Chadema yaituhumu CCM kwa Mchezo Mchafu!
![](http://3.bp.blogspot.com/-ELWl1INNUx8/T3n2QIXbZ8I/AAAAAAAAACw/BsvCuYNTODg/s72-c/396300_216970381724652_100002350745009_483378_1721045790_n.jpg)
a Bryceson Mathias, Bukene
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Wilaya ya Nzega, Shekhe Omari Omari, amekituhumu Chama cha Mapinduzi (CCM) na Viongozi wake Kisiasa wilayani Bukene, akidai wamebaini njama za kuwabambikizia Kesi wanachama wa Chadema ili kuwatisha.
Akizungumza na Tanzania Daima Shekhe Omari ambaye pia ni Shekhe wa Wilaya ya Bukene na Diwani wa Kata Bukene (Chadema) alisema, kutokana na CCM kuanza kuweweseka na Ushindi wa Chadema kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
CHADEMA Mbeya yalia mchezo mchafu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Mbeya mjini, kimefichua siri ya mbinu na mikakati michafu ya kisiasa inayoratibiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ili kuhakikisha idadi kubwa ya...
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
CHADEMA Kilosa wabaini mchezo mchafu
UONGOZI mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Kilosa mkoani Morogoro umeanza kazi kwa kunasa makada wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Magomeni wilayani hapa...
10 years ago
Mwananchi28 Jun
Kingunge anusa mchezo mchafu urais ndani ya CCM
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Siasa sio mchezo mchafu bali CCM ndiyo yenye siasa chafu
SIASA safi ni kitu chema na siasa ni maisha na naamini Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai atakubaliana na mimi asilimia mia kwa hili na kama si kweli hapana shaka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i41PO2l4KKXDxkmTa69*Ehkd*Im*Id-MlqAnYJktTciyRb*KL4GTgALxLQG9HSQrtTN-hUUD9igKWziZvm1hAsGP2Ukifybg/5.jpg)
BDF yafanya mchezo mchafu
10 years ago
Mwananchi30 Dec
DC abaini mchezo mchafu wa wauguzi
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Wabunge EALA wafichua mchezo mchafu
WABUNGE saba wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, wamejiondoa kwenye jaribio la kutaka kumuondoa madarakani Spika wa Bunge hilo, Margareth Zziwa, baada ya kubaini kulikuwa na mchezo mchafu nyuma...
11 years ago
Mwananchi30 Apr
TFF, Yanga katika mchezo mchafu
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
TBC iache mchezo huu mchafu
KWA miaka mingi iliyopita palisikika kilio cha kutaka vyombo vya habari vya serikali vibadilike na kuacha kuwa vya propaganda za serikali, chama tawala au taasisi yoyote nyingine. Watu wengi waliipongeza...