Muhongo aonya siasa, uanaharakati kazini
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amewataka vibarua kwenye Kampuni ya ukandarasi ya India ijulikanayo kwa jina la KEC International Limited inayojenga mradi wa msongo mkubwa wa umeme wa Kilovoti 400 kuacha kuchanganya siasa na uanaharakati kwenye kazi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Watumishi wa umma epukeni siasa kazini
MIONGONI mwa habari zinazogonga vichwa vya habari kwa takriban mwezi mmoja sasa, ni kuhusu makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutangaza nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika...
10 years ago
Habarileo15 Sep
Mangula aonya siasa za chuki
VYAMA vya siasa nchini, vimeaswa kutogeuza tofauti za kiitikadi na ilani za vyama kuwa chanzo cha chuki baina ya vyama na wafuasi wake, na badala yake vinapaswa kuwa na umoja wenye kuwa na maslahi ya wananchi.
10 years ago
Habarileo13 Apr
JK aonya chokochoko za siasa kupitia dini
RAIS Jakaya Kikwete amesema wakati taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani baadaye mwaka huu, kumeibuka nyufa zinazojengwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa na mashabiki wao ambao wanatumia tofauti za dini zilizopo nchini kwa uchu wa kuingia madarakani.
9 years ago
Habarileo10 Nov
Msajili aonya uanzishwaji wa vyama vya siasa holela
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ameonya tabia ya watu kuanzisha vyama vya siasa kama mchezo wa kuigiza na kuwarubuni Watanzania wakati ajenda zao hazina dhamira ya dhati kwa maendeleo ya nchi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DTalDyexWYo/XmD9EuxbGWI/AAAAAAAAIPU/OjHw1NCTzmcUfjnkPkNxqSqEdyBimzEqwCKgBGAsYHg/s72-c/IMG_20200304_150519_2.jpg)
IGP SIRRO AONYA VIONGOZI WA MADHEHEBU YA DINI KUTOJIHUSISHA NA SIASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DTalDyexWYo/XmD9EuxbGWI/AAAAAAAAIPU/OjHw1NCTzmcUfjnkPkNxqSqEdyBimzEqwCKgBGAsYHg/s640/IMG_20200304_150519_2.jpg)
Mkuu wa jeshi la polisi nchini Simon Sirro akisoma jiwe la msingi aliloweka ikiwa ni ujenzi wa makazi ya Askari wa jeshi hilo kwenye eneo la FFU kata ya Muriet jijini Arusha pembeni yake ni mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo na mbele yao ni Balozi wa heshima wa Serikali ya Dubai Fouad Martis wakifuatilia tukio hilo picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-4d-Suf8LeAQ/XmD9EpIMuvI/AAAAAAAAIPU/bJAZB6va5JQnkoHv9BS4W3UrhSSUkZWuwCKgBGAsYHg/s640/IMG_20200304_152114_9.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Simon Sirro kulia akiwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo katikati na pembeni mwenye suti ya Bluu ni Balozi wa...
10 years ago
Habarileo12 Dec
RC aonya siasa za hovyo hovyo Arusha
MKUU mpya wa Mkoa wa Arusha, Daud Felix Ntibenda `Kijiko’ amevitaka vyama vya siasa mkoani hapa kuepuka siasa zozote zinazoingilia utendaji wa Serikali na kusisitiza atapambana hadi dakika za mwisho ili kuhakikisha siasa hizo hazipati nafasi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HSuUDFknyEQ/U-2bMXdFksI/AAAAAAAF_uc/6rgPuiaI4MM/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Wachina waonesha nia kuwekeza sekta ya madini, wakutana na Muhongo, Maswi, muhongo asisitiza hakuna kusafirisha madini ghafi
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mPNKZ1VMfhM/default.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Siasa sio mchezo mchafu bali CCM ndiyo yenye siasa chafu
SIASA safi ni kitu chema na siasa ni maisha na naamini Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai atakubaliana na mimi asilimia mia kwa hili na kama si kweli hapana shaka...