Siasa sio mchezo mchafu bali CCM ndiyo yenye siasa chafu
SIASA safi ni kitu chema na siasa ni maisha na naamini Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai atakubaliana na mimi asilimia mia kwa hili na kama si kweli hapana shaka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ELWl1INNUx8/T3n2QIXbZ8I/AAAAAAAAACw/BsvCuYNTODg/s72-c/396300_216970381724652_100002350745009_483378_1721045790_n.jpg)
Chadema yaituhumu CCM kwa Mchezo Mchafu!
![](http://3.bp.blogspot.com/-ELWl1INNUx8/T3n2QIXbZ8I/AAAAAAAAACw/BsvCuYNTODg/s640/396300_216970381724652_100002350745009_483378_1721045790_n.jpg)
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Wilaya ya Nzega, Shekhe Omari Omari, amekituhumu Chama cha Mapinduzi (CCM) na Viongozi wake Kisiasa wilayani Bukene, akidai wamebaini njama za kuwabambikizia Kesi wanachama wa Chadema ili kuwatisha.
Akizungumza na Tanzania Daima Shekhe Omari ambaye pia ni Shekhe wa Wilaya ya Bukene na Diwani wa Kata Bukene (Chadema) alisema, kutokana na CCM kuanza kuweweseka na Ushindi wa Chadema kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,...
10 years ago
Mwananchi28 Jun
Kingunge anusa mchezo mchafu urais ndani ya CCM
11 years ago
Habarileo23 Apr
Siasa chafu Arusha zamkera Kikwete
RAIS Jakaya Mrisho Kikwete ameelezea kukerwa na siasa chafu zinazofanyika Arusha ambazo zimeanza kuzorotesha uchumi wa mkoa huo na kutaka wananchi katika Wilaya ya Karatu wasiige mfano huo. Alisema hayo alipokuwa akizindua Jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Karatu katika Mkoa wa Arusha, mjini Karatu jana.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Taifa likiongozwa kwa siasa chafu
SIKUTAKA kamwe kujadili kinachoendelea ndani ya chama kikuu cha upinzani nchini, maarufu kama CHADEMA. Sikutaka kwa sababu taifa langu linayo mambo mengi makubwa ya kujadili na kuyatendea kazi. Mambo ya...
10 years ago
Habarileo05 Jun
Viongozi wa dini watakiwa kutoshabikia siasa chafu
VIONGOZI wa dini nchini wametakiwa kutojihusisha na kampeni chafu za siasa hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu ndani ya nyumba za ibada.
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Watakombolewa na elimu sahihi sio siasa
9 years ago
Bongo Movies19 Sep
JB: Siasa Sio Vita…Sitaki Utoto Nikitangaza Kazi Zangu
Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen maarufu kama JB ameanza kuathiriwa na vuguvugu za kisiasa katika kazi zake za filamu.
JB ambaye amekuwa akionekana katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi, amejikuta katika wakati mgumu kwenye mitandao ya kijamii baada ya kupokea matusi na kejeli alipotangaza ujio wa kazi mpya marehemu Adam Kuambiana ambaye anadaiwa alikuwa Chadema.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram JB ameandika:
Narudia tena siasa sio vita…marehemu Adam alikuwa Chadema kuliko wengi wenu,...
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Wabunge waache siasa mijadala yenye masilahi kwa umma
11 years ago
Michuzi27 Mar
Hoja ya haja: Viongozi wa Siasa tupatieni katiba ya watu wote sio ya vyama