zao hazina dhamira ya dhati kwa maendeleo ya nchi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DTalDyexWYo/XmD9EuxbGWI/AAAAAAAAIPU/OjHw1NCTzmcUfjnkPkNxqSqEdyBimzEqwCKgBGAsYHg/s72-c/IMG_20200304_150519_2.jpg)
IGP SIRRO AONYA VIONGOZI WA MADHEHEBU YA DINI KUTOJIHUSISHA NA SIASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DTalDyexWYo/XmD9EuxbGWI/AAAAAAAAIPU/OjHw1NCTzmcUfjnkPkNxqSqEdyBimzEqwCKgBGAsYHg/s640/IMG_20200304_150519_2.jpg)
Mkuu wa jeshi la polisi nchini Simon Sirro akisoma jiwe la msingi aliloweka ikiwa ni ujenzi wa makazi ya Askari wa jeshi hilo kwenye eneo la FFU kata ya Muriet jijini Arusha pembeni yake ni mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo na mbele yao ni Balozi wa heshima wa Serikali ya Dubai Fouad Martis wakifuatilia tukio hilo picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-4d-Suf8LeAQ/XmD9EpIMuvI/AAAAAAAAIPU/bJAZB6va5JQnkoHv9BS4W3UrhSSUkZWuwCKgBGAsYHg/s640/IMG_20200304_152114_9.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Simon Sirro kulia akiwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo katikati na pembeni mwenye suti ya Bluu ni Balozi wa...