Mchezo mchafu kesi za dawa za kulevya
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KESI 18 za dawa za kulevya zilizokuwa zikisikilizwa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam zinafutwa kwa sababu zilisajiliwa kimakosa katika katika mahakama hiyo na washtakiwa wanapandishwa upya kizimbani.
Hayo yalibainika jana baada ya kesi nne kufutwa na kufanya idadi ya kesi hizo kufikia nane baada ya nne nyingine kufutwa juzi, ambapo washtakiwa walisomewa upya mashtaka ya kusafirisha dawa za kulevya katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Kesi zote...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWapakistan 12 Wanaokabiliwa na Kesi ya Kusafirisha Dawa za Kulevya Wameomba Wapigwe Risasi Baada ya Kesi yao Kuzungushwa Kisutu ‪
Wengine ni Buksh Mohamed,...
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Kesi saba za kusafirisha dawa za kulevya zaiva
5 years ago
MichuziMASHAIDI 19 KUTOA USHAIDI KESI YA DAWA ZA KULEVYA
Wakili wa serikali Costantine Kakula amedai hayo leo Mei 22, 2020 mbele ya Jaji Immaculata Banzi wakati akiwasomea hoja za awali washtakiwa hao.
Pia wakili Kakula amedai pamoja na mashahidi hao, upande wa mashtaka utawasilisha vielelezo mbalimbali ikiwemo mabegi...
5 years ago
MichuziTanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia…
Leo Waziri wa Mambo ya ndani Charles Kitwanga leo amekutana na waandishi wa habari Dar es salaam. Baada ya kufanya ziara katika maeneo mbalimbali ya ofisi za Jeshi la Polisi kikubwa alichuzungumza ni kuhusu ugaidi, ubambikaji kesi kwa wananchi, matumizi ya TEHAMA pamoja na madawa ya kulevya. Mikakati ya kupambana na dawa za kulevya hapa […]
The post Waziri Charles KITWANGA kwenye hizi sentesi 4>>> dawa za kulevya, ugaidi, kesi bandia… appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPLBDF yafanya mchezo mchafu
10 years ago
Mwananchi30 Dec
DC abaini mchezo mchafu wa wauguzi
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
CHADEMA Kilosa wabaini mchezo mchafu
UONGOZI mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Kilosa mkoani Morogoro umeanza kazi kwa kunasa makada wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Magomeni wilayani hapa...
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
TBC iache mchezo huu mchafu
KWA miaka mingi iliyopita palisikika kilio cha kutaka vyombo vya habari vya serikali vibadilike na kuacha kuwa vya propaganda za serikali, chama tawala au taasisi yoyote nyingine. Watu wengi waliipongeza...