Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BDF yafanya mchezo mchafu

Kocha msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa. Na Mwandishi Wetu KIKOSI cha BDF XI kimeshitukiwa kutokana na uamuzi wake wa kutangaza kutaka kujiondoa katika michuano ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga kwa madai ya ukata. Ratiba inaonyesha Yanga itaanza kuivaa BDF, Februari 14 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Shirikisho la Soka Afrika (Caf), limeingilia na kuonya kwamba BDF XI inachotakiwa ni… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

DC abaini mchezo mchafu wa wauguzi

Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, Ahmed Kipozi amesema atawachukulia hatua baadhi ya wahudumu wa Hospitali ya Bagamoyo wanaolalamikiwa na wagonjwa kuwa huwalazimisha kwenda kununua dawa nje wakati zinapatikana hospitalini hapo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBC iache mchezo huu mchafu

KWA miaka mingi iliyopita palisikika kilio cha kutaka vyombo vya habari vya serikali vibadilike na kuacha kuwa vya propaganda za serikali, chama tawala au taasisi yoyote nyingine. Watu wengi waliipongeza...

 

11 years ago

Mwananchi

TFF, Yanga katika mchezo mchafu

>Uongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) linadaiwa kushirikiana na uongozi wa Yanga kukusanya mapato kinyemela kukwepa kulipa deni la    madai ya wachezaji wake wa zamani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunge EALA wafichua mchezo mchafu

WABUNGE saba wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, wamejiondoa kwenye jaribio la kutaka kumuondoa madarakani Spika wa Bunge hilo, Margareth Zziwa, baada ya kubaini kulikuwa na mchezo mchafu nyuma...

 

10 years ago

Mtanzania

Mchezo mchafu kesi za dawa za kulevya

MADAWANa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KESI 18 za dawa za kulevya zilizokuwa zikisikilizwa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam zinafutwa kwa sababu zilisajiliwa kimakosa katika katika mahakama hiyo na washtakiwa wanapandishwa upya kizimbani.
Hayo yalibainika jana baada ya kesi nne kufutwa na kufanya idadi ya kesi hizo kufikia nane baada ya nne nyingine kufutwa juzi, ambapo washtakiwa walisomewa upya mashtaka ya kusafirisha dawa za kulevya katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Kesi zote...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Kilosa wabaini mchezo mchafu

UONGOZI mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Kilosa mkoani Morogoro umeanza kazi kwa kunasa makada wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Magomeni wilayani hapa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Mbeya yalia mchezo mchafu

CHAMA  cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Mbeya mjini, kimefichua siri ya mbinu na mikakati michafu ya kisiasa inayoratibiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ili kuhakikisha idadi kubwa ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema yaituhumu CCM kwa Mchezo Mchafu!

a Bryceson Mathias, Bukene
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Wilaya ya Nzega, Shekhe Omari Omari, amekituhumu Chama cha Mapinduzi (CCM) na Viongozi wake Kisiasa wilayani Bukene, akidai wamebaini njama za kuwabambikizia Kesi wanachama wa Chadema ili kuwatisha.

Akizungumza na Tanzania Daima Shekhe Omari ambaye pia ni Shekhe wa Wilaya ya Bukene na Diwani wa Kata Bukene (Chadema) alisema, kutokana na CCM kuanza kuweweseka na Ushindi wa Chadema kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,...

 

10 years ago

Mwananchi

Kingunge anusa mchezo mchafu urais ndani ya CCM

Mwanasiasa mkongwe na kada wa CCM, Kingunge Ngombare Mwiru (Pichani) amesema anahisi kuna mchezo mchafu unapangwa kwenye mchakato wa kupata mgombea wa urais wa chama hicho tawala, akitaja idadi kubwa ya waliojitokeza kuwa ni ishara mbaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani